Madeni ya Serikali yaiweka PSPF njia panda

Madeni ya Serikali yaiweka PSPF njia panda

Wakuu mfuko wa pensheni wa hifadhi ya jamii wa watumishi wa umma PSPF hauna hela na kinachofanyika sasa ni 'kuokoteza" fedha toka vyanzo mbalimbali hususani kodi wanazolipwa kutoka majengo yao waweze kuwalipa wastaafu mbalimbali wanaochangia katika mfuko huo. Hali hii inathibitishwa na kasi ndogo ya ulipaji mafao ya mirathi, kustaafu kazi ambapo mpaka sasa baadhi ya wastaafu wa mwaka 2013 bado hawajalipwa. Kila nikifuatilia ofcn kwao ni kalenda tu na sababu za hapa na pale ambazo kimsingi hazina mashiko.

Mkuu una uhakika unachokiongea? au umetumwa na kuchafua na mifuko mingine? nina mifano ya watu wengi wamestaafu wamelipwa na PSPF mafao yao ni bora kuliko mifuko0 mingine hilo halina upinzani..
Hizo ni marketing za mifuko isiokua na mafao yanayoeleweka kama LAPF vile...
 
Mambo ya ukawa yanaingiaje hapa tena mkuu? mafao ninayofuatilia mimi ni ya toka mwaka jana, ukienda unaambiwa hiki mara kile ni kama wanatafutiza visingizio kubuy time,, situation iko worse pale, ukienda hata sasa utajionea foleni ya watu wanaokuja kufuatilia mambo yao,,wamejaa utadhani foleni kupata sukari kwenye 'duka la kaya" enzi hizo,i doubt kama ulikuwepo wewe

Mfuko wa Pspf unapungukiwa kiasi tirion 6.45 kulipa mafao mpaka tarehe 7 march 2013 report ya cag, gharib bilari alisema tuiombee ipate wanachama wa kuichangia.
 
tatizo la hii nchi ni uwajibikaji na kutomjali mtanzania wa chini kwa makusudi,usikute pesa zimewekezwa katika miradi ambayo return yake ni ya muda mrefu sana na ni return yenyewe sio quick enough,au wamekopeshwa wafanya biashara walioiweka madarakani serikali kama fadhila kwao,au sababu zingine za kipuuzi,tuwe tu wakweli,ndio maana kuna kipindi walitaka waweke sijui sheria ya kutokuchukua pesa mpaka umekua na miaka mingapi sijui,ujue hapo walishakomba pesa na kuzipeleka wanapojua wao,hawajalikua pesa zile ni za watu,bila ya hao watu hata haya mashirika ya hifadhi za jamii yasingekuwepo,wabongo ni shidaa...mimi nakuambia honestly,hua tunawalaumu tu wazungu,ila sisi wabongo tuna asili ya kipuuzi sana,hatujali shida za watu na ni wabinafsi,ndio maana mtanzania yupo radhi atembee kwenye barabara ya vumbi na mashimo kuelekea nyumbani kwako ambapo amejenga nyumba ya bilioni nane wakati gharama ya kufukia yale mashimo ni milioni 50,ni kama tuna laana fulani,mfano kazini kwetu kuna kipindi tulipata mkurugenzi na afisa mtendaji mkuu wote watanzania,watu walifanya sherehe wakijua sasa wamepata watu wa kutetea haki zao,kilichofuata ni noma mkuu,watu wakawakumbuka wazungu,maana jamaa walileta shidaaa,wakafuta overtime kwa visingizio kibao,mara cost cutting,mara nn na kuleta kujuana,wakafuta mpaka chama cha wafanyakazi,lakini wao na wapambe wao wakineemeka,yaani kiukweli mimi,bora tuwape tu wazungu wafanye baadhi ya kazi,wabongo tuna roho mbaya mbaya mbaya na ndio maana hata shetani hua anafananishwa na mtu mweusi kwenye hadithi nyingi.
 
Mkuu una uhakika unachokiongea? au umetumwa na kuchafua na mifuko mingine? nina mifano ya watu wengi wamestaafu wamelipwa na PSPF mafao yao ni bora kuliko mifuko0 mingine hilo halina upinzani..
Hizo ni marketing za mifuko isiokua na mafao yanayoeleweka kama LAPF vile...

Mkuu Naunga mkono hoja yako maana hawa jamaa kazi yao kupotosha ukweli, hivyo watakao kubali kudanganyika watakuwa wamepotea maana zama hizi za ushindani watu wa mifuko wamekutwa hawaishi kuzuliana mambo ambayo hata hayapo.
Mimi nimshauri Mtoa mada atoe taarifa kwa viongozi wa pspf ili suala lake liweze kushughulikiwa maana kuna baadhi ya watu ni wepesi kulalamika pasipo kujua kuwa wao wamechangia kisasi gani. Chukua hatua Fika katika ofisi zao omba kuonana na viongozi wa juu si kulalamika kwenye social media it won't help.
 
  • Thanks
Reactions: jlm
...hii serikali yetu ni dhaifu mpaka inafilisi mifuko ya walala hoi, kiasi cha kushindwa kulipa walengwa! "laana iwapate wote waliodumbukiza fedha hizi kwenye matumbo yao"

"PSPF ndiyo mfuko mchanga wa hifadhi ya Jamii kuliko yote, 'hiki kizazi cha panya bado kinadokoa michango yao masikini walionyonywa kwa muda mrefu"

"kumbukumbu zinaonyesha mfuko huu ulianza 1994, kabla: kuanzia mwaka 1942, wakoloni walikuja na utaratibu rasmi ambapo GEPF ilikuwa ya kwanza ikifuatiwa na NPF (NSSF), 1964, PPF-1978, PSPF-1999 kwa kutumia shera ya mifuko ya hifadhi ya jamii ya
mwaka 1954. Sheria hizo za mifuko
zilikuwa na utaratibu wa kisekta."

Historia yako ya sekta ya hifadhi ya jamii naitilia shaka hakuna mfuko ulioanza mwaka1994.
Pia kama pspf imeanzishwa hivi Karibuni yaani mwaka 1999 na sasa hivi unaipiku mifuko mingine ya hifadhi ya jamii iliyoanzishwa zaidi ya nusu karne ilikuwa wapi kukua miaka hiyo yote????!!!!
Pspf kwa sasa ndo inaongoza kwa mafao yaliyo bora na huduma nzuri zinazoendana na Wakati tulionao.
Halafu katika Historia yako sijaona umeelezea LAPF walianzishwa lini?
 
Wakuu mfuko wa pensheni wa hifadhi ya jamii wa watumishi wa umma PSPF hauna hela na kinachofanyika sasa ni 'kuokoteza" fedha toka vyanzo mbalimbali hususani kodi wanazolipwa kutoka majengo yao waweze kuwalipa wastaafu mbalimbali wanaochangia katika mfuko huo. Hali hii inathibitishwa na kasi ndogo ya ulipaji mafao ya mirathi, kustaafu kazi ambapo mpaka sasa baadhi ya wastaafu wa mwaka 2013 bado hawajalipwa. Kila nikifuatilia ofcn kwao ni kalenda tu na sababu za hapa na pale ambazo kimsingi hazina mashiko.

Wakuu mfuko wa pensheni wa hifadhi ya jamii wa watumishi wa umma PSPF hauna hela na kinachofanyika sasa ni 'kuokoteza" fedha toka vyanzo mbalimbali hususani kodi wanazolipwa kutoka majengo yao waweze kuwalipa wastaafu mbalimbali wanaochangia katika mfuko huo. Hali hii inathibitishwa na kasi ndogo ya ulipaji mafao ya mirathi, kustaafu kazi ambapo mpaka sasa baadhi ya wastaafu wa mwaka 2013 bado hawajalipwa. Kila nikifuatilia ofcn kwao ni kalenda tu na sababu za hapa na pale ambazo kimsingi hazina mashiko.

Nimepitia annual report ya pspf ya June 2014 ambayo iko kwenye website yao na kuona kuwa jamaa wamekuwa kwa kasi leaning miaka sasa wana net asset (thamani ya Mfuko) ya Tshs trillion 1.251 ukilinganisha na report yao ya June 2000 walikuwa na Tshs 36 billion. Kwa mujibu wa report hii ya June 2013 pspf wamelipa kasi cha zaidi ya Tshs 572billion kama mafao kwa wanachama wake wastaafu mpaka mwezi June 2013. Pia report hii unaweza kuiona kwenye website ya SSRA. Nimejaribu kutafuta za mifuko mingine ili nifanye comparison nimezikosa hazipo, hivyo kama pspf wamekuwa vibaya wasingeweza ku-expose report yao ya mahesabu hivyo hoja ya kwamba imefilisika naipinga. Tuwe na atamani wa kufanya utafiti wa mambo mbalimbali Kabla ya kufikia hatua ya kupotosha ukweli unless kama hujui, ila hata kama hujui tafadhali Soma publications za watu au taasisi husika ili uwe ma uelewa mpana wa mambo.
Ukipitia annual report ya SSRA ataona kuwa kuna mifuko uko chini sana kiutendaji lakini wanapiga kelele utadhani wao wanafanya vizuri Kumbe debe tupu.
Kama kweli wanafanya waweke hadharani annual report zao ili tulinganishe performance yao na mifuko mingine kisha tufanye judgement nani ana hali mbaya.
Kuna mchangiaji mmoja kajaribu kuhusianiasha foleni ndefu za watu anao wakuta wakisubiri kupata huduma kuwa ni kufilisika ndo maana foleni ni ndefu, kama ndivyo basi taasisi nyingi zitakuwa zimefilisika mfano CRDB,NMB,TRA,NSSF,nk. Ni jambo kawaida kwa taasisi kubwa kama pspf kukuta watu wengi maana kila mmoja anafika akiwa na shida zake.
 
Tukienda mabenki kama NMB na CRDB foleni ni ki2 cha kawaida. Kama foleni ni kipimo cha kufilisika basi NMB na CRDB wanafilisika. Ukimuliza mtoa mada anafuatilia mafao gani huko Pspf usishangae akawa hajui hata mafao ya huo mfuko. Nimefatilia ktk website ya SSRA, Pspf na Gepf ndo wameweka annual report zao wazi. Hz ni habari za umbea!
 
  • Thanks
Reactions: jlm
Nimepitia annual report ya pspf ya June 2014 ambayo iko kwenye website yao na kuona kuwa jamaa wamekuwa kwa kasi leaning miaka sasa wana net asset (thamani ya Mfuko) ya Tshs trillion 1.251 ukilinganisha na report yao ya June 2000 walikuwa na Tshs 36 billion. Kwa mujibu wa report hii ya June 2013 pspf wamelipa kasi cha zaidi ya Tshs 572billion kama mafao kwa wanachama wake wastaafu mpaka mwezi June 2013. Pia report hii unaweza kuiona kwenye website ya SSRA. Nimejaribu kutafuta za mifuko mingine ili nifanye comparison nimezikosa hazipo, hivyo kama pspf wamekuwa vibaya wasingeweza ku-expose report yao ya mahesabu hivyo hoja ya kwamba imefilisika naipinga. Tuwe na atamani wa kufanya utafiti wa mambo mbalimbali Kabla ya kufikia hatua ya kupotosha ukweli unless kama hujui, ila hata kama hujui tafadhali Soma publications za watu au taasisi husika ili uwe ma uelewa mpana wa mambo.
Ukipitia annual report ya SSRA ataona kuwa kuna mifuko uko chini sana kiutendaji lakini wanapiga kelele utadhani wao wanafanya vizuri Kumbe debe tupu.
Kama kweli wanafanya waweke hadharani annual report zao ili tulinganishe performance yao na mifuko mingine kisha tufanye judgement nani ana hali mbaya.
Kuna mchangiaji mmoja kajaribu kuhusianiasha foleni ndefu za watu anao wakuta wakisubiri kupata huduma kuwa ni kufilisika ndo maana foleni ni ndefu, kama ndivyo basi taasisi nyingi zitakuwa zimefilisika mfano CRDB,NMB,TRA,NSSF,nk. Ni jambo kawaida kwa taasisi kubwa kama pspf kukuta watu wengi maana kila mmoja anafika akiwa na shida zake.

Tangu 2000 ndo wana net trln1 tena mfuko wa jamii,????
 
Mtoa mada anatuletea mchango wa akili ndogo uchangiwe na akili kubwa.
Nimeangalia mfuko mmoja mmoja
http://www.pspf-tz.org/?od=report
Local Authorities Pension Fund (LAPF)
Government Employees Provident Fund
Annual Reports - PPF Pensions Fund
Downloads | Annual Reports | Reports
pamoja na web ya SSRA ambako nimesoma current annual report ya SSRA,
https://www.ssra.go.tz/?page_id=553

Ukiangalia huko kote utaona kuwa ni PSPF pekee yenye kuweka annual reports zake wazi na utaona taarifa hadi ya 2013/14 tofauti na mifuko mingine yote isiyo weka taarifa zake wazi. Hii ni ishara ya accountability.

Pili, soma katika website ya SSRA utakuta na annual reports za mifuko nako ni PSPF inaonekana waazi taarifa zake za mwaka. Ukurasa wa 22 na 23 wa annual reports za SSRA utaiona PSPF ambayo mtoa mada anaiita imejaa foleni kwa hiyo inafilisika. Huko utailinganisha PSPF na mifuko mingine kama LAPF na GEPF utaona uhalisia wa mambo. Ukichukua net assets za LAPF na GEPF kwa pamoja hazifiki hata nusu ya PSPF ktk mwaka, chukua contributions za LAPF, PPF na GEPF kwa pamoja zoote hizi hazilingani na za PSPF ktk mwaka; Chukua total investments na membership size ya LAPF na GEPF kwa pamoja haziwafikii hata nusu ya hao jamaa wa PSPF. Hapa ofisini kwangu tuliandikishwa LAPF kwa kulazimishwa lakini kwa hakika nisingeingia huku kama ningeliyajua haya. Mara nyingi mifuko ya LAPF na NSSF imekuwa ikilalalmikiwa kwa kuandikisha wanachama kwa kuwalazimisha kupitia kwa waajiri wao.

LAPF kwa mfano imekuwa miaka 45 iliyopita lakini cha kushangaza ina wanachama chini ya 160,000 hadi leo wakati hao jamaa wa PSPF wana wanachama zaidi ya 320,000 ktk miaka 15 tu tokea 1999. Taarifa ya SSRA hii hapa mtoa mada. Soma ukurasa wa 22 na 23 ingawa najua kusoma kwako itakuwa mtihani. https://www.ssra.go.tz/?page_id=553
 
Pspf mbona walikopwa na serikali na wameshindwa kurudisha deni ndo mana pspf inasuasua kulipa mafao ya wateja wake.
 
Tukienda mabenki kama NMB na CRDB foleni ni ki2 cha kawaida. Kama foleni ni kipimo cha kufilisika basi NMB na CRDB wanafilisika. Ukimuliza mtoa mada anafuatilia mafao gani huko Pspf usishangae akawa hajui hata mafao ya huo mfuko. Nimefatilia ktk website ya SSRA, Pspf na Gepf ndo wameweka annual report zao wazi. Hz ni habari za umbea!
Mkuu taarifa za kwenye maandishi zisikutishe, huoni hata Tanzania utasikia 'uchumi umekua" lkn katika uhalisia huoni mabadiliko yoyote kwenye maisha ya kawaida. PSPF wanazungusha sana kulipa mafao ya mtu husika yaani mpaka usotee kweli kweli kwa sababu tu hapa na pale zisizo hata mashiko
 
LAPF yetu ipo ICU. Wamejenga kale ka ghorofa ka Millenium tower leo mwaka wa tatu hakajaisha na kajengo kenyewe kana square metre elfu 9 tu lakn wanasumbuana na mkandarasi ni noma. Cjui miradi yao itaisha lini. Wenzao wanajenga miaka miwili majengo ya square metre elf sabin yamekwisha ktk miaka miwil
 
Mtoa mada anatuletea mchango wa akili ndogo uchangiwe na akili kubwa.
Nimeangalia mfuko mmoja mmoja
http://www.pspf-tz.org/?od=report
Local Authorities Pension Fund (LAPF)
Government Employees Provident Fund
Annual Reports - PPF Pensions Fund
Downloads | Annual Reports | Reports
pamoja na web ya SSRA ambako nimesoma current annual report ya SSRA,
https://www.ssra.go.tz/?page_id=553

Ukiangalia huko kote utaona kuwa ni PSPF pekee yenye kuweka annual reports zake wazi na utaona taarifa hadi ya 2013/14 tofauti na mifuko mingine yote isiyo weka taarifa zake wazi. Hii ni ishara ya accountability.

Pili, soma katika website ya SSRA utakuta na annual reports za mifuko nako ni PSPF inaonekana waazi taarifa zake za mwaka. Ukurasa wa 22 na 23 wa annual reports za SSRA utaiona PSPF ambayo mtoa mada anaiita imejaa foleni kwa hiyo inafilisika. Huko utailinganisha PSPF na mifuko mingine kama LAPF na GEPF utaona uhalisia wa mambo. Ukichukua net assets za LAPF na GEPF kwa pamoja hazifiki hata nusu ya PSPF ktk mwaka, chukua contributions za LAPF, PPF na GEPF kwa pamoja zoote hizi hazilingani na za PSPF ktk mwaka; Chukua total investments na membership size ya LAPF na GEPF kwa pamoja haziwafikii hata nusu ya hao jamaa wa PSPF. Hapa ofisini kwangu tuliandikishwa LAPF kwa kulazimishwa lakini kwa hakika nisingeingia huku kama ningeliyajua haya. Mara nyingi mifuko ya LAPF na NSSF imekuwa ikilalalmikiwa kwa kuandikisha wanachama kwa kuwalazimisha kupitia kwa waajiri wao.

LAPF kwa mfano imekuwa miaka 45 iliyopita lakini cha kushangaza ina wanachama chini ya 160,000 hadi leo wakati hao jamaa wa PSPF wana wanachama zaidi ya 320,000 ktk miaka 15 tu tokea 1999. Taarifa ya SSRA hii hapa mtoa mada. Soma ukurasa wa 22 na 23 ingawa najua kusoma kwako itakuwa mtihani. https://www.ssra.go.tz/?page_id=553

Aslimia 80% ya Wanachama wa pspf ni wa walio hamishwa kutoka hazina kabla ya 1999 mlipaji wa mafao alikuwa hazina na ndio alikuwa na wanachama wote wa umma baada ya hapo mifuko ilikuwa kisekta Na nssf ndie alie pewa sector yenye watu wengi kuliko sector nyingine na ndie mwenye wanachama wengi kuliko mifuko yote wapatao laki tano 500,000 ukifuatia Pspf kwa wanachama 320, 000. Wanachama ambao Pspf anatakiwa ajivune ni wale wa ushindani yaani kuanzia 1/12/2009.bada ya mabadiliko ya sheria wale wa nyuma ni wa kupewa kutoka hazina sio marketing sourced/effort ya ubora waliokuja pia waliingizwa kwa lazima due trend.hata hivyo kigezo cha kufilisika kinatokana na mzigo mkubwa madai ya wanachama over asset za mfuko hizo tirion moja au zaidi ambazo hupatikana kwa kutazama upembuzi halicia yaani "acturial valuation" kwa utafit zaid soma page ya 33 ya pspf financial report kipengele cha emphasise of matters.baada ya hapo nenda kwenye solvency of the fund tafuta neno acrual liability soma figures hicho ndicho kias kinacho zid asset za mfuko ambacho ni 6.487tirion hata hivyo serikari kupitia bunge walipitisha mapendekezo ya kuuza baadhi ya majengo ya serikali na kuchangia bill52 kila mwaka ili kunusuru hali hiyo sijaju exactly Deficity iloopo imepungua au imeongezeka tuangalie FR ya june 14 nafikiri 2007 ilikuwa 2.86tirion deficity.
 
LAPF yetu ipo ICU. Wamejenga kale ka ghorofa ka Millenium tower leo mwaka wa tatu hakajaisha na kajengo kenyewe kana square metre elfu 9 tu lakn wanasumbuana na mkandarasi ni noma. Cjui miradi yao itaisha lini. Wenzao wanajenga miaka miwili majengo ya square metre elf sabin yamekwisha ktk miaka miwil

Ipo icu unamaanisha imeshindwa kumaliza tu hiyo millenou tower lapf wanajenga majengo matatu kwa mpigo mwanza, Dodoma na hiyo milenium tower na mawli yameisha mi nafikiri lapf wapo kama magufuli hawataki uzembe, ufisadi, hata uchakachuaji.lazima wakandaras waone cha moto. Hata hivyo neno Icu iliambiwa Pspf na sio Nssf, pppf, Lapfna gepf kwa gazet la serikali daily news mwaka jana mwezi wa tano2013 sababu mfuko kufirisika na report ya Cag.
 
Hayo majengo unayotaja nayafaham. Mimi ni mwanachama na nimehudhuria Annual General meeting ya mwaka jana na kusoma annual report ya mfuko. Jengo la dodoma ni dogo tu na hilo la Mwanza linajengwa kwa ushirikiano na jiji la Mwanza. Miradi yote hyo inakimbilia miaka mi3 kila mmoja. Tatizo la mfuko wetu LAPF ni administrative cost kubwa ndo inatutesa na ndo mana huwa hatuweki annual report zetu wazi. Angalia SSRA au hata ktj website yetu ya Lapf haijawah kuonyeshwa Annual report yetu hata moja. LAPF tunapga kelele nje, ila usiri wetu unatumaliza na wanachama wengi hawajui. LAPF ndio iko ICU!
 
  • Thanks
Reactions: jlm
Hayo majengo unayotaja nayafaham. Mimi ni mwanachama na nimehudhuria Annual General meeting ya mwaka jana na kusoma annual report ya mfuko. Jengo la dodoma ni dogo tu na hilo la Mwanza linajengwa kwa ushirikiano na jiji la Mwanza. Miradi yote hyo inakimbilia miaka mi3 kila mmoja. Tatizo la mfuko wetu LAPF ni administrative cost kubwa ndo inatutesa na ndo mana huwa hatuweki annual report zetu wazi. Angalia SSRA au hata ktj website yetu ya Lapf haijawah kuonyeshwa Annual report yetu hata moja. LAPF tunapga kelele nje, ila usiri wetu unatumaliza na wanachama wengi hawajui. LAPF ndio iko ICU!

Pandian, pole kwa kuwa katika mfuko ambao ni debe tupu. Maana debe tupu ndo hupiga kelele.
Hao jamaa wa mfuko wako wanaona kibanzi ndani ya jicho la mwenzao huku wakisahau kuwa wao wana boriti. Kata rufaa SSRA uje tuungane huku pspf.
Kumbe jamaa hawana lolote ila wanachojaribu kufanya ni kutaka kutumia mgongo wa pspf kupanda juu. Huwa nikipita pale Golden Jubilee Towers naona lile jengo lilivyo la kisasa na lile jingine la ghorofa 33 huwa nafarijika sana kuwa mwanachama wa pspf; majengo ya kisasa kabisa utadhani si Tanzania. Jamaa wako determined sana katika suala la uwekezaji.
 
Back
Top Bottom