Mademu wakimya mnakera mnoo

Mademu wakimya mnakera mnoo

Muache..
Mtu yeyote unatakiwa kuwa na wastani wa kila kitu
Pia kuishi kulingana na mazingira
Mimi shemeji zangu wote na mawifi wananikubali sana.
Ikihitaji kuongea naonge/kukaa kimya nakaa tena utadhani sijawahi kuongea hata mwaka mmoja
Pia unaangalia kuna wifi au shemeji mbea basi uyo ukikataka muelewane mkikaa teteni weeh/mwingine yeye mtu wa mipango yani hapo ni mipango tu/mwingine yeye baba/mama ushauri hapo mnashauriana mno/ukipata shemeji Mtu wa Ganja mkikaa elekezaneni jinsi ya kukimbia maaskari mkikaa kwa pusha/ukipata mwenye sifa/muongo mkubalie kila kitu msifu/ukipata wazee wa dharau basi dharau ifuate mkondo
Sasa wewe shemeji yako Esma unamwambia "muhubiri anasema"
Hutakaa upendwe nao kamwe wala kuelewana
Sio fresh kumuacha,siungi mkono hilo swala
 
Mpeleke counseling kwa mauki huyo..... Atakuja kufanya vitu vya ajabu. Si ulisikia ile story ya yule mwalimu au mfanyakazi wa benki waliokuwa wanajisaidia ndani ya vyumba wanavyolala?!

Sampuli zao huwa zinaanza hivi hivi hazieleweki...
 
Mi nlikuwa na kademu hakaongei hivyo hivyo. Siku nzima kimyaa...nakapigisha stori kanacheka tu afu kimya tena...shida akiongea sasa ni utumbo mtupu...nikawa naprefer kumuacha apige kimya tu..
hapana usingefanya hivyo huyo inabidi umfanye ajiskie comfortable kuongea pumba mbele yako, atakuona wa tofauti sana jinsi utavochukulia kawaida hayo mashudu yake kwasababu everybody else is judging her except you. pengine ametembea kwenye mahusiano mawili matatu na ameona kabisa jinsi ex zake walivokua wanamchukulia poa kwasababu ya kuongea mashudu so moyoni anakua anajipromise kabisa next time akipata mwanaume atapunguza kuongea ili asionekane kilaza.
 
hapana usingefanya hivyo huyo inabidi umfanye ajiskie comfortable kuongea pumba mbele yako, atakuona wa tofauti sana jinsi utavochukulia kawaida hayo mashudu yake kwasababu everybody else is judging her except you. pengine ametembea kwenye mahusiano mawili matatu na ameona kabisa jinsi ex zake walivokua wanamchukulia poa kwasababu ya kuongea mashudu so moyoni anakua anajipromise kabisa next time akipata mwanaume atapunguza kuongea ili asionekane kilaza.
Oh .. wish ningepata huu mtazamo mapema...sema ndo ishakuwa too late..
 
Habari za majukumu wakuu?

Kiukweli mademu wakimya sana wana boa mno.. Una kuta demu mzurii kabisa na elimu yake lakini yupo kama bubu hawezi hata kuchangia maada yoyote katika vikao vya ukoo au familia. Yaani kila kitu mpaka mwanaume aseme, yeye ni kusikiliza tu yaani hachangii chochote mpaka kero..
Back to the main point..

Yaani huyu demu wangu nafikiri ndo rais wa mademu wakimya duniani, nisipo msemesha mimi jua siku hiyo nzima hata ongea.
Mashemeji zake na mawifi zake wote wanamuogopa yaani baada ya salamu tu hana time nao tena.
Mi huwa naongea nae kwa kumuuliza vi maswali vya hapa na pale ndo wakati anajibu hapo ndo tunapiga story hivo.. Sasa inafika wakati na mimi maswali ya kumuuliza yanaisha tunabaki tunatazamana tu.

Tuna miaka mitatu kwenye mahusiano ila yupo vile vile tu.. Nilipo jaribu kumuuliza kuhusu ukimya wake akasema ndivo alivo tuNi mtu anae penda sana kujifunza vitu vingi, akimaliza kazi zake anaenda kwenye tv kufatilia BBC na CNN news pia ni shabiki mzurii wa mpira wa miguu anaweza taja hata kikosi kizima cha buyern munchen..

Watu wanamuogopa mnoo hata wageni hawaji siku akiwepo home.. Yaani hata ushoboke vipi hana time na wewe.Ni mzurii sana wa sura na umbo na elimu nzuri anayo shida ipo hapo kwenye ukimya ulio pitiliza..Alafu yupo emotional sana, yaani nikimtia mkwara kidogo tu atashinda analia siku hiyo..
Kweli "too much of any thing is harmful"

Simaanishi napenda mademu wanaoongea kama chiriku.. Kila
kitu kiwe cha wastani

Location: dodoma
Kama ndivyo alivyoumbwa tangu tumboni huna namna ya kumbadili zaidi ya kuiboresha personality yake.Huo ukimya nao ni fursa pia.Mungu siyo mjinga.
 
Hiyo ni Bahati mkuu shukuru Mungu Aiseee maana cc tulio Oa Clouds Fm ni Shida.
Huyo "Clouds FM"naye ni fursa nzuri tu.Kama hazina ya moyo wake ikijazwa maneno ya Hekima mbona utampenda bure.Shida inakuja pale ambapo hazina ya moyo wake imejazwa mipasho,misuto na uswahili-swahili.Kazi kwako.
 
Wangu mie aibu tu
10yrs in marriage ni aibu aibu aibuuu kwa kwenda mbele
Kwa wageni akisalimia tu anazama chumbani kumchomoa huko unahitaji greda na bludoza
Hahahaaaaa.Aibu kwa mke inazidisha urembo wake na kunogesha haiba yake ya kike.Enjoy ndugu.
 
kuna uwezekano story zako uwa anaziona pumba inambidi tu akae kimya chakufanya jaribu kujifunza vitu vigumu mpaka akione genius apende kujifunza mambo mengi toka kwako
Nasema ivyo kwasababa mke wa jamaa yangu yuko ivyo anaogopwa kichizi mimi nimetokea kupata nae mpaka mshkaji anashangaa Shem story zake ni ngumu mambo so akikutana na mimi mzee waku google mastori anakuwa very interested kupiga stor ukienda na pumba lazima umuone bubu
 
Nilivyo kusoma tena nimegundua kitu kiongozi kama ulivyosema uyo dem ni mtu anaependa kujifunza mambo mengi kuna uwezekano story zako uwa anaziona pumba inambidi tu akae kimya chakufanya jaribu kujifunza vitu vigumu mpaka akione genius apende kujifunza mambo mengi toka kwako
Nasema ivyo kwasababa mke wa jamaa yangu yuko ivyo anaogopwa kichizi mimi nimetokea kupata nae mpaka mshkaji anashangaa Shem story zake ni ngumu mambo so akikutana na mimi mzee waku google mastori anakuwa very interested kupiga stor ukienda na pumba lazima umuone bubu
Yaonyesha jamii yetu imejaa wanawake vilaza na wacheza vigodoro
Kwani mie Sion tatizo kwa ukimya wa mtu na Kama anajua vitu vingi si ishu
Ama wanategemea awe kama kina mwajuma ndalandefu kutwa milangon mwa watu?
 
Muulize "kwanini Punda anatoa mlio kila baada ya saa moja?" Nakuhakikishia mtapiga story siku nzima.

Watu wakimya wanapenda mental challenges sababu maisha yao yako kichwani zaidi kuliko mdomoni, kumtoa kichwani mwambie kitu ambacho kichwa chake hakiwezi kutatua.
 
kuna dada huyo chuo kikuu alikuwa akija kututembelea chumbani tunakimbia maana ni mkimya sana msabato mwenye msimamo mkali yaani akifika huko chumbani wengine wanakimbia mapema wakimuona dirishani anakuja. Maana hujui uongee story zipi muendane. Akifika kakaa basi mwenyewe bado ni kiongozi huko kanisani kwao. watu wakifika hapo kila mtu anatawanyika wakimuona anakuja.
 
Back
Top Bottom