Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,025
Nini champions league,kuna mangunguta yameshindikana kitaa kwa kula hela za watu na kuwapiga chanuo lakini kwangu wanaliwa mzigo na hela sitoi hata buku!We umekutana na vitoto karibu kwenye CHAMPIONS LEAGUE! Pesa nakula na mzigo sikupi wala nini! Na nikikuona nakuchekea mpaka jino la mwisho