Madaktari: Hakuna anayerudi kazini kesho!

Madaktari: Hakuna anayerudi kazini kesho!

Wanavyomnanga Dr. Ulimboka wananikumbushia enzi za Mgaya na mgomo wa wafanyakazi! Inashangaza kuona kuwa kila anayejitokeza kuiface serikali bila uoga ana-happen kuwa mkorofi na mwenye utovu wa maadili!! Siku wananchi wote wakiandamana na kuichachamalia serikali katika kudai haki zao ndipo watakapojua hali halisi. Ingawa ninahisi kwa jinsi walivyotugawanya haitokuwa
 
who is at least a leader in this great nation? We are tired of rulers!
 
Wanavyomnanga Dr. Ulimboka wananikumbushia enzi za Mgaya na mgomo wa wafanyakazi! Inashangaza kuona kuwa kila anayejitokeza kuiface serikali bila uoga ana-happen kuwa mkorofi na mwenye utovu wa maadili!! Siku wananchi wote wakiandamana na kuichachamalia serikali katika kudai haki zao ndipo watakapojua hali halisi. Ingawa ninahisi kwa jinsi walivyotugawanya haitokuwa
NI kweli kabisa, ila wamekosea kitu kimoja, Ulimboka is there for a purpose!!! na jamaa ni jembe😛oa
 
Serikali tatizo kila kitu inafanya ubabe wakijiona wao ni wajuaji zaidi mbona wakati wabunge wanajiongezea posho Pinda hakutoa kauli au amri yoyte ile lakini leo hii kwa madaktari anajifanya kutoa kauli za kuwatishia kuwa watafukuzwa kazi, tatizo la Pinda nafikiri kazi yake ni kupokea maelekezo na kuyatamka hivyo hivyo bila kujua athari zake mbeleni zikoje...

Maslahi ya daktari, hayamhusu lakini ya wabunge yanamhusu moja kwa moja
 
mmh wakirudi nyuma nitawaona wa ajabu haswa.
washikamane mpaka kieleweke.
kila la kheri doctors.
 
Lakini mwajiri wao ni serikali wanatakiwa kusikiliza Pinda atakutana nao lini na sio wao wanataka kukutana naye lini. Hao sasa hivi hawana kazi hawana majukumu ya kiserikali wakati Pinda anaendelea na kazi zake hivyo wakati alokuwa nao ni Jumapili na kawaomba wakutane leo. Wao wanachopinga kukutana leo ni nini haswa. kusubiri wengine wanaotoka bara?.. halafu wakifika ndio agenda zitabadilika au?.. Aaaah mimi naona mizinguo mitupu sii hawa madaktari wala serikali maana wanachokiomba hakiwezi patikana leo wala kesho pengine posho peke yake ndio inaweza kukubaliwa mara moja..

Dai mshahara mzuri nitakubaliana na wewe lakini posho? ambayo mimi sikubaliani na hata ya Wabunge halafu nikae hapa na kuwapa suipport wakati napinga posho za wabunge. Huu utakuwa unafiki wa nafsi yangu kubadilika kwa sababu ati wabunge wamepewa. Sikubaliani na posho ya vikao iwe kwa wabunge, watumishi wa serikali au madaktari. Na nitaendelea kupinga hadi siku haki yangu itakaposikilizwa na pande zote na kuwa sheria.

Tukikubaliana hospitali zote zifunguliwe saa 1.30asubuhu zifungwe saa 9.30mchana. Hakuna Dr anataka posho yao ya Sh 10,000 kwa kukesha. Posho ya vikao ya bunge si sawa na posho ya kukesha na wagonjwa usiku. Posho zinazopingwa ni posho zisizo na tija kama za watu kulala bungeni. kama unaona posho za Drs hazina tija toa hoja tufunge hospitali saa 9.30 nina imani Drs wote watakuunga mkono.
 
up date vp? waliopo mahospitalini mtupe taarifa
 
madaktari katika hospitali ya mkoa wa mbeya wameitikia wito wa waziri mkuu wa kurudi kazini leo.
 
kigoma katika hospitali ya maweni huduma zimerejea kama kawaida.
sosi;tbc habari saa 4.
 
mmh wakirudi nyuma nitawaona wa ajabu haswa.
washikamane mpaka kieleweke.
kila la kheri doctors.


teh teh,unawashangaa wenzako wakati we upo kazini kwako unasubiri kusaini posho.usiwadanganye wenzako wewe
 
sasa mimi dr wa wanyama sijui niwaunge mkono hawa jamaa..........\Orait, kesho siendi kuwatibu wale wadudu wa mzee Macha.
Nagomaaaa.........I am supporting you guys.........100% pamoja.

Mkuu umenichekesha sana,,,,hao wadudu wa mzee macha watakuwa ni Kitimoto tuu. Bravo, nakuunga mkono
 
Ikiwa lei Kikwete kafanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake na tunamuona hajafanya unafikiri nani ataeweza? just kwa kuwa ni wa tabaka fulani tu, chuki, uhasidi, kejeli, "sabotages", kwa kuwa tu hajatoka katika kundi fulani. Huu ni ugonjwa mbaya sana tulipkuwa nao.

Leo ukimuuliza mtu akwambie nioneshe ambacho walifanya Marais waliopita ambacho Kikwete hajakifanya zaidi yao, hakuna anaeweza, kwani kafanya kweli, sasa kama rais aliyefanya kuliko Rais mwingine yeyote wa kabla yake mnashindwa kukubali aliyoyafanya kwa sababu tu hajatoka kwenye tabaka lenu, huo kama sio uchawi ni nini? Unafikiri uchawi mpaka uende ukatazame nyota? hao watazama nyota wamejaa dunia nzima, lakini uchawi wa kweli ni huu, wa kutothamini mtu kwa tabaka lake tu na si zaidi ya hapo.

FF you are sick!! You are psychologically sick and well surrounded with inferiority disease!! Lugha ile aliyoanzisha Nyerere, twaweza sema wewe ni KABURU. Where did you get all these feeling? Kwamba JK anapingwa just because ni Muisilamu? Mzee mwinyi hakuwa musilamu? Kama its all about criticizing kuna mtu analaumiwa kama Mkapa? Je Mkapa ni musilamu? Nyinyi watu mlishikwa na huu ugonjwa toka mwaka 2010, pale Jk alipogundua hatoweza kushinda akaamua kupandikiza udini, sasa watu kama wewe mkaundelelza, JK alidhani baada ya hila zake zooote ungeisha, well I can see umeshika kasi...

FF JK ni rais, kwa maneno yenu, aliyechaguliwa na wananchi (well, wengine tunaamini aliwekwa na NEC)!! Kwa sasa tumekubali na tunatambua yeye ndo amiri jeshi mkuu, alkini akivurunda hatutomuonea haya, tutamsema kama wengineo wote, humu tunamsema yeyote iwe Nyerere, Mwinyi, Mkapa hata yeye!!

Acha udnini na kujihisi hivo, haitakusaidia mkuu!!!
 
Lini mtaamka Watz? Wake up guys ur country is in ruins held by Robbers!!!!!

" We must be angry if we want to save this country"

Lucy Oriang- Kenyan Journalist

The same will have to apply in Tanzania, we the people must be very angry to save our country and not the leaders. However angry they are, they will not save this country.

Do they care?
 
" We must be angry if we want to save this country"

Lucy Oriang- Kenyan Journalist

The same will have to apply in Tanzania, we the people must be very angry to save our country and not the leaders. However angry they are, they will not save this country.

Do they care?

if you dont like it here why the hell dont you just move to let say cameroonland and be a citizen there instead of talking pointless?
 
Back
Top Bottom