Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

Biashara hiyo ni nzito sana , na cheni yake kubwa sana Duniani , watu wanauliwa kwa ukimbelembele wengi sana Duniani kwa kuwafuatilia wahusika wa biashara ya Unga (MADAWA) huyo Mange ni papasi tuu fulani .,Sifa mbaya sana, na mwanadamu uwezi kushiba sifa kama unavyoshiba sahani ya wali maharage,. Aache vyombo vihusika vifanye kazi,sio yeye kutaja watu bila ushahidi wowote, au kama yupo na ushahidi apeleke kwenye vyombo husika vichukue hatua. Mtamsifia oohoo Mange aogopi ohoo Mange sijui hivi. Sifa zitamponza huyo Dada . Mkono wa wauza Madawa Duniani ni mkubwa sana. Atapotezwa Duniani mkakosa huo udaku daku wake.
 
Biashara hiyo ni nzito sana , na cheni yake kubwa sana Duniani , watu wanauliwa kwa ukimbelembele wengi sana Duniani kwa kuwafuatilia wahusika wa biashara ya Unga (MADAWA) huyo Mange ni papasi tuu fulani .,Sifa mbaya sana, na mwadamu uwezi kushiba sifa kama unavyoshiba sahani ya wali maharage,. Aache vyombo vihusika vifanye kazi,sio yeye kutaja watu bila ushahidi wowote, au kama yupo na ushahidi apeleke kwenye vyombo husika vichukue hatua. Mtamsifia oohoo Mange aogopi ohoo Mange sijui hivi. Sifa zitamponza huyo Dada . Mkono wa wauza Madawa Duniani ni mkubwa sana. Atapotezwa Duniani mkakosa huo udaku daku wake.
Huo mtandao kama unaujua utaje basi vinginevyo achana na porojo.
 
Biashara hiyo ni nzito sana , na cheni yake kubwa sana Duniani , watu wanauliwa kwa ukimbelembele wengi sana Duniani kwa kuwafuatilia wahusika wa biashara ya Unga (MADAWA) huyo Mange ni papasi tuu fulani .,Sifa mbaya sana, na mwadamu uwezi kushiba sifa kama unavyoshiba sahani ya wali maharage,. Aache vyombo vihusika vifanye kazi,sio yeye kutaja watu bila ushahidi wowote, au kama yupo na ushahidi apeleke kwenye vyombo husika vichukue hatua. Mtamsifia oohoo Mange aogopi ohoo Mange sijui hivi. Sifa zitamponza huyo Dada . Mkono wa wauza Madawa Duniani ni mkubwa sana. Atapotezwa Duniani mkakosa huo udaku daku wake.
Umenikumbusha marehemu Amina Chifupa alikuja namna hii ila yeye akaenda a step further kwa kuingia mtaana, kukutana na mateja hadi chimbo zao na mwisho akaja na list moja mzuri sana hata Baba rizi aliwahi kukiri mara kadhaa kupokea na kusema anayo orodha kamili ya wanaouza hiyo makitu ila ndio kama hivyo hadi leo kimya~kimya (R.I.P Ngwair) Amina Chifupa na bidii yake yote tunajua kilichomkuta walifanya yao leo hii ni mwaka wa 9 anapumzika kwa amani. Vita ya madawa ya kulevya ni vita ngumu. Mtandao ni mkubwa. Baba rizi hadi anakabidhi kiti akuwahi kuwataja wala kuwafikisha kwenye mikono ya sheria despite kuwa na majina hadi leo hii
 
Back
Top Bottom