Madeni ya Serikali yaiweka PSPF njia panda

Madeni ya Serikali yaiweka PSPF njia panda

kufutwa kwa lile fao la kujitoa ilikuwa ni ishara ya hii mifuko kuelekea kuzimu. Kama vitabu vya hii mifuko vingewekwa wazi watu wangezimia. Kwenye hii saga ya PSPF, hatma ya wananchama wake itakuwaje? Na je, mfuko umekopesha hela wapi (achalia serikali kuu)na hatma ni nini?

Hapa kuna shughuli?
 
Je mnajua kuwa kulikuwa na versions 3 za CAG reports ambazo zote zimefichwa from the public?

Yes Ludovick Utouh either kwa kuambiwa au kwa kusudi ameamua kuwa wasiweke ile ripoti ya mahesabu ya PSPF wazi japo ni pesa za pensheni zinazolipwa na idara zote za serikali.

Sasa policy makers na REAL decision makers washa maliza mchakato wa kuifunga PSPF kwa sababu apart from mambo mengine ni kuwa hakuna justification ya serikali kuendelea kufanya baby sitting ya mfuko huu.

Cha ajabu ni kuwa mpaka actuarial valuation ya huu mfuko ulishawapa picha kamiili kuwa hauna muda and its just a matter of time.

Maswali kwa wana JF:

1. Mnajua kuwa iliundwa taskforce kama iliyoundwa NIC na ilipeka ripoti kwa wahusika? Mnajua kwa nini ile ripoti ilifichwa?

2. Mnajua Actuarial Valuation ya PSPF ilifanywa na nani na alilipwa kiasi gani kwa fedha za madafu? na kigogo gani ali recommend alipwe kiasi hicho?

3. Mnajua kwa nini hiyo valuation report ilifichwa?

4. Mnajua SIRI ya Ludovick Utouh (CAG) kutoa ripoti 3 tofauti?

5. Mnajua kwa nini ile ripoti nyingine imefichwa?


So much so for OPEN GOVERNMENT INITIATIVE...ukweli ni kuwa wale wenye akili zao kule mitaa ya Lithuli na Magogoni washaliona hili dude ni NOT VALUE FOR MONEY & PURPOSE and its just a matter of time habari ya kulivunjwa itatolewa lakini kama kawaida mtapewa majibu ya mkato mkato na yote kwa sababu hao wanaotegemewa kuuliza maswali magumu naya ndani wako bize wakipeana mipasho ya CHADEMA vs CCM ili mpotezwe lengo

Usiku mwema.

nini hatima ya wanachama
 
Maswali yote uliyouliza sidhani kuna wengi hapa wanaojua majibu yake. Kama unajua majibu tafadhali tumegee.

wana JF wako bize na mipasho ya akina CCM vs CHADEMA

kuna mtu wa kufikiria beyond petty politics za Mwigilu, Lema, Lwakatare na Youtube videos?

Ukumbi mmepewa lakini mko bize kujadiliana na nani ana watu wengi zaidi kwenye mikutano ya hadhara
 
kikwete serikali imemshinda. Hivi mtu ukiamua kukaa kando na kuwapisha wengine kuna ubaya gani, hakuna ulazima wa kutufikisha 2015. Unga umezidi maji, ugali aupikiki.
 
huu ni ushenzi mwingine nauita.

Mtu anakuja na sredi siujui siri kuu, mara ripoti 3 za CAG, mara sijui nini halafu mwishoe anabaki kutuuliza sisi tumpe majibu ya maswali yake.
Rubbish!

Dude kawaambie waliokutuma kwamba kwa sasa hatuna habari kamili but sooner than they think public itafahamu madudu yote haya.

Mungu ibariki Tanzania
 
wana JF wako bize na mipasho ya akina CCM vs CHADEMA

kuna mtu wa kufikiria beyond petty politics za Mwigilu, Lema, Lwakatare na Youtube videos?

Ukumbi mmepewa lakini mko bize kujadiliana na nani ana watu wengi zaidi kwenye mikutano ya hadhara

Hey, I am listening. Fill me in.
 
Maswali yote uliyouliza sidhani kuna wengi hapa wanaojua majibu yake. Kama unajua majibu tafadhali tumegee.

Bado sijaiona hiyo top secret uliyosema. Hayo yote uliyouliza ni maswali magumu.
 
SSRA kupitia mkurugenzi mkuu wake wamewahakikisha wanachama wote kuwa, mafao yao hayataathirika, kwahiyo hakuna cha kuofia hapa.

hivi wewe na umri wako bado unaaamini anything the Govt tells you?

come on

jiulize kwa nini CAG aliandaa ripoti 3 tofauti na nani kapewa ripoti ipi na kwa nini?
 
Michango ya wanaoendelea kukatwa itakuwaje? Isije ikapotelea hewani.
 
Tueleze basi tujue nini kinaendelea behind the scene..
 
wana JF wako bize na mipasho ya akina CCM vs CHADEMA

kuna mtu wa kufikiria beyond petty politics za Mwigilu, Lema, Lwakatare na Youtube videos?

Ukumbi mmepewa lakini mko bize kujadiliana na nani ana watu wengi zaidi kwenye mikutano ya hadhara

shut the ----erup if you have no fresh to fill the skeleton kuliko kuleta masimango hapa.
 
Je mnajua kuwa kulikuwa na versions 3 za CAG reports ambazo zote zimefichwa from the public?

Yes Ludovick Utouh either kwa kuambiwa au kwa kusudi ameamua kuwa wasiweke ile ripoti ya mahesabu ya PSPF wazi japo ni pesa za pensheni zinazolipwa na idara zote za serikali.

Sasa policy makers na REAL decision makers washa maliza mchakato wa kuifunga PSPF kwa sababu apart from mambo mengine ni kuwa hakuna justification ya serikali kuendelea kufanya baby sitting ya mfuko huu.

Cha ajabu ni kuwa mpaka actuarial valuation ya huu mfuko ulishawapa picha kamiili kuwa hauna muda and its just a matter of time.

Maswali kwa wana JF:

1. Mnajua kuwa iliundwa taskforce kama iliyoundwa NIC na ilipeka ripoti kwa wahusika? Mnajua kwa nini ile ripoti ilifichwa?

2. Mnajua Actuarial Valuation ya PSPF ilifanywa na nani na alilipwa kiasi gani kwa fedha za madafu? na kigogo gani ali recommend alipwe kiasi hicho?

3. Mnajua kwa nini hiyo valuation report ilifichwa?

4. Mnajua SIRI ya Ludovick Utouh (CAG) kutoa ripoti 3 tofauti?

5. Mnajua kwa nini ile ripoti nyingine imefichwa?


So much so for OPEN GOVERNMENT INITIATIVE...ukweli ni kuwa wale wenye akili zao kule mitaa ya Lithuli na Magogoni washaliona hili dude ni NOT VALUE FOR MONEY & PURPOSE and its just a matter of time habari ya kulivunjwa itatolewa lakini kama kawaida mtapewa majibu ya mkato mkato na yote kwa sababu hao wanaotegemewa kuuliza maswali magumu naya ndani wako bize wakipeana mipasho ya CHADEMA vs CCM ili mpotezwe lengo

Usiku mwema.

mkuu the circus maneno yako ni shubiri kwa wastaafu na wafanyakazi ambao wapo kwenye huo mfuko ila kama mzalendo wa kweli na access uliyonayo juu ya hili kitu ambacho cyo watz wengi wenye hiyo chance ungemalizia kazi uliyoianza kwa kutupa majibu ya hayo maswali na maelezo ya ziada ili wadau wawe na data si unajua advocacy is evidence based?
Naiona deci ndani ya pspf
 
Nitarudi hapa kesho asubuhi labda hiyo "top secret" itakuwa wazi, sasa hivi hakuna kitu hapa bora nirudi kule kwa Magesa Mulongo
 
You might have something interesting to tell the public but what u you do is what they did...hence helpless.
 
Back
Top Bottom