Madaktari: Hakuna anayerudi kazini kesho!

Huyu Pinda has reached the limit of his wisdom. Bado kidogo tu ataanza kulia lia.

kwani toka lini huyu mzee ana busara..yaani hili ni makapi ya ngano kabisa...yaani mungu kamnyima sura na akili kamnyima...pumbavu kabisa anamtisha nani sasa....likibanwa linaanza kulia kama toto...
 
kwani toka lini huyu mzee ana busara..yaani hili ni makapi ya ngano kabisa...yaani mungu kamnyima sura na akili kamnyima...pumbavu kabisa anamtisha nani sasa....likibanwa linaanza kulia kama toto...

hajawahi kuwa na busara na hatakuja kuwa nanyo hadi kifo kitakapomkuta ! wanasiasa wa bei nafuu
 
hahaha. karibuni unguja kutibiwa Mnazi mmoja . huku madaktari sio anasa, ni huruma na upendo. ndio tatizo la kuajiri madaktari walevi. wanafikiria zaidi pesa Bia kuliko huruma ya binaadamu mwenziwe
 
Huyo ndio PM wetu anayejiita mtoto wa mkulima,Posho zao anazipigania kwa nguvu zote,za madaktari anazichimbia bit,ngoja kesho ifike.
 
Wanaweza wakaenda na wasitoe huduma. Cha msingi ni maridhiano. Haya mambo ya kulazimisha haya hayana jawabu kwenye hili tatizo. Mbona kama hatuelewi diplomasia inafanyaje kazi?? Mpaka mgomo ndo tunashituka????
 
hahaha. karibuni unguja kutibiwa Mnazi mmoja . huku madaktari sio anasa, ni huruma na upendo. ndio tatizo la kuajiri madaktari walevi. wanafikiria zaidi pesa Bia kuliko huruma ya binaadamu mwenziwe

We nae mdebwedo unaongea nini sasa?
 
Madaktari pambaneni,najua wafanyakazi wa umma wanaangalia upepo unaendaje,mara nyingi watu uwa wanaingia mitaani kwa vitu kama hivi..msikubali kunyanyasika kama watu wa ugenini,vitisho vya nini na hasira zisizo natija?
 
wewe nilishasoma toka zamani kwamba unafikiri kwa kutumia ma....buri.
Sasa madaktari wadhihirisha immaturity tena. Wao wamesema hawawezi kukutana na waziri mkuu siku ya jumapili, lakini wameweza kukutana na waandishi wa habari!
Nadhani kuna madaktari wanapenda mgomo uendelee kwa sababu after all mshahara wao wanaendelea kupata na muda huu wa mgomo wanaendelea kufanya shughuli zao nyingine ikiwemo kwenda kutibia hospitali private...
 
Mkuu nisikilize vizuri, mwajiri wako anapokuita hata ukiwa kitandani unaamka na kwenda kumwona. Heshima kwanza kwa mwajiri wako hakuna habari za kufanya mgomo halafu unaweka masharti wewe kama umeichukua nchi hostage.

Nimekuwa nafuatilia sana mijadala hapa JF na nimeona waziri mkuu akitoa taarifa hizi mapema tu kiasi kwamba hata majibu yao yalikuja mapema wakitaka kukutana Jumatatu na sio Jumapili mara ukumbi gani.. Juzi Ijumaa wakati wanakutana na kina Nkya, tulipata taarifa hawataki kuzungumza na hawa viongozi, jambo ambalo sikuelewa kwa nini halafu wakamtaka waziri mkuu na mapema tulitaarifiwa waziri mkuu watakutana nao, ubishi ukawa wakutane ukumbi gani. Mvutano mkubwa ukawa kuhusu ukumbi gani wakutane na tumeyasoma hapa JF.. Kwa hiyo unachoongea hapa kusema kweli sielewi kama taarifa zinazowekwa hapa ni za uongo au maana hiyo Ijamaa yenyewe walikuwa wakibishana juu ya ukumbi na usalama wa Waziri mkuu leo iwe hawakujua mapema!

Mkandara nimekusoma. Lakini kumbuka wanachodai hawa madaktari si mshahara tu bali mazingira bora/vifaa vya kufanyia kazi. Wamechoka kuhudumia wagonjwa wanaolala chini? sasa hivi hivi hata CT Scan ya Muhumbili iko hoi. Wakubwa wanaletwa pale kesho yake wako kwenye ndege kuelekea India. Ni hawa hawa wakubwa wanaojilipa takribani billion 1 kwa mwaka kama posho! lakini wanashidwa kununua vitanda kwa wamama wanaojifungua?

Binafsi nimepoteza mdau mmoja juzi Ijumaa kwa sababu ya kukosa huduma. Kazikwa jana. Do I blame doctors? not exactly.
Kwa mtazamo wangu, kina cha kaburi la kuzika huduma za afya hapa nchini kiliongeza mara pale wakubwa walipogundua India. Haiingii akilini hata kidogo hospitali ya Taifa Muhimbili inaweza kukaa week na ushee bila CT-Scan? Wagonjwa wanalala chini lakini tunatumia zaidi ya billion 60 kusheherekea miaka 50 ya uhuru!

Hujafa hujaumbika, pengine huu mgomo wa madaktari utatusukuma kama taifa kuangalia upya vipaumbele vyetu. Makidai ya wakubwa kuwa wataleta madaktari toka Cuba, au jeshi sio suluhu. Madaktari wa Jeshi wataleta vitanda wodini? Au madaktati wa Cuba watakuja na dawa?
 
competency level ya madaktari wa zenji ipo chini, wao kila mgonjwa wanamueleza kuwa ana malaria....ndo maana wanaendelea kubembeleza ajira.
hahaha. karibuni unguja kutibiwa Mnazi mmoja . huku madaktari sio anasa, ni huruma na upendo. ndio tatizo la kuajiri madaktari walevi. wanafikiria zaidi pesa Bia kuliko huruma ya binaadamu mwenziwe
 
madaktari rudini kazini,daini haki zenu mkiwa ofisini mkiwahudumia watanzania........ni ushauri tu wa bure.
 
Madaktari wamekutana na waandishi wa habari muda si mrefu na kutoa kauli ya kukaidi amri ya Waziri Mkuu juu ya wao kurejea makazini kesho.
attachment.php
attachment.php
Dr. Stephen Ulimboka, mwenyekiti wa jumuiya ya madaktari akitoa tamko lao...
Naungana nanyi kwa asilimia mia moja,Kinachofanyika wanajifanya hawawaelewi,namsikiliza Pinda naona anapoteza uwezo wake wa kupambanua mambo na kuweka vipaumbele. madai yenu yanawezekana nakweli hamhitaji mjadala ,mazingira yenu ni hatarishi sana. Nawaombeni mzidi kuwa kitu kimoja kwani yote mliyoyadai yanawezekana tukilinganisha na fedha inayoibiwa kwa kujua au kutokujua. Ni lazima tufike mahali nchi yetu ithamini wataalamu wake.
 
naungana nanyi kwa asilimia mia moja,kinachofanyika wanajifanya hawawaelewi,namsikiliza pinda naona anapoteza uwezo wake wa kupambanua mambo na kuweka vipaumbele. Madai yenu yanawezekana nakweli hamhitaji mjadala ,mazingira yenu ni hatarishi sana. Nawaombeni mzidi kuwa kitu kimoja kwani yote mliyoyadai yanawezekana tukilinganisha na fedha inayoibiwa kwa kujua au kutokujua. Ni lazima tufike mahali nchi yetu ithamini wataalamu wake.

lkn mama ukianguka kesho ghafla huyoooooo uengereza, sisi hapa tunakufa. Mtoto wako akiugua tu huyooo china na baba . Sisi maskini tutakufa.
 
Madaktari pambaneni,najua wafanyakazi wa umma wanaangalia upepo unaendaje,mara nyingi watu uwa wanaingia mitaani kwa vitu kama hivi..msikubali kunyanyasika kama watu wa ugenini,vitisho vya nini na hasira zisizo natija?

Hata Tunisia ilianza na kijana mmoja tu. Sembuse sasa ni sekta nzima ya madaktari na manesi nao wamesema kesho wanaunga bogi.
 
natabiri vichwa vya magazeti ya kesho: .pinda achafua hali ya hewa. 2. madaktari wamgomea pinda 3. waziri mkuu aambulia patupu 4. madaktari wampiga chenga la mwaka mh pinda 5. pinda aamua kujisomea hotuba aliyoandaa kuwasomea madr walimkacha. 6. pinda asema acheni punda wafe ila mzigo wa bosi wake ufike salama!
 
lkn mama ukianguka kesho ghafla huyoooooo uengereza, sisi hapa tunakufa. Mtoto wako akiugua tu huyooo china na baba . Sisi maskini tutakufa.

hosipitali yangu ni muhimbili na mimi mwenyewe,lakini pia hata mimi nimepoteza ndugu wawili, juzi na jana.Ni lazima tujifunze kuheshimu taaluma na kuwapa sitahiki zao,kamwe sitabadili kauli yangu,wanahitaji kuthaminiwa na kusikilizwa kwa upendo nimewashuhudia wakifanya kazi kwa shida sana.

Mji Mkongwe, naomba ukajifunze maisha na mazingira magumu waliomo please,naomba tuungane nao japo wapate nusu ya kile wanachokiomba.
siyo kwamba Viongozi hawaelewi,bali Viongozi tulionao leo hawajui thamani ya watu wanaowaongoza.

Ndiyo maana wanaweza kupeana maagizo rahisi sana,na kwa wepesi sana.

nimesikitishwa na kauli ya waziri eti alikuwa na safari ya kwenda Arusha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

NINI MAANA YAKE HAKUONA UMUHIMU WA MADAKTARI BALI ALIONA UMUHIMU WA MFU ALIYEMALIZA KAZI YAKE,NINI ALIPATA KULE MSIBANI?
LEO ANALALAMIKA NINI?

NDUGU ZANGU LET US BE SERIOUS.
 
pinda kashauriwa vibaya.asije akaingia kwenye list ya kina nyoni....

Hakuna aliyemshauri vibaya,ndiyo uwezo wake wa kimaamuzi ulipofikia,kwani pinda ni kipi alichowai kufanya cha maana na wewe kufikia hatua ya kusema haya si maamuzi yake??,tusiwe waoga wa kuwaambia viongozi wetu ukweli wao si miungu watu wasikosee mfano jk akikosea utasikia eti ameshauriwa vibaya nani asiye jua uwezo wa huyu mhe???.
 
Back
Top Bottom