Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,646
- 44,228
Naww una taarifa nyingHuyu Mange haya maneno mbona hakumwambia Nsembo wakati anampiga makofi pale Dar Free Market?
Naww una taarifa nyingHuyu Mange haya maneno mbona hakumwambia Nsembo wakati anampiga makofi pale Dar Free Market?
Kinje mtoto Wa Yule kada maarufu aliyehamia chama kikubwa cha upinzani.Kinje yupi
Huo mtandao kama unaujua utaje basi vinginevyo achana na porojo.Biashara hiyo ni nzito sana , na cheni yake kubwa sana Duniani , watu wanauliwa kwa ukimbelembele wengi sana Duniani kwa kuwafuatilia wahusika wa biashara ya Unga (MADAWA) huyo Mange ni papasi tuu fulani .,Sifa mbaya sana, na mwadamu uwezi kushiba sifa kama unavyoshiba sahani ya wali maharage,. Aache vyombo vihusika vifanye kazi,sio yeye kutaja watu bila ushahidi wowote, au kama yupo na ushahidi apeleke kwenye vyombo husika vichukue hatua. Mtamsifia oohoo Mange aogopi ohoo Mange sijui hivi. Sifa zitamponza huyo Dada . Mkono wa wauza Madawa Duniani ni mkubwa sana. Atapotezwa Duniani mkakosa huo udaku daku wake.
Sema naww hujakutana na mrija wa pesa za ungaNaona Lulu anatakata kwa pesa ya sembe,sio mchezo.
Naona Lulu anatakata kwa pesa ya sembe,sio mchezo.
Huo mtandao kama unaujua utaje basi vinginevyo achana na porojo.
Umenikumbusha marehemu Amina Chifupa alikuja namna hii ila yeye akaenda a step further kwa kuingia mtaana, kukutana na mateja hadi chimbo zao na mwisho akaja na list moja mzuri sana hata Baba rizi aliwahi kukiri mara kadhaa kupokea na kusema anayo orodha kamili ya wanaouza hiyo makitu ila ndio kama hivyo hadi leo kimya~kimya (R.I.P Ngwair) Amina Chifupa na bidii yake yote tunajua kilichomkuta walifanya yao leo hii ni mwaka wa 9 anapumzika kwa amani. Vita ya madawa ya kulevya ni vita ngumu. Mtandao ni mkubwa. Baba rizi hadi anakabidhi kiti akuwahi kuwataja wala kuwafikisha kwenye mikono ya sheria despite kuwa na majina hadi leo hiiBiashara hiyo ni nzito sana , na cheni yake kubwa sana Duniani , watu wanauliwa kwa ukimbelembele wengi sana Duniani kwa kuwafuatilia wahusika wa biashara ya Unga (MADAWA) huyo Mange ni papasi tuu fulani .,Sifa mbaya sana, na mwadamu uwezi kushiba sifa kama unavyoshiba sahani ya wali maharage,. Aache vyombo vihusika vifanye kazi,sio yeye kutaja watu bila ushahidi wowote, au kama yupo na ushahidi apeleke kwenye vyombo husika vichukue hatua. Mtamsifia oohoo Mange aogopi ohoo Mange sijui hivi. Sifa zitamponza huyo Dada . Mkono wa wauza Madawa Duniani ni mkubwa sana. Atapotezwa Duniani mkakosa huo udaku daku wake.
Acha kuropoka usiyoyajua.Sema naww hujakutana na mrija wa pesa za unga
Labda sio Lulu ninayemjua mimi.Acha wivu wewe Binti, una hakika gani ktk hili? Lulu alitakata tangia kuzaliwa kwake..
Acha hizo dadangu...Labda sio Lulu ninayemjua mimi.
Mbona mateja ndo wanazidi ?Nimemkumbuka Mh Kitwanga. Awamu hii ya Mh rais Magufuli biashara ya madawa ya kulevya imekuwa ngumu.
Mbona unalia na wivu sana?Mimi kusema Lulu anatakata kwa pesa za sembe ndio wivu?Acha hizo dadangu...
Work hard tafuta pesa, haina haja ya wivu kwa waliotusua. Forget abt histry !
Alikwambia anatakata kwa pesa ya unga?Labda sio Lulu ninayemjua mimi.
Life has no formula, under the sun only changes remains permanent. Forget abt naemjuaMbona unalia na wivu sana?Mimi kusema Lulu anatakata kwa pesa za sembe ndio wivu?