Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
- Thread starter
- #41
Last edited by a moderator:
Kumbe mpo wengi basi kampeni ya TULIZANA TUKO WANGAPI? inahitaji kufanya kazi kwa nguvu. Kaka usijipe sifa kama hizo ukadhani ni nzuri wanawake ni wajanja kutushinda sisi wanaume. Utakuja kutegewa tego nawe utanasa uishie kuhudhuria kliniki huku ukipanga foleni ya kupata ARV. kuwa makini UKIMWI UNAUWA
Sijipi sifa kaka....Soma vzr utanielewa mantiki yangu
Wananipigia simu na sms kwa sana tu nauchuna, Wananifata home
Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri
Wananifatilia sana..........n.k Ama kweli nimeamini....
ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)
Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)
Wananifatilia sana..........n.k
Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.
Sasa boflo, ukishawapa vyote hivyo, then ukawatesa kwa style yako hiyo wewe unapata nini out of that?
hata mimi nilitamani kujua,
ila nimesikia stori kuwa siku hizi kuna wanaume wako hivyo, anaona raha kusifiwa mtaani kwa kuwapa starehe wasichana warembo, anawabeba kwa wingi, anawatoa aout ofa kubwa kubwa, hadi magari halafu hataki uhusiano wa mapenzi zaidi ya kushikana bar.
Basi ndo raha na sifa yake,
nilishangaa sana
halafu kuna warembo wanaona sifa kula hela za watu, kutembezwa nchi ya nje, mashoping bila kuwa uhusiano wa mapenzi, nadhanmi ni lifestyle tu.
si huna nguvu za kiume wewe punga? nimeshangaa kwenye post ile nyingine kuhusu yule mtetea shoga wa uganda na wewe umetetea sana ushoga,...wewe nawe ni shoga huna jipya....mnatakiwa kuchomwa moto hapa tz...hamfai kuishi.