Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
Is that all u can say?
Kaunga,nirudie tena kukuambia...uwezo wako wa kutafakari mambo ni wa daraja la juu mnoooooo!
Is that all u can say?
Ww Mc wa maharusini??? au
na wewe akijitokeza wa hivyo
utakataa?
mimi hahitaji mwanaume wa kucomplement nilichonacho nataka mwanaume wa 'kiume' na awe wa kudumu, sio pass time, kama kujilisha na kujitunza naweza mwenyewe, japo zawadi sikatai
mnhhhh sounds like
i know you...do i?