Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,960
- 11,221
Hili taifa sasa limekosa mwelekeo, maadili na uzalendo. Inataka mtu mwenye akili za mwendawazimu kutofahamu CCM imelifikisha taifa hapa. Cha kushangaza ni genge la watu wachache tu wenye huwezo wa ku-influence wabunge 357-wabunge wa upinzani=?, hili kulifanya taifa zima liwe katika mazingira yasio na dira.
Hapo hapo kuna watu wanaokuja hapa kutaka kutudanganya wanadai mabadiliko kwa kutumia maadili ya Mwl. JKN wakimtukuza kwa fikra na maadili lakini bila ya namna zake. Ukiangalia mwalimu alichokuwa anasimamia mfano katika moja ya quote zake hapo chini:
Na kuhakikisha alikuwa anaamini anachosimamia kaondoka madarakani hana utajiri. Kwakuwa alikuwa akiamini kile alichosimamia kwa dhati na mbinu zake ziliendana na mawazo yake.
Taifa bado ni maskini badala ya watanzania kujikita katika mapambano ya kurudisha usawa hili tuwekeze kwenye maendeleo ya taifa na kusambaza utajiri kwa wote. Imekuwa tabia sasa ya walio soma kutaka kuwakamata wale viongozi wachache wa CCM ,wanaoliwazwa na marupurupu hili kupitisha dhambi za wachache. Badala ya hawa wasomi kupigana kuwarudisha hawa watu dunia ya mtanzania wao wanatafuta mbinu za kufika hukohuko juu.
Muumiaji wa kweli hasa katika sangomaa hizi za viongozi wetu wajuu na wasomi wetu ni watanzania maskini ambao wamekuwa mtaji wa waelevu.
Kwakuwa CCM imejikita kwenye ku-invest kwa wabunge hili kuendeleza sera za wizi na uongo, kama kweli tungekuwa na watu wanaotaka maendeleo na mabadiliko kwanini hivi vita visingepelekwa kule kule wanapokutana. Kwanini wasipigane na mbinu chafu za CCM kuendelea kutawala kama katiba yenye kuweka wazi access ya vyombo usalama, ulinzi, sheria na independent bodies hili kufikia lengo hilo. Katiba imedaiwa lakini watu wamejichanganya mpaka priority ya kumtetea mtanzania imepotea imehamia kwenye fikra zingine zenye malengo ya personal gains for the large part yaani muungano.
Maadili ya wasomi yamekuwa ni kutafuta maslahi binafsi kutumia mgongo wa maskini, huwezi kuniambia eti kumtesa maskini kwa kumyima huduma ni kwenye kutaka kumsaidia kwa muda mrefu were did you arrive to such conclusion.
‘Morality requires using our reasons to arrive at a universal moral principle that doesn't depend on wants and desires. We must always treat one another with dignity and respect. And never use anyone as the means to an end.Morality is not about calculating the consequences of our actions. It is about acting out of duty, out of principle doing the right thing for the right reasons.' Emmanuel Kant
Kwenye nchi yenye chaguzi na muda wa kubadili viongozi sidhani ni sawa kuwaadhibu wengi kwa makosa ya wachache. Mgomo wa Madokta si sawa.
Hapo hapo kuna watu wanaokuja hapa kutaka kutudanganya wanadai mabadiliko kwa kutumia maadili ya Mwl. JKN wakimtukuza kwa fikra na maadili lakini bila ya namna zake. Ukiangalia mwalimu alichokuwa anasimamia mfano katika moja ya quote zake hapo chini:
"There must be equality because only on this basis will men work cooperatively. There must be freedom because every individual is not served by the society unless it is his. And there must be unity, because only when the society is united can its members live and work in peace, security and well-being. Society must have institutions which safeguard and promote both unity and freedom and it must be permeated by an attitude-a society ethic-which ensures that these institutions remain true to their purpose, and are adapted as need arises." -Mwalimu Julius K. Nyerere (Philosophy of Mwalimu Julius Kambarage Nyerere
Na kuhakikisha alikuwa anaamini anachosimamia kaondoka madarakani hana utajiri. Kwakuwa alikuwa akiamini kile alichosimamia kwa dhati na mbinu zake ziliendana na mawazo yake.
Taifa bado ni maskini badala ya watanzania kujikita katika mapambano ya kurudisha usawa hili tuwekeze kwenye maendeleo ya taifa na kusambaza utajiri kwa wote. Imekuwa tabia sasa ya walio soma kutaka kuwakamata wale viongozi wachache wa CCM ,wanaoliwazwa na marupurupu hili kupitisha dhambi za wachache. Badala ya hawa wasomi kupigana kuwarudisha hawa watu dunia ya mtanzania wao wanatafuta mbinu za kufika hukohuko juu.
Muumiaji wa kweli hasa katika sangomaa hizi za viongozi wetu wajuu na wasomi wetu ni watanzania maskini ambao wamekuwa mtaji wa waelevu.
Kwakuwa CCM imejikita kwenye ku-invest kwa wabunge hili kuendeleza sera za wizi na uongo, kama kweli tungekuwa na watu wanaotaka maendeleo na mabadiliko kwanini hivi vita visingepelekwa kule kule wanapokutana. Kwanini wasipigane na mbinu chafu za CCM kuendelea kutawala kama katiba yenye kuweka wazi access ya vyombo usalama, ulinzi, sheria na independent bodies hili kufikia lengo hilo. Katiba imedaiwa lakini watu wamejichanganya mpaka priority ya kumtetea mtanzania imepotea imehamia kwenye fikra zingine zenye malengo ya personal gains for the large part yaani muungano.
Maadili ya wasomi yamekuwa ni kutafuta maslahi binafsi kutumia mgongo wa maskini, huwezi kuniambia eti kumtesa maskini kwa kumyima huduma ni kwenye kutaka kumsaidia kwa muda mrefu were did you arrive to such conclusion.
‘Morality requires using our reasons to arrive at a universal moral principle that doesn't depend on wants and desires. We must always treat one another with dignity and respect. And never use anyone as the means to an end.Morality is not about calculating the consequences of our actions. It is about acting out of duty, out of principle doing the right thing for the right reasons.' Emmanuel Kant
Kwenye nchi yenye chaguzi na muda wa kubadili viongozi sidhani ni sawa kuwaadhibu wengi kwa makosa ya wachache. Mgomo wa Madokta si sawa.