Mademu wengi wanateseka juu yangu...

huyu Boflo hana lolote apeche alolo a-be-che-de-a!!
kaemu unakokahangaisha ni kamoja tuuu afu unasema wako wengi ......ushuzi mtupu!!!

wacha nikanunue bolfo la ukwe'e nilikatekate nilitie jemu na tani bond ninywe chai ya maziwa ya cowbell.........
Paloma Kama huamini....nijaribu utaprove mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Kumbe mpo wengi basi kampeni ya TULIZANA TUKO WANGAPI? inahitaji kufanya kazi kwa nguvu. Kaka usijipe sifa kama hizo ukadhani ni nzuri wanawake ni wajanja kutushinda sisi wanaume. Utakuja kutegewa tego nawe utanasa uishie kuhudhuria kliniki huku ukipanga foleni ya kupata ARV. kuwa makini UKIMWI UNAUWA
 
Kumbe mpo wengi basi kampeni ya TULIZANA TUKO WANGAPI? inahitaji kufanya kazi kwa nguvu. Kaka usijipe sifa kama hizo ukadhani ni nzuri wanawake ni wajanja kutushinda sisi wanaume. Utakuja kutegewa tego nawe utanasa uishie kuhudhuria kliniki huku ukipanga foleni ya kupata ARV. kuwa makini UKIMWI UNAUWA

Sijipi sifa kaka....Soma vzr utanielewa mantiki yangu
 
Wananipigia simu na sms kwa sana tu nauchuna, Wananifata home
Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri
Wananifatilia sana..........n.k
Ama kweli nimeamini....
ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.

Du jukwaa la MMU ni kiboko mtu anawawekea shairi lake mnaanza kumuita Punga, je? akiweka single tema ya taarabu si ndio mtammaliza
Hongera Boflo mpe Mzee Yusuf
 
Bwabwa bin Boflo na vijimambo vyake

Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)

Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)

Wananifatilia sana..........n.k


Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,

mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....

Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.
 
Sasa boflo, ukishawapa vyote hivyo, then ukawatesa kwa style yako hiyo wewe unapata nini out of that?

hata mimi nilitamani kujua,

ila nimesikia stori kuwa siku hizi kuna wanaume wako hivyo, anaona raha kusifiwa mtaani kwa kuwapa starehe wasichana warembo, anawabeba kwa wingi, anawatoa aout ofa kubwa kubwa, hadi magari halafu hataki uhusiano wa mapenzi zaidi ya kushikana bar.
Basi ndo raha na sifa yake,
nilishangaa sana
halafu kuna warembo wanaona sifa kula hela za watu, kutembezwa nchi ya nje, mashoping bila kuwa uhusiano wa mapenzi, nadhanmi ni lifestyle tu.
 
hata mimi nilitamani kujua,

ila nimesikia stori kuwa siku hizi kuna wanaume wako hivyo, anaona raha kusifiwa mtaani kwa kuwapa starehe wasichana warembo, anawabeba kwa wingi, anawatoa aout ofa kubwa kubwa, hadi magari halafu hataki uhusiano wa mapenzi zaidi ya kushikana bar.
Basi ndo raha na sifa yake,
nilishangaa sana
halafu kuna warembo wanaona sifa kula hela za watu, kutembezwa nchi ya nje, mashoping bila kuwa uhusiano wa mapenzi, nadhanmi ni lifestyle tu.

na wewe akijitokeza wa hivyo
utakataa?
 
Usiwe mjivuni kaka, Kama huna mpango na binti kwa nini umpotezee muda,kwa nini umtoe out na kumpa kila kitu halafu uingie mitini? Kwa nini uwakimbie?Kwa nini ujisifu kuwa mabinti wanateseka juu yako?Au ilitaka tu wadau wakuone bab kubwa hapa jamvini? Anyway ni mtazamo tu,mi hapa si mkaaji.
 
Baada ya kuona mafanikio ni madogo Boflo umeamua kuja hii ili watu wafunge safari wenyewe! Ha ha haaaaa! Mlinzi ajiandae kujibu hodi. Lol!
 
Last edited by a moderator:
si huna nguvu za kiume wewe punga? nimeshangaa kwenye post ile nyingine kuhusu yule mtetea shoga wa uganda na wewe umetetea sana ushoga,...wewe nawe ni shoga huna jipya....mnatakiwa kuchomwa moto hapa tz...hamfai kuishi.

Don't take Boflo too seriously! He is just an entertainer in his own way.
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom