Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,408
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)
Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)
Wananifatilia sana..........n.k
Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.
Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)
Wananifatilia sana..........n.k
Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.