Madeni ya Serikali yaiweka PSPF njia panda

Madeni ya Serikali yaiweka PSPF njia panda

Aggregate, mimi na wenzangu wengi tumesajiliwa LAPF kwa kulazmishwa kupitia kwa Afisa utumishi. PSPF wakija kwenye mada za waajiriwa wapya huongea bila kukashifu mifuko mingne na wanakuwa na uthibitisho wa annual reports zao. Sisi LAPF tumekalia kuzunguka na magazeti ya mwaka 2011 na kuficha annual report zetu kwa kuwa hali ni mbaya hasa ktk returns za investment. Tukienda kwa Afisa Utumish kuomba tuhamie PSPF anakuwaga mkali kwa kuwa ni agent wa LAPF
 
Ipo icu unamaanisha imeshindwa kumaliza tu hiyo millenou tower lapf wanajenga majengo matatu kwa mpigo mwanza, Dodoma na hiyo milenium tower na mawli yameisha mi nafikiri lapf wapo kama magufuli hawataki uzembe, ufisadi, hata uchakachuaji.lazima wakandaras waone cha moto. Hata hivyo neno Icu iliambiwa Pspf na sio Nssf, pppf, Lapfna gepf kwa gazet la serikali daily news mwaka jana mwezi wa tano2013 sababu mfuko kufirisika na report ya Cag.

Acha kupotosha wewe Mbona CAG alikanusha kuwa waandishi walimquote vibaya kama hufatilii habari mimi huwa nafatilia sana. Kasome gazeti la Tarehe 19/05/2013 Daily News hilo hilo. Hata hivyo sasa naamini kuwa Baadhi ya Mifuko inatumia strategy za makusudi kuchafua mifuko mingine kama ngazi ya wao kupata wanachama. Kumbe wewe ni mtu wa LAPF!!! Wanachama wa LAPF mnashida maana hawa jamaa wanashindwa kuwa creative and innovative wanaishia kupiga makelele yasiyo na tija kwa wanachama wao. PSPF wala hata msihangaike nao sisi wanachama wenu tutafanya hii kazi. Mafao yenyewe wanalipa kiduchu. Sasa kuanzia Leo naanza kutafuta mambo ya LAPF na kuwaanika wazi ili tuone watakuwa na single gani.
 
Hivi jana mliona Giggs alivyo wajengea morali wachezaji wake? Jamaa walikuwa wanashambulia balaa...!! Nadhani Moyes alipo ana hasira na Giggs na wachezaji waliokua wamemwekea mgomo baridi basi tu afukuzwe.
 
LAPF tangu walipobadilishwa kuwa pension mwaka 2006 walicopy kila kitu toka PSPF ikiwa ni pamoja na formula ya ukokotoaji wa mafao. Lakn kitu ambcho huwa kinaniumiza mameneja na wakurugenzi wetu LAPF ni wanachama wa PSPF. Lakn wakja kwetu wanatwambia lapf tunatoa mafao bora. Mafao bora wakat nyie mko PSPF? Ina mana wanajua PSPF ni bora kuliko LAPF. Mfano ni Meneja wetu wa Benefit LAPF ni mwanachama wa PSPF, na Mkurugenzi wetu wa Sheria LAPF ni mwanachama wa PSPF na hawachangii kwetu. Maajabu!
 
Lapf hawana kitu hiyo mkueugenz wa sheria halaf bwana mkubwa inaonekana sheria hifadh ya jamii huijui umeneja ni ajira kama zingine ukitoka ajira moja kwenda nyingine hurusiwi kuhama serikali hiyo hiyo na vigezo vya umri we unashangaa meneja sasa mkurugenz mkuu wao yupo Nssf na wakurugenzi wengine wengi tu. Wote hawajahamia lapf wewe unameneja kwa bahat mbaya sheria unaona kigezo sio ilikopy ilipewa agizo na serikali na formular hiyo source ni hazina ambako pspf ilichukua.
 
Jiji la mwanza wametoa aridhi kwa kigezo cha kupata share cost zote lapf, halafu ukubwa/udogo ubora ndio unasababisha gharama 2 majengo is not only investment factor kuna bonds treasury bills etc inategemea focus ya mfuko.
 
Pandian, pole kwa kuwa katika mfuko ambao ni debe tupu. Maana debe tupu ndo hupiga kelele.
Hao jamaa wa mfuko wako wanaona kibanzi ndani ya jicho la mwenzao huku wakisahau kuwa wao wana boriti. Kata rufaa SSRA uje tuungane huku pspf.
Kumbe jamaa hawana lolote ila wanachojaribu kufanya ni kutaka kutumia mgongo wa pspf kupanda juu. Huwa nikipita pale Golden Jubilee Towers naona lile jengo lilivyo la kisasa na lile jingine la ghorofa 33 huwa nafarijika sana kuwa mwanachama wa pspf; majengo ya kisasa kabisa utadhani si Tanzania. Jamaa wako determined sana katika suala la uwekezaji.

Majengo hayo hayatoshi kufuta deni la wanachama la tirion 6.5 labda yawe 60 na nani atanunua kama ulisikiliza vizur bunge anamakinda anasema wanatafuta majengo ya serikali yauzwe ili kuinusuru pspf. Hali hiyo ni wazi serikali haina hela deni la taifa ni tirion 20 bajet ya serikali kwa mikopo, katiba mpya nk. Kama ni ajira mpya jua hitima ya kila mfuko na ubora wa formula. Na ni mayingu ndie alisema mfuko wake una hali mbaya mbele ya kamati ya Bunge kwa kusisitiza kama hatua za haraka hazitachukuliwa mfuko una miaka 3 tu. Mambo ya mifuko nendeni kuhoj kwa mifuko husika bana.
 
Mkuu una uhakika unachokiongea? au umetumwa na kuchafua na mifuko mingine? nina mifano ya watu wengi wamestaafu wamelipwa na PSPF mafao yao ni bora kuliko mifuko0 mingine hilo halina upinzani..
Hizo ni marketing za mifuko isiokua na mafao yanayoeleweka kama LAPF vile...


Hizi ni hoja za wenye vichwa vya mende....
Nyie badala ya kumlipa mzee wa watu unakuja kujitamba hapa eti mnalipa mafao bora kuliko wengine na unaanza kuchafua mifuko mingine kama LAPF. Nadhani PSPF wanaiogopa saana LAPF kwani wanaamini kabisa kwamba LAPF wamewazidi mambo mengi sana. ASANTENI SANA KWA KULITAMBUA HILO;
Ila hakikisheni mnamlipa mzee wa watu, acheni ubabaishaji wenu kama wa CCM....
 
Wakuu mfuko wa pensheni wa hifadhi ya jamii wa watumishi wa umma PSPF hauna hela na kinachofanyika sasa ni 'kuokoteza" fedha toka vyanzo mbalimbali hususani kodi wanazolipwa kutoka majengo yao waweze kuwalipa wastaafu mbalimbali wanaochangia katika mfuko huo. Hali hii inathibitishwa na kasi ndogo ya ulipaji mafao ya mirathi, kustaafu kazi ambapo mpaka sasa baadhi ya wastaafu wa mwaka 2013 bado hawajalipwa. Kila nikifuatilia ofcn kwao ni kalenda tu na sababu za hapa na pale ambazo kimsingi hazina mashiko.

Naomba unitumie private message cheque namba ya unayemfuatilia tuanzie hapo..
 
Wakuu mfuko wa pensheni wa hifadhi ya jamii wa watumishi wa umma PSPF hauna hela na kinachofanyika sasa ni 'kuokoteza" fedha toka vyanzo mbalimbali hususani kodi wanazolipwa kutoka majengo yao waweze kuwalipa wastaafu mbalimbali wanaochangia katika mfuko huo. Hali hii inathibitishwa na kasi ndogo ya ulipaji mafao ya mirathi, kustaafu kazi ambapo mpaka sasa baadhi ya wastaafu wa mwaka 2013 bado hawajalipwa. Kila nikifuatilia ofcn kwao ni kalenda tu na sababu za hapa na pale ambazo kimsingi hazina mashiko.

Kassim naona umekuja kama mstaafu vipi vile vigazeti vya uwiiii havifanyi kazi???
Tatizo wapinzani hasa lapf hawakubali kuwa hawawezi kushindana na Pspf zaidi ya kutumia njia za kuuchafua huu mfuko kwa sababu zao binafsi kaka mfuko haujafilisika na hautofilisika soma ssra report ya mwaka jana fanya analysis uone nani anaelekea kuzama mwakajila kakuomba cheque namba anza na hlo kwanza
 
Aslimia 80% ya Wanachama wa pspf ni wa walio hamishwa kutoka hazina kabla ya 1999 mlipaji wa mafao alikuwa hazina na ndio alikuwa na wanachama wote wa umma baada ya hapo mifuko ilikuwa kisekta Na nssf ndie alie pewa sector yenye watu wengi kuliko sector nyingine na ndie mwenye wanachama wengi kuliko mifuko yote wapatao laki tano 500,000 ukifuatia Pspf kwa wanachama 320, 000. Wanachama ambao Pspf anatakiwa ajivune ni wale wa ushindani yaani kuanzia 1/12/2009.bada ya mabadiliko ya sheria wale wa nyuma ni wa kupewa kutoka hazina sio marketing sourced/effort ya ubora waliokuja pia waliingizwa kwa lazima due trend.hata hivyo kigezo cha kufilisika kinatokana na mzigo mkubwa madai ya wanachama over asset za mfuko hizo tirion moja au zaidi ambazo hupatikana kwa kutazama upembuzi halicia yaani "acturial valuation" kwa utafit zaid soma page ya 33 ya pspf financial report kipengele cha emphasise of matters.baada ya hapo nenda kwenye solvency of the fund tafuta neno acrual liability soma figures hicho ndicho kias kinacho zid asset za mfuko ambacho ni 6.487tirion hata hivyo serikari kupitia bunge walipitisha mapendekezo ya kuuza baadhi ya majengo ya serikali na kuchangia bill52 kila mwaka ili kunusuru hali hiyo sijaju exactly Deficity iloopo imepungua au imeongezeka tuangalie FR ya june 14 nafikiri 2007 ilikuwa 2.86tirion deficity.

Ni kweli pspf imerithi wanachama ambao hapo awali kabla ya 1999 walikuwa hawachangii sehemu yoyote na imeendelea kuwalipa mafao hawa ambao hawachangii kwa makubaliano ya serikali kuulipa mfuko kwa mafao ya wazee wetu na ndio maana trillioni 6 inaonekana hapo hata hivyo serikali imeanza kulipa deni hlo tukiangalia performance ya kusajili wanachama sidhani kama hawa jamaa wana upinzani ndo maana lapf kutwa wanazunguka na vigazeti vya uwiii lengo kupotosha ukweli na kuwalaghai watumishi wapya huku wakijua hamna kitu wanacholipa..kwa ukweli ulio mchungu karibia 50% ya management ya lapf wanachangia pspf
 
Kassim naona umekuja kama mstaafu vipi vile vigazeti vya uwiiii havifanyi kazi???
Tatizo wapinzani hasa lapf hawakubali kuwa hawawezi kushindana na Pspf zaidi ya kutumia njia za kuuchafua huu mfuko kwa sababu zao binafsi kaka mfuko haujafilisika na hautofilisika soma ssra report ya mwaka jana fanya analysis uone nani anaelekea kuzama mwakajila kakuomba cheque namba anza na hlo kwanza

Nitampm kuhusu check no. but issue should be kurekabisha mpangilio mzima, what about wastaafu ambao hawana acces ya mitandao kama hii kuelezea kero zao? PSPF kuprove wako imara sio kwenye maandishi na mareport ya SSRA bali uharaka wa kulipa warithi na wastaafu
 
Majengo hayo hayatoshi kufuta deni la wanachama la tirion 6.5 labda yawe 60 na nani atanunua kama ulisikiliza vizur bunge anamakinda anasema wanatafuta majengo ya serikali yauzwe ili kuinusuru pspf. Hali hiyo ni wazi serikali haina hela deni la taifa ni tirion 20 bajet ya serikali kwa mikopo, katiba mpya nk. Kama ni ajira mpya jua hitima ya kila mfuko na ubora wa formula. Na ni mayingu ndie alisema mfuko wake una hali mbaya mbele ya kamati ya Bunge kwa kusisitiza kama hatua za haraka hazitachukuliwa mfuko una miaka 3 tu. Mambo ya mifuko nendeni kuhoj kwa mifuko husika bana.

Vichwa vya panzi utawajua, hivi unaposema sema kuwa Mfuko/Taasisi fulani imekufa kwa sababu inadai. Hivi kwa akili ya kawaida anayefilisika ni yule anayedai au mdaiwa. Kwa uelewa wangu serikali yetu inadaiwa sana. Ndo maana deni la taifa ni zaidi ya trillion 20 na la pspf ikiwa ni sehemu ya deni., ila serikali inajiendesha haijatangaza kufilisika. Sasa nyie mnaotembea na kupiga ukunga wa kifo nawashangaa sana. Serikali ilishaanza kulipa deni hilo Sasa nyie mnataka tu kuwazungumzia pspf wakati wenzenu wanachapa kazi. Tumeshajua hizi ni zama za ushindani hivyo mnawachafua wenzenu ili mpate wanachama kwa kuwalaghai.
Taasisi nyingi zina idai serikali, hata mifuko mingine ya hifadhi ya jamii pia ni mojawapo. Acheni kupotosha kwa malengo ya kuwachafua wenzenu, mnatakiwa mmbuni mbinu mbadala za kiushindani kwa kuwa weledi zaidi. Acheni propaganda zisizokuwa na kichwa wa miguu.
 
Back
Top Bottom