Mademu wengi wanateseka juu yangu...

boflo ni wewe unanifanya nakula madawa nisiyohitaji eeh?....kwa kunifilm my big fat ass...lol:director::director::director::director::director:
 
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)

Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)

Wananifatilia sana..........n.k


Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,

mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....

Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.

Unawatesa Mademu kwa kujificha?
Boflo, are you Gay?
 
Boflo , hao wachunaji bwana wanataka uendelee kulipa bills zao
 
Last edited by a moderator:
duh,ni ufyuzi au shuzi??
Nimependa jina lako
huyu Boflo hana lolote apeche alolo a-be-che-de-a!!
kaemu unakokahangaisha ni kamoja tuuu afu unasema wako wengi ......ushuzi mtupu!!!

wacha nikanunue bolfo la ukwe'e nilikatekate nilitie jemu na tani bond ninywe chai ya maziwa ya cowbell.........
 
sasa Boflo, u want true love lakini unawatesa wadada unategemea nini? huoni kama matendo yanakinzana na desires au true love yako haiko kwa wadada?
 
Last edited by a moderator:
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna)

Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri)

Wananifatilia sana..........n.k


Ama kweli nimeamini....ukitaka kumtesa mwanamke usimpige fimbo wala ngumi, mpe good time, mpe cash,

mpe starehe to the maximum...kisha achana naye......atapata shida sana na atakutafuta sana....

Wengi nimewafanyia hayo, wananitafuta sana...wananifatilia sana, hawana raha na maisha.

Subiri tu na wanao watafanyiwa hivihivi. What comes around, goes around..

 
We umekutana na vitoto karibu kwenye CHAMPIONS LEAGUE! Pesa nakula na mzigo sikupi wala nini! Na nikikuona nakuchekea mpaka jino la mwisho
 

Similar Discussions

10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom