Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)
Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)
Wananifatilia sana..........n.k
Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.
huyu Boflo hana lolote apeche alolo a-be-che-de-a!!
kaemu unakokahangaisha ni kamoja tuuu afu unasema wako wengi ......ushuzi mtupu!!!
wacha nikanunue bolfo la ukwe'e nilikatekate nilitie jemu na tani bond ninywe chai ya maziwa ya cowbell.........
joka la kibisa
Kingkong hebu tupia namba yako ya simu kwa pm, nataka tuongee issue
Duuuh! mkuu nitonye upo! Long time no see ur face?Sasa unaongelea nini kama sikujipa sifa jinsi unavyowatesa mademu.
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)
Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)
Wananifatilia sana..........n.k
Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,
mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....
Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.