Madem wa siku hizi....hin haaaaaa!!

mi sijawahi tumia ivo vitu vya kichina tangia viingie, lkn cha ajabu nimekaa km mchina
 
mi sijawahi tumia ivo vitu vya kichina tangia viingie, lkn cha ajabu nimekaa km mchina
Hahahaaaa vya mchina lazma utumie kwa hiari au lazima
....Magari Yutong Hujapanda?
....Za ndani nyingi ni made in Chainizi..hujavaa?
Lol etc
 
Wachina noma,wamebakiza kutuletea roho za kichina mtu akifa anafanyiwa repair kiti ya roho na kuendelea kuishi lol!
 
Back
Top Bottom