bosco,
after personal attack ya mtu mmoja naona umerudi tena..
This will be the first scandle in history abt the office of CAG kama ni kweli mnayoyaamini wewe na mtoa mada..kuchakachua ripoti..?
nawashauri msome code of conduct of an auditor..one of the codes ni kwamba auditor lazima awe indipendent and must be seen indipendent,
in the sense that findings zake lazima zitoke vilivyo bila kuchakachuliwa,
mfano: kumbuka audit iliofanywa na deloite kuhusu pesa za EPA mpaka deloitee wakaishia nusu ya safari bila kumalizia audit yao,unajua ni kwanini waliishia njiani?
angalia audit iliofanyika last year mpaka baraza la mawaziri likavunjwa, je wenye maslahi walishindwa kuchakuchua ili CAG afiche findings zake?
Jibu ni moja,kwa sababu AN AUDITOR MUST BE INDIPENDENT!
sasa leo mnasema CAG katoa ripoti tatu?kwa manufaa ya nani?ili iweje?mnajua lengo la auditing n nini? Kufichua au kuficha maovu?
kati ya wizara ya fedha iliochunguzwa na CAG then ripoti halisi kutolewa ( ikumbukwe pspf ipo chini ya wizara hii) na mfuko wenyewe wa pspf ,
ni ripoti gani labda ilibidi iwe ichakachuliwe (kama kweli auditors huwa wanafnya hivyo vitu/uchakachuaji) ?