Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,851
H
uyo kwenye avatar ana minywele mirefu refuhuyo ni Mimi kabisa..unaweza kuambiwa unaringa
uyo kwenye avatar ana minywele mirefu refuhuyo ni Mimi kabisa..unaweza kuambiwa unaringa
Hapana, umenikumbusha mbali nilivyokuwa vuvuzela ila sasa hivi nimekuwa mkimya mpaka nakera. Si unajua tena sie wazaramo tuna maneno kidogo tu😉Hahahaha mbali au mpaka saivi?
Amesema demu wake tu a.k.a mpenzi na wana miaka tatu sasa,,, sijui wanafanya utafiti gani kama hadi ndg wanamwita WiFi ma shemejiKuna kitu Mimi sijakielewa hapo.
Huyo demu ni mke wako au?
Hawezi kamweNtamshawishi nyete aje na I'd mpya akulize na wewe
Maana naona ushammiss




Aaaaaaah mkuu kwaio WiFi angu ni vuvuzela....![]()
Mkuu kwan ni lazima kufanya hayo mauchafu?!!Sasa huyo aibu... Anaweza suck di. Ck kweli? Au ndo wale wanataka uzime taa kwanza
Nahisi inna amemaanisha baadhi ..Unamaanisha kuwa sisi wa mbagala ndio mavuvuzela ama?![]()


Hahahaha mkuu umenivunja mbavu sanaaa, mpka greda.Wangu mie aibu tu
10yrs in marriage ni aibu aibu aibuuu kwa kwenda mbele
Kwa wageni akisalimia tu anazama chumbani kumchomoa huko unahitaji greda na bludoza
Unanifahamu hadi basi yani sifa zote zangu hizo...lakini kikosi cha bayern sikijui chote
joanah huyu huyu au kuna mwingine?
Asee mkuu tunaogolea bahari 1..mi wangu hua nakaaga kimya alafu nikikaa kimya utamsikia "una shida gani hubby" mi namjibu "sina shida nimeamua tu kukuigia kua mkimya" anazuga anacheka..ukimkazia uko kimya vile vile Mnuno unafata na madeko..Yani naboeka sema ndo hivyo sina jinsi..Huyu wangu yeye ukitaka aongeee Simu yake ikose game...yani ni anapenda kucheza game huyooo.
Sema namshukuru MUNGU kwa kila jambo..niki miss makelele najua pakuyapata
Hata JF hajui ni mdudu gani....siku utamfuma humu Jf anachangia hataree uta-feint.
Hapo sawa...vinginevyo angekiona cha mtema kuni💪🏻💪🏻😉Nahisi inna amemaanisha baadhi ..![]()
Tulioa mavuvuzela tunajuta huku ndo maana tunaogopa kurudi nyumbani tunaanzia bar