Mademu wakimya mnakera mnoo

Mademu wakimya mnakera mnoo

Mkuu mm nina mtazamo tofauti kidogo na ww labda kwakua hujajieleza vizur kuhusu ww binafsi.
Hakuna mtu mkimya duniani kwenye ngazi yoyote ile.
Nachokiona hapo ni kwamba WEWE japo sio mkimya ila HUNA content ya kutosha ku UTILIZE ufahamu wa huyo manzi.kwa jinsi ulivyo m describe hapo juu nimepata picha like she is much aware of what is going on around the world na MATERIALS nyingine nying kichwn as umesema ni mtu nayependa KUJIFUNZA.

TATIZO hapo ni ww huna INFORMATION za kutosha au kama unazo basi HOBBIE zenu inawezekana ni tofauti sana ndio maana mnakosa cha kuongea.Huna cha kuichokonoa AKILI yake ateme na share aliyonayo katika mazungumzo ya kawaida kama story za wapenz zilivyo.

Namaanisha hiv
1. Kama na ww una penda soka huwez kosa stor za kuongea nae.
2. Kama ni mfuatiliaji wa siasa na mambo ya ulimwengu unavyokwenda bas jua huwez kosa cha kuongea nae.

Huyo mkuu angenifaa saaana mm.
NB:
ni rahis sana kum model mwanamke hasa ambae kashapita shule.Unaweza kumfanya a suite na mambo hata ambayo hajayazoea.
Ww tu una feli somewhere
 
Kuna kitu Mimi sijakielewa hapo.

Huyo demu ni mke wako au?
Amesema demu wake tu a.k.a mpenzi na wana miaka tatu sasa,,, sijui wanafanya utafiti gani kama hadi ndg wanamwita WiFi ma shemeji
 
Mademu wakimya wengi wanae nyapu za baridi hatar

Daaa Nimemiss vile viroba vya konyagi vya buk 1000
 
Mpee hii mzee ataongea tuu vizuriii
IMG-20190802-WA0012.jpeg
 
joanah huyu huyu au kuna mwingine?

Asee mkuu tunaogolea bahari 1..mi wangu hua nakaaga kimya alafu nikikaa kimya utamsikia "una shida gani hubby" mi namjibu "sina shida nimeamua tu kukuigia kua mkimya" anazuga anacheka..ukimkazia uko kimya vile vile Mnuno unafata na madeko..Yani naboeka sema ndo hivyo sina jinsi..Huyu wangu yeye ukitaka aongeee Simu yake ikose game...yani ni anapenda kucheza game huyooo.

Sema namshukuru MUNGU kwa kila jambo..niki miss makelele najua pakuyapata

Mimi huyu huyu mkimya sana
 
Kama pange kuwepo uwezekano wakununua wachezaji mahili basi huyo wako ningemtolea pesa zozote akubali kumsainisha mkataba kucheza na kuleta ushindi mnono kwenye timu yangu. Ama kweli penye miti hakuna wajenzi, na upele umuota asiye na kucha. Una bahati ya mtende. Wanawake hao ni wachache sana tena hadimu mno, katika wanawake bilioni moja unakuta ni mmoja tu tena huyo wa kwako.
 
Back
Top Bottom