Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boflo wanahangaika kukutafuta kwa sababu wanamisi hivyo ulivyozowea kuwapa-usipotoa wote watayeyuka!!
Tena usiende bila appointment, utaumbuliwa na walinzi wakati Boflo anakuchora kwenye moja ya monitor iliyoko kitchen, shauri yako akiileta picha yako JamiiPhoto! LOL
he he he, nikiingia kwenye fani nimedhamiria.
Hapa hakuna cha mtanga wala mmombasa, niko kama pangaboi.
Im in searching of true love
Boflo, imagine ukienda ATM unaambiwa "out of order".
.Ha ha ha,
Nani kanununilia mwenzake bia na nyama choma? (ni wewe)
Nani kalipia chumba guest? (ni wewe)
Sasa kwanini nat.mba mimi... Tulia wewe!
(hayo ni mazungumzo kati ya mmasai na mwanamke wa kimakonde baada ya mdada kumzungusha Masai kama pangaboi)
BTW Boflo ni Mnyamwezi, usijesema sikukutonya!
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)
Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)
Wananifatilia sana..........n.k
Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.