Madereva wa mikoani wasitisha mgomo wao!

Hili swali ukiliangalia kwa haraka haraka ni rahisi kweli; ukilisogelea kwa karibu na kuweka chini ya mwangaza wa darubini kali utaona kuwa limejaa kila aina ya falsafa ya kuwajibika, ufahamu wa tatizo na mapendekezo ya kutatua matatizo hayo. Ni swali la wiki kwa kweli.

Katika hoja yako umeongelea wamiliki wa vyombo vya kusafiria.
Madereva kamwe hawendeshi kwa kasi, anayeendesha kwa kasi ni mmiliki wa basi.
Last year nilikuwa Tanzania, nilipanda Abood kutoka Arusha mpaka Mbeya. Madereva wa basi lile waliniambia kwamba ukiendesha kwa mwendo wa kasi au katika namna yeyote ya kuhatarisha usalama wa abiria kibarua kinaota nyasi.
Kwa maana hiyo Abood mwenyewe anawajibika moja kwa moja na mwendo kasi wa mabasi yake.
Siku zote,basi liendalo mwendo wa kasi mmiliki wake ndiye aliendeshaye kwa kasi kwa kuto jari au wajibika katika uendeshaji wa shughuli ya kusafisrisha abiria.

Kuna busara katika kuadhibu madereva lakini busara ya juu zaidi ni ile ya kuwawajibisha wamiliki wa mabasi hayo si kwa kusubiri ajali zitokee kwanza bali kwa kufuatilia matengenezo, ubora na usalama wa vyombo vya abiria siku zote.
Sasa hapo ndipo tatizo sugu la rushwa huja kwa sura yake kamili na kuturudi kama msumari wa moto kwenye mapaji ya nyuso zetu na makalioni.
 
Kuna elimu nzuri sana kuhus matairi na matumizi yake ilitolewa hapa JF, pia kuna siku niliona elimuhiyo ikitolewa kwenye TV zetu kule bongo.......bado watu/madereva/matajiri ni wabishi kuhus hii teknolojia ya matairi..........

.........Vyombo husika....zingatieni ukaguzi wa magari....muufanye kwa kina na sio kuuza tiketi za usalama barabarani...........
 
Kuna elimu nzuri sana kuhus matairi na matumizi yake ilitolewa hapa JF, pia kuna siku niliona elimuhiyo ikitolewa kwenye TV zetu kule bongo.......bado watu/madereva/matajiri ni wabishi kuhus hii teknolojia ya matairi..........

.........Vyombo husika....zingatieni ukaguzi wa magari....muufanye kwa kina na sio kuuza tiketi za usalama barabarani...........


Ubora wa tairi na usalama wake pia hatari za kutumia tairi chakavu katika chombo cha usafiri wa watu wengi kama basi kila mmiliki wa mabasi ya mikoani anajua.

Kitu bora ni aghari kukitunza, kukwepa gharama itafunayo faida matajiri huanza kucheza dadu kwa kukatiza kilaini katikati ya mfumo wetu wa serikali uvujao kama nyavu za kuvulia samaki.

Gari lifika huko liendako kwa kutumia tairi chakavu au zenye ubora hafifu ni nafuu ya tajiri, lisipofika Insurance inalipa kisha tajiri anapanga dadu upya na kucheza tena.

Lakini upande mwingine ni vipi tutadhibidi ubora wa matairi wakati tunaruhusu kila aina ya bidhaa duni kuingia nchini Tanzania kama vile ardhi yetu ni dampo la bidhaa duni Duniani kote??

Ukipanda bamia huwezi vuna mahindi au mpunga utavuna bamia au hutavuna chochote.
 
Ubora wa tairi na usalama wake pia hatari za kutumia tairi chakavu katika chombo cha usafiri wa watu wengi kama basi kila mmiliki wa mabasi ya mikoani anajua.

Kitu bora ni aghari kukitunza, kukwepa gharama itafunayo faida matajiri huanza kucheza dadu kwa kukatiza kilaini katikati ya mfumo wetu wa serikali uvujao kama nyavu za kuvulia samaki.

Gari lifika huko liendako kwa kutumia tairi chakavu au zenye ubora hafifu ni nafuu ya tajiri, lisipofika Insurance inalipa kisha tajiri anapanga dadu upya na kucheza tena.

Lakini upande mwingine ni vipi tutadhibidi ubora wa matairi wakati tunaruhusu kila aina ya bidhaa duni kuingia nchini Tanzania kama vile ardhi yetu ni dampo la bidhaa duni Duniani kote??

Ukipanda bamia huwezi vuna mahindi au mpunga utavuna bamia au hutavuna chochote.

Ni kweli kabisa usemayo Mkuu,

Kwa kifupi, wahusika kama TBS wanatakiwa wawe na vyombo vya kucheck tire aging test.....kwani matairi yana-deteriorate hata kama halitumiki (anti-aging chemicals added on tires are only active when the tyre is in use)....normally after six years.......we should not take chances...lazima tairi likafanyiwe age test hata kama halionyeshi dalili mbaya za muonekano i.e. regardless of tread depth............

Tukiwa strict hivyo vibovu vitakimbia vyenyewe......mbona tumeanza taratibu kwenye magari........kwa nini na kwingine tusianze?
 
kama kweli aliyefungwa alikuwa haendeshi wakati huo, inamaana yeye dereva mzoefu alikaa pembeni akampa gari asiye na uzoefu.

Mara ngingi magari hayo yanakuwa na madereva wawili kwa ajili ya kusaidiana
 
na hasa mabasi ya Mohamed trans yamezidi kwa speed kubwa, pamoja na bufalo. Mohamed trans anatoka mwanza saa 12 asubuhi na saa 2 usiku yupo DSM, hii ni hatari.

Wakati mwingine dereva anaendesha gari huku anatuma sms au anaongea na simu au hata ana-tune radio channels, inasikitisha!!!
 

Attachments

  • Bus Dr1.jpg
    Bus Dr1.jpg
    428.4 KB · Views: 38
  • Bus Dr.jpg
    Bus Dr.jpg
    394.9 KB · Views: 38
  • 100_1594.jpg
    100_1594.jpg
    558.8 KB · Views: 36
  • 100_1595.jpg
    100_1595.jpg
    739.4 KB · Views: 32
Nafikiri madereva wana mengi sana ila walitaka wapate nafasi ili nao watoe kilio chao.

1. pamoja na kupinga hukumu ya dereva mwenzao
2. wamechoka kuwa vibarua wa kudumu kwa wenye mabasi ( yaani walitaka nao wapewe ajira ikiwa pamoja na haki zote kisheria za mtu anaeajiriwa ikiwa pamoja na likizo, nssf, matibabu, nyumba na hata kulipa kodi za Serikali.

Na mengine mengi.

pamoja na kuwa mmewatesa wananchi wasiona hatia lakini kilio chenu kimefika.
 
Nafikiri madereva wana mengi sana ila walitaka wapate nafasi ili nao watoe kilio chao.

1. pamoja na kupinga hukumu ya dereva mwenzao
2. wamechoka kuwa vibarua wa kudumu kwa wenye mabasi ( yaani walitaka nao wapewe ajira ikiwa pamoja na haki zote kisheria za mtu anaeajiriwa ikiwa pamoja na likizo, nssf, matibabu, nyumba na hata kulipa kodi za Serikali.

Na mengine mengi.

pamoja na kuwa mmewatesa wananchi wasiona hatia lakini kilio chenu kimefika.

Barubaru!

Tuko pamoja tangu ijumaa nilisema kama wenye mabasi hawatapelekwa mahakamani kwani wao ndio wenye leseni ya biahara ya mabasi hatutafika mbali na pia nawashauri kila anyeumia kwenye ajali ya basi afungue kesi ya madai dhidi ya wamiliki na sio kutegamea kulipwa na Third Party insuarance!

Hapa kinachotakiwa ni elimu kwa watumia barabara wote. Endapo kila mtu atatimiza wajibu wake then we shall move ahead. Klia RTO anafahamu vizuri sheria lakini kwa sababu hawalipwi mshahara na wanategemea kuishi kwa kulipwa na wenye mabasi/magari ndipo tatizo lilipo.Kwanza watu wa Sumatra hawatendi kazi zao vyema wanapotoa leseni ya njia,polisi hawakagui magari na pia utaratibu wa kukagua magari sio mandatory sometimes is at owners request au anataka ku-renew lesni au gari ikipata ajali.

Achilia mbali hukumu ya dereva yule . Tatizo ni kubwa kuliko tunavyolitazama kwani linahusisha wadau wengi mno kuanzia wizara ya fedha ,biashara na pia kutokubali kubadilika na kwenda na wakati ,uhaba wa Askari kwa ajili ya enforcement, Kila awamu imekuja na mtindo wa 'fire fighting 'na hakuna anayetaka kuwapa wataalamu wafanye kazi yao period !! Kwa mfano:

Awamu ya pili akina Malecela na Mzee Ruksa waliamua mabasi yatembee mchana !! Wakaishia na hawakuweka sheria ambayo ni binding!!! akaja Mwizi Mkapa na Zero Fredrick T.Sumaye wao wakfanya biashara ya Speed Governor na kuweka matuta kila mahali wakaondoka hakuna sera wala sheria!!! Amekuja JMK aka Matonya na Pinda wameanza ghafla na kumfunga dereva huku kesi ya mzee wa Bajaji Chenge anderea amekuwa charged kwa makosa ili hakimu ampige fine!!!Hakuna sera wala sheria dhabiti!!!Let me tell you sheria zilizopo zikitumiwa vyema na kurekebishwa kidogo they can work.

Madereva najua karibu wote hawana uwezo wakusoma hapa jamii wao wasubiri ikitoka hukumu ya CHenge ndio wote including wanaojificha hapa tuingiie mitaani kudai haki! ITAPENDEZA SANA na kama sio patachimbika!!
 
Nadhani hawa madereva uelewa wao mdogo pale katika kona napajua kama ereva angechukua tahadhari mapema kwa uenesha spidi below 60. hakuna kitu kingetokea kwani yeye alikuwa anafikiria pesa zaidi za waarabu wake ndio maana spidi ilikuwa 140 kph. sasa Serikali ulifikiri haukuandalia vyote hivyo? be care wewe ungekuwepo au ndugu yako amededi i think sijui unge act vipi na ninavyokujua wewe una Hasira sana. Pia ukiangalia mabasi mengi maroli huu ni uzembe wa Serikali wa upande mwingino sasa mimi Ningekuwa Magistrate ningempa sentence to death for my suggestion my waumini wangu wamedead why?
 
Nadhani hawa madereva uelewa wao mdogo pale katika kona napajua kama ereva angechukua tahadhari mapema kwa uenesha spidi below 60. hakuna kitu kingetokea kwani yeye alikuwa anafikiria pesa zaidi za waarabu wake ndio maana spidi ilikuwa 140 kph. sasa Serikali ulifikiri haukuandalia vyote hivyo? be care wewe ungekuwepo au ndugu yako amededi i think sijui unge act vipi na ninavyokujua wewe una Hasira sana. Pia ukiangalia mabasi mengi maroli huu ni uzembe wa Serikali wa upande mwingino sasa mimi Ningekuwa Magistrate ningempa sentence to death for my suggestion my waumini wangu wamedead why?

Dereva wa Basi hawezi kujenga tabia ya kuendesha Basi hilo kwa kasi kuliko mwenye basi.
Mwenye basi akitaka garai lake liende 80KM/hr na dereva anataka kuliendesha kwa 140km/hr wote tunajua nini kitampa dereva.
Bado naamini wenye mabasi ndo pekee walio nyuma ya mwendo mkali wa mabasi madereva wananawiwa tu.
 
Back
Top Bottom