Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,756
KWANI HII NCHI TUKIPAMBANA NA WAUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA TUTANYIMWA MISAADA???
Tumuombee kila la kheri atokomeze hili janga huyo alteza inaonekana alikua tishioMkuu sio hatua mbaya. leo amekamatwa kijana anaitwa Said alteza huyu ni mtu wa drugs kitambo ila sijawai kusikia amekamatwa ila leo makonda na polis wamefika mpka kwake maeneo ya kigambon kibugumo hospital wameondoka nae...kuna kijana mwanyamala makaburin anaitwa Mack ni wa kitambo ktk unga alianza kuwauzia wanafunzi wenzie CBE miaka 1999- 2000 mpka leo amekuwa Don wa unga mwanyamala pia ajawai kushikwa ila leo makonda amemtaja so ni hatua nzur maana huu mtandao ni mkubwa...na madon wa drugs wapo wengi yupo unayemjua wew ila mimi simjui ila hatua nzur coz untouchable wa mtaa wetu pia wameanza kushikwa
Hhhhhhh eti UkawaUkawa
uko sahihi mkuuuuAmeanza na hao wataeleza tu wanayatoa wapi atatia tim na uko ni kazi ngumu tunatakiwa tumuunge mkono viongozi wakubwa zaidi yake wameshidwa hata kwa hilo
Critical thinker aiseeee ni kosa kubwa, na bado anawatumia hao hao polisi ktk vita hiiiHuyu "mungu" wa Dar kwa nini asipeleke ushahidi wake polisi? Au anautangazia umma sababu hana imani na polisi?
Mimi nina uhakika ana nia njema lakini approach yake ya ku-undermine the police force and putting himself on the limelight will backfire, soon or later but it certainly will!
Yea mkuu ukweli ndio huo.nipo tofauti na maoni ya wengi, uwezi kausha mti kwa kupukutisha jani mojamoja. kila unapofanya hivyo yanaota mengine. ondoa mizizi mikubwa majani yatapukutika yenyewe. kucheza na viposi dagaa unaacha papa na nyangumi, Makonda umechagua njia pita katikati tena nenda kasi sivyo kutembea pembeni ya barabara angalia usije angusha gari bila kufika mwisho wa safari.
Mchango wako unajenga taswira gani? Mnataka nini hasa watz? Badala ya kusimama nyuma yake, mnaanzisha vijimaneno vya kumkatisha tamaa! Eti anatafuta namna ya kukuza cv yake, una matatizo wewe! BadilikaMh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh Paul Makonda anajitaidi kufanya kazi na kutafuta namna ya kukuza CV yake ya utawala ni jambo jema kabisa na anastahili kuungwa mkono katika ndoto zake za kuitengeneza Dar mpya.
Leo habari zimeenea katika mitandao kuwa ameamua kutangaza vita dhidi ya madawa ya kulevya DSM. Tena akasema anataka afanye kazi kiasi kwamba atakapokuwa kwa Mungu awe na majibu ya kumpa juu ya nini alichokifanya kuyatokomeza madawa ya kulevya ndani ya jiji la Dar.
Sasa kwenye battle graund Mh anapambana na watu kama Wema Sepetu, TID, Mr Blue, Chid Benzi n.k alafu na baazi ya askari polisi wenye vyeo kama sajent detective copro n.k
Hivi kwa picha hiii na watu alioanza nao nikweli ndio mzizi wa madawa ya kulevya?
Hivi hii vita alivyoianza ataifaulu? mbinu anayoitumia inafaa? Maana ni kama amewasha alarm vigogo wanao husika kama wapo si watachukua tahadhari? Mimi nilidhan angewakamata kimya kimya na angeanza na wauzaji wa kuu then kesi zikafika mahakamani alafu ndio akatangaza sasa
Kwanini katika majina yale hamna majina ya vigogo wanaosemwa semwa underground?
Kama kweli alidhamilia kwanini hakuomba ile orodha ya wauzaji wa Ngada aliyopewa mh Kikwete?
Aidha namuombea mapambano mema.