Madaktari: Hakuna anayerudi kazini kesho!

Ndugu Mgaya, Madaktari wanaonyesha njia. Kati ya kada inayodhalilishwa ni pamoja na hii ya ualimu. Utadhani viongozi wa serikali yetu hawakupitia kwa Mwalimu. JK akiongea na vizee vya magamba (ccm) ambavyo vilisombwa na mafuso na kupewa fedha kidogo za ugoro aliwashambulia walimu waliotishia kugoma na kweli mkafyata mkia.
Jana mtoto wa mkulima aliye-Pinda alimshambulia Dr. Ulimboka na kuwaamuru Madaktari kurudi kazini bila kushughulikia matatizo yao.
Sasa Mgaya, wewe una kundi kubwa kuliko makundi mengine ya watumishi wa umma. Waamshe walimu wako nao waendelee kudai haki zao. Si umeona waheshimiwa wa mjengoni walivyodai kuwa Dodoma hakukaliki sharti waongezewe posho kutoka 70,000/- (ambayo hata hivyo hawaistahili) hadi 200,000/= kwa ajili ya kusingizia kwenye viti vinavyozunguka kubembeleza usingizi wao. Wamepewa bila shida. Si unajua tena ndugu aliye-Pinda naye aliongezewa kitita hicho hicho na hata akachukua fedha haramu iliyokusanywa na Katibu Mkuu wa Nishati na Madini ya kulainisha upitishaji wa bajeti. Waunge mkono madaktari, kweli huu ni mwanzo wa ukombozi..
 
Wako wapi wananchi wenye hasira? wananchi mnachekelea tu mjue ninyi ndo mnatolewa kafala, pinda atatibiwa nje, madokta wataenda botswan, rwanda Zambia etc. Unganeni na madokta wanatetea haki yenu ya tiba, shauri yenu!!!!

Tunaelekea huko huko wananchi ndio tutaoumia.
 
lets wait and see...the movie is starting..but without knowning who are gonna be sterring....
 
Butola Mikutano sio lazima ukumbini teleconfrerence kwa free skype inawezekana FB, Twitter, Linkeldin, Egroups yote ni makutano ambayo kirungu cha FFU wala gari la maji ya upupu halifikiiiiii...Dunia imebadilika mkuuu

Nimeipenda hii point ya advanced communication network. Pinnda haijui hiyo
 
Matatizo sio hayo tu, tazama Kikwete anavyohangaika kuleta wawekezaji, anahangaika kuwaomba waweke vitivo vya sayansi Dodoma, amewaomba wachina waweke kituo cha utafiti wa kilimo (nadhani Morogoro kama sikosei). Nna uhakika wakiondoka, sisi hatutoweza, kwa sababu bado, bado, bado.

Tunahitaji tukakae sana na Mzee Mahathir Muhammad kabla hajafa atuelezee aliwezaje? tena tuwe serious kweli kweli. La sivyo? maendeleo tutayasikia tu katika kizazi chetu hiki.

Ikiwa lei Kikwete kafanya kuliko Rais yeyote wa kabla yake na tunamuona hajafanya unafikiri nani ataeweza? just kwa kuwa ni wa tabaka fulani tu, chuki, uhasidi, kejeli, "sabotages", kwa kuwa tu hajatoka katika kundi fulani. Huu ni ugonjwa mbaya sana tulipkuwa nao.

Leo ukimuuliza mtu akwambie nioneshe ambacho walifanya Marais waliopita ambacho Kikwete hajakifanya zaidi yao, hakuna anaeweza, kwani kafanya kweli, sasa kama rais aliyefanya kuliko Rais mwingine yeyote wa kabla yake mnashindwa kukubali aliyoyafanya kwa sababu tu hajatoka kwenye tabaka lenu, huo kama sio uchawi ni nini? Unafikiri uchawi mpaka uende ukatazame nyota? hao watazama nyota wamejaa dunia nzima, lakini uchawi wa kweli ni huu, wa kutothamini mtu kwa tabaka lake tu na si zaidi ya hapo.


Mpaka nimepata kizungu zungu???

Kweli ukipenda, chongo utaita kengeza................ Baada ya miaka 50 ya uhuru bado tu unataka wazungu watuwezeshe. Akili ileile ya kwenda kutega bakuli. Tumesahau siasa za CCM za ujamaa na kujitegemea!!

 
Yaani ama kweli kuchamba kwingi ndio huko, huyu nae pinda ana ubavu wa kuharisha hivi kisa kodi zetu, suti za pesa yetu, vidonge vya hela yetu, gari la bure n.k anatoa amri madaktari waende anakotaka ataleta JKT of course kwa kuwa yeye na mama tunu kila miezi mitatu wanauhakika wakurudishwa huko wanakopelekwaga, wanachosahau ni kuwa uhai wao unatokana na kodi zetu zikiwemo za hao madaktari maana hayo waliyoyakumba hatukuwatuma. kweli tuliambiwa, the country has been given to the dogs, kwa hiyo kwake yeye ni bora kuwaleta wacuba kuliko kuwalipa watoto wa walipa kodi hela za baba zao, mbwa kabisa halafu tunadai tuna nchi, halafu eti anapotoshwa tatizo la kujaza marafiki wasio na akili wala uwezo na kuwaacha maelfu wenye uwezo, akili wasio na magonjwa kisa tu sio kundi lako. 2015 could be too far watu wasimjaribu mungu, wengine tuko tayari kutoka siku nyingi tulichokua tunasuburi ni kupata viongozi, madaktari asanteni kwa kuonyesha njia, tukatoka wote, walimu waoga mko wapi, huyo kibamba wa jukwaa la katiba huu ndio wakati wake sio kutuambiwa ooo namuomba rais asichague wajumbe wa kamati, yanahusu nini na hakuna nchi ya kuitumia hiyo katiba wanayoileta holly holly
 
Sijaona serikali ya KIJINGA kama hii inayoongozwa na huyu Pinda! Wote! Kuanzia Rais hadi PM, wameshindwa kazi! WHAT A SHAME!
 
unyonge wetu ndiyo unaotufanya tunyonywe hivi, tunyanyaswe hivi, tupuuzwe hivi, na kuonewa hivi.ukondoo wetu ndiyo unaotupelekea kutawaliwa na wahuni ambao hawana hata unafiki-ni wahuni hata zezeta anatambua
nani sasa atafanya mapinduzi?
 
Tumewazoea kutumia ubabe kwenye kasuala yanayohitaji busara na majadiliano lakini kwa hili pm katokota

ilikuwa isomeke kinyume chake yani ya kwamba wasipotatua matatizo ya madaktari na wananchi inabidi PM na kundi lake wawajibike.
 
if you dont like it here why the hell dont you just move to let say cameroonland and be a citizen there instead of talking pointless?

Why should we run away from our motherland, signs of anger have started to come out openly. We will not leave our motherland, as if we do so, you will go on plundering, which we say no.
 
Back
Top Bottom