Madaktari: Hakuna anayerudi kazini kesho!

Madaktari: Hakuna anayerudi kazini kesho!

Kama ningekuwa Pinda ningejishusha hadi kesho kwenda pale wanapotaka niwasikilize hoja zao,kwa sababu madaktari walikua wanamtaka waziri mkuu.Ningeenda kesho nikawasikiliza kwa hali ya utulivu.Katika baadhi ya mambo ni ka side nao ili kuwa na empathy.Mengine magumu ningewaeleza ukweli na ugumu huo uko wapi,kuna mambo ya kisera ambayo huwezi kuyabadilisha overnight.

Kwa maamuzi ya Waziri mkuu ya leo kwa vyovyote vile sio suluhisho la matatizo kwa trade union yenye watu wachache kama ya madaktari ambao ni rahisi kuji organize sio kama walimu.Hata kama madaktari watarudi kazini hawatafanya kazi.Kujishusha huwa kunasaidia sana kwenye critical situations kama hizi.

Wewe hapo umeweza kutumia NEGOTIATION SKILLS...sijui kama wana siasa wanazo au kama wanazo, wanazitumia!
 
Butola Mikutano sio lazima ukumbini teleconfrerence kwa free skype inawezekana FB, Twitter, Linkeldin, Egroups yote ni makutano ambayo kirungu cha FFU wala gari la maji ya upupu halifikiiiiii...Dunia imebadilika mkuuu
 
WAO WANATIBIWA NJE...halafu sasa hivi wanasema wanajitahidi!!! yani hawa jamaa wao wanajiona wako peponi na ni haki yao kula hii nchi kama watakavyo..Madaktari nawambia kazeni mkwiji Serikali hii chovuhaitapa Madaktari wa kujaza nafasi zenu ila mkisalitiana mjue mmekwisha!!!

Hapo mlipofikia ni point of No Return..so keep on Moving...
 
Mafahali wawili wakipigana ziumiazo nyasi. Nawahurumia watanzania wenzangu walio wagonjwa kipindi hiki.
 
Sasa madaktari wadhihirisha immaturity tena. Wao wamesema hawawezi kukutana na waziri mkuu siku ya jumapili, lakini wameweza kukutana na waandishi wa habari!
Nadhani kuna madaktari wanapenda mgomo uendelee kwa sababu after all mshahara wao wanaendelea kupata na muda huu wa mgomo wanaendelea kufanya shughuli zao nyingine ikiwemo kwenda kutibia hospitali private...

Huu ni utawala wa kila kikundi kudai haki zake. Wabunge wanajichotea tu. Tuwaache ma-Dk watafute haki yao badala ya kushabikia akili ndogo zinazoishi ikulu.

Akili kubwa haiwezi kuhangaika na mahesabu ya kitoto kiasi hicho bila kutueleza kwa nini Sehemu kubwa ya pesa ya nchi inaishia ktk siasa na malipo ya wanasiasa.
 
Kwa upande wangu nampongeza pinda mizengo.....vile ndo nchi inavotakiwa kuongozwa....vijana kesho jamatatu mnatakiwa kazini...na asie onekana hana kazi....kuhusu matamko yenu sie hayatuhusu sana...maana kuna mamia ya madaktari katika sector binafsi wanazimendea ivo ajira mlizo zikalia....ningekuwa mimi waziri mkuu...asieonekana kazini kesho hata mshahara wake wa mwezi huu ingekuwa ndoto...na ningewafungulia kesi ya mauaji ya wagonjwa....big-up pinda
 
Kwa upande wangu nampongeza pinda mizengo.....vile ndo nchi inavotakiwa kuongozwa....vijana kesho jamatatu mnatakiwa kazini...na asie onekana hana kazi....kuhusu matamko yenu sie hayatuhusu sana...maana kuna mamia ya madaktari katika sector binafsi wanazimendea ivo ajira mlizo zikalia....ningekuwa mimi waziri mkuu...asieonekana kazini kesho hata mshahara wake wa mwezi huu ingekuwa ndoto...na ningewafungulia kesi ya mauaji ya wagonjwa....big-up pinda

We ndio lumpen wa kufa mtu!madaktari wa hospital binafsi unafikiri ni wapi kama sio wengi wao wanatoka kwy hospital za serikali?au haujuhi kua nchi bado ina uhaba wa doctors?usiwe unakurupuka na upeo wako wa kuku na kuja kuchangia humu,JF sio sehemu ya udaku na umbumbu,kama una knowledge ndogo basi tulie na ujifunze kwa kupitia uwezo wa members wengine!
 
Mafahali wawili wakipigana ziumiazo nyasi. Nawahurumia watanzania wenzangu walio wagonjwa kipindi hiki.

Hata wewe na mimi ni wagonjwa wa muda wowote!kikubwa tuelewe kua ma dr wana mambo ya msingi wanayodai,sio wanasiasa kujineemesha wao tu pasipo kujali matabaka mengine ya watanzania!malipo bora kwa wabunge na kwa doctors kipi muhimu kwako?
 
Poleni Madaktari na hongereni kwa kuwa na msimamo.

Madai yenu ni ya msingi kabisa. Kila mtu anayefahamu hali halisi kwenye hospitali zetu anaungana na nyinyi katika hili, ni wale tu wanaojifanya hawafahamu au haiwahusu ndo wanaweza kuona madai yenu siyo ya msingi. Tunaomba muendelee kuwa na umoja thabiti msiogope vitisho labda serikali ita-ipa kipaumbele hii sector ya afya. Kama Muhimbili penyewe wagonjwa wanalala chini huko vijijini hali ikoje?

Please, keep it up guys.
 
Sasa madaktari wadhihirisha immaturity tena. Wao wamesema hawawezi kukutana na waziri mkuu siku ya jumapili, lakini wameweza kukutana na waandishi wa habari!
Nadhani kuna madaktari wanapenda mgomo uendelee kwa sababu after all mshahara wao wanaendelea kupata na muda huu wa mgomo wanaendelea kufanya shughuli zao nyingine ikiwemo kwenda kutibia hospitali private...
diiiiiiii......... mkubwa wewe.
 
Lakini jamani mashindano ya nini?. Pinda kenda kuwaona leo madaktari wameingia kizani wao wanataka wakutane kesho... Hivi kuna tofauti gani kati ya kukutana leo na kesho ikiwa agenda zipo tayari?

alichoongea leo ndo ajenda aliyoandaa. Kama kuna mambo aliyoyapanga kuyatatua angeanika hadharani ili ionekane kama kuna ushughulikiwaji wa matatizo unaendelea. Naye amekuja na sera ile ile ya persona attack badala ya kutaja kuwa tatizo hili tumelishughulikia hapa mpaka pale. Sasa tunaomba mrejee kazini mengine yakiendelea kumaliziwa.
 
In February 2008, Pinda was sworn under the oath of protecting and defending watanzania. Surprisingly, he looks helpless, whilst Tanzanians are dying as a result of an avoidable strike. We have become a ‘strike republic', not 'united' any more.

Nchi za wenzetu madaktari wanakuna vichwa jinsi gani ya kuja na Medical Breakthroughs, sisi, wanakuna vichwa jinsi gani ya kupambana na uzembe wa serikali na siasa zake. Tatizo ni kwamba, Tanzania, sekta ya Afya inaendeshwa kisiasa, kuanzia process ya kuandaa bajeti, allocation of resources, to the management of the sector. Na mfumo wetu bado ni ule ile wa enzi za welfare and developmental state. Pia katika mfumo ule, kupingana na kitu chochote, hata kama ni cha msingi kabisa, ulikuwa unaonekana msaliti kwa taifa lako la kijamaa.

Pinda angetumia busara zaidi kwa kusisitia umuhimu wa kubadilisha mfumo mzima wa sekta afya, ili awe ukurasa mmoja na moja ya madai ya madaktari kwamba uongozi wizarani ni mbovu. Ameshindwa nini kutoa tamko kama alilotoa bungeni wakati wa sakata la Jairo? Angesema tu kwamba Rais yupo nje, akirudi, tutaliangalia hili, hasa la kubadili mfumo wa sekta ya afya. Then Rais angefanya tu mabadiliko ya Baraza la Mawaziri lengo likiwa ni kubadili mfumo wa wizara uliopitwa na wakati, ili kuondoa ufisadi na siasa. Kwa ahadi hii tu, madaktari wangepata moyo kwamba wanasikilizwa, hivyo wangerudi makazini, huku serikali ikiahidi kushughulikia mengine, especially in the context of the next budget ya June 2012.

Kuanzia mwaka ujao wa fedha, serikali ingeachana tabia mbovu ya kutenga 75% of the budget kwa matumizi ya wizarani, na hospitali za rufaa na taasisi za kitaifa (humo humo ikiwa ni pamoja na posho, mishahara, tiba za wakubwa nje), huku hospitali nyingine za mikoa, wilaya, na zahanati vijijini ziikipata the remaining 25%, ambayo hata hivyo, zinaishia mikoani mifukoni mwa wachace, na baadhi ya wilaya. Ndio maana unakuta wataalam wengi wanakimbilia up the ladder (hospitali za rufaa, taasisi kadhaa za afya, na baadhi ya mikoa), kwa sababu huku ndio kuna more resources allocated, hivyo kupelekea ‘too much manpower to chase too few resources'. Many years ago, pia African Union walikubaliana kwamba kila nchi itenge 15% ya bajeti yake kwa ajili ya sekta ya Afya. Since then, Tanzania haijawahi kufikisha anything beyond 8%.

Iwapo Mizengo Pinda angeahidi haya - kufumua sekta ya afya na pia kubadilisha how resources are being allocated in the sector, hapo Pinda angekuwa in-line na kiapo chake cha to protect and defend watanzania, na sio kuachia watanzania wafe kwa mgomo unaotatulika.
 
At last, the bravo the docs...dear docs just carry on and finish you've been standing for till they (pindas) comes to your toes begging for thorough negotiation which packs no unilateral orders as PM Pinda has done to embrace his own ends. Damn to pinda's dictatorial orders, all the people have to know there are times where the oppressed raises and begin to demand for the long-time denied rights.

All the best to doctors, for whatever reasons that may hook up don't turn back and instead you walk forward.
Tazameni, ikiwa mtu mkubwa kama Pinda aanafikia hatua ya kutoaa profile ya mtu lively like that ni upotofu, na je ikiwa aliyempa hizo data amedanganya...what will be the consequences?
 
Mh Pinda huwa ananifurahisha sana

PINDA.2.jpg


12_10_6scme1.jpg


Huyu Mkuu waziri anapenda sana maigizo

IMG_9046.jpg

Hapa imekolea na ishara wazi ya kiwango cha kufikiri, maana mwenye hekima angewasikiliza kwanza kabla ya kuhukumu bila kuwasikiliza.
 
Sasa madaktari wadhihirisha immaturity tena. Wao wamesema hawawezi kukutana na waziri mkuu siku ya jumapili, lakini wameweza kukutana na waandishi wa habari!
Nadhani kuna madaktari wanapenda mgomo uendelee kwa sababu after all mshahara wao wanaendelea kupata na muda huu wa mgomo wanaendelea kufanya shughuli zao nyingine ikiwemo kwenda kutibia hospitali private...
ungekua makini ungegundua kamati ndio iliyokutana na wanahabari. mkutano na pinda ulikua uwe na madr wote
 
.............kwani pinda ni kipi alichowai kufanya cha maana na wewe kufikia hatua ya kusema haya si maamuzi yake??.


Huyo hapo chini...hahahah!!! Pindaaaaa.....huyu Jamaaaa yani ni Msaniii kupita maelezo, bora hata ya Mzee wetu Makamba aisee kuliko msanii huyu, wala haeleweki anasimamia lipi na anafanya lipi.

Kamkataa Jairo, wenzie wakamrudisha akaufyata, Zanzibar sio Nchi...ikajibu akaufyata. Magari ya kifahali sitaki, wakanunua na yeye wakampa moja..hahahaha. Check hapo yuko na Tshirt ya bure ya Tusker...hahaha PM anapromote bia hadi home, tiGO wamesahau kumpa kofia angeitinga.



12_10_6scme1.jpg
 
sasa mimi dr wa wanyama sijui niwaunge mkono hawa jamaa..........\Orait, kesho siendi kuwatibu wale wadudu wa mzee Macha.
Nagomaaaa.........I am supporting you guys.........100% pamoja.

kwani ata hao wanyama unaowatibu. Mazingira ni mazuri
 
Back
Top Bottom