Mkaa Mweupe
JF-Expert Member
- Jun 29, 2007
- 654
- 183
Leo hii madereva wa mabasi ya kwenda mikoani wamegoma, mpaka sasa hivi hamna basi lolote lililoondoka katika stendi kuu ya Ubungo. Hii ni kutokana na adhabu iliyotolewa kwa dereva aliyekuwa akiendesha basi la Mohamed Trans lililopata ajali baada ya kupasuka gurudumu la mbele. Dereva huyo alihukumiwa kifungo cha miaka thelathini jela.
Jamani Tanzania tunaelekea wapi. Dereva miaka 30, mafisadi wanapeta...
Kulikoni?...
Jamani Tanzania tunaelekea wapi. Dereva miaka 30, mafisadi wanapeta...
Kulikoni?...
Last edited by a moderator: