Mada ya wanyama

Tupia chochote kuhusu wanyama
Kibaya
Kizuri
Cha kuelimisha
Cha kuchekesha
Cha kushangaza
Cha kuhuzunisha
Cha kufurahisha
Cha kusikitisha nk nk
View attachment 1709936
Binadamu ni mnyama anayeweza kukimbia umbali mrefu KWA Muda mrefu bila kuishiwa gas (bila kuchemsha) hii ni KWA sababu mwili wake hauna nywele nyingi ,anapokimbia mwili wake hutoa jasho kama kipozeo,mnyama mwingine anayekaribiana uwezo wa kukimbia umbali mrefu bila kuchemsha ni mbwa mwitu,(african wild dogs) viumbe hawa wote wawili (binadamu na mbwa mwitu) huwinda KWA mbinu iitwayo PERSISTENT HUNTING ,yaani unafukuzia windo mpaka linachemsha (Overheat)

NB. Wanyama wenye nywele nyingi mwilini Wana speed kubwa ila hawawezi kumaintain hiyo speed KWA Muda mrefu kama binadamu na mbwa mwitu huwa wanachemsha fasta (OVERHEAT) na wakichemsha huwa hawawezi hata kutembea wanadondoka chini mpaka mwili upoe.
 
Subili nitoe maelezo kidogo


Simba na Tiger wanaweza kukaa pamoja na kuzaliana lkn endapo dume akawa ni Tiger na jike akawa ni simba basi watoto wakizaliwa wataitwa Ti-Liger , kama dume ni simba na jike ni Tiger basi watoto wakizaliwa wataitwa Li-Liger !

Endapo mtoto dume akizaliwa kwenye icho kizazi anakuwa anauwezo wa kuzalisha ( infertile )
(Hii nadhalia ijakamilika kisayansi maana wakifanya kipimo cha mfumo wa uzazi wanaona upo sawa kabisa lkn walivyo chukua Male Li-Liger na Female Li-Liger walikaa kwenye Zoo Moja kwa Zaid ya miaka nane lkn akuna mtoto aliye patikana )

Endapo jike akizaliwa kwenye icho kizazi ivyo Basi anaweza kuzaa vizuli kabisa na kuendeleza kizazi
 
Subili nitoe maelezo kidogo


Simba na Tiger wanaweza kukaa pamoja na kuzaliana lkn endapo dume akawa ni Tiger na jike akawa ni simba basi watoto wakizaliwa wataitwa Ti-Liger , kama dume ni simba na jike ni Tiger basi watoto wakizaliwa wataitwa Li-Liger !

Endapo mtoto dume akizaliwa kwenye icho kizazi anakuwa anauwezo wa kuzalisha ( infertile )
(Hii nadhalia ijakamilika kisayansi maana wakifanya kipimo cha mfumo wa uzazi wanaona upo sawa kabisa lkn walivyo chukua Male Li-Liger na Female Li-Liger walikaa kwenye Zoo Moja kwa Zaid ya miaka nane lkn akuna mtoto aliye patikana )

Endapo jike akizaliwa kwenye icho kizazi ivyo Basi anaweza kuzaa vizuli kabisa na kuendeleza kizazi
Ahsante
 
giphy.gif
 
Binadamu ni mnyama anayeweza kukimbia umbali mrefu KWA Muda mrefu bila kuishiwa gas (bila kuchemsha) hii ni KWA sababu mwili wake hauna nywele nyingi ,anapokimbia mwili wake hutoa jasho kama kipozeo,mnyama mwingine anayekaribiana uwezo wa kukimbia umbali mrefu bila kuchemsha ni mbwa mwitu,(african wild dogs) viumbe hawa wote wawili (binadamu na mbwa mwitu) huwinda KWA mbinu iitwayo PERSISTENT HUNTING ,yaani unafukuzia windo mpaka linachemsha (Overheat)

NB. Wanyama wenye nywele nyingi mwilini Wana speed kubwa ila hawawezi kumaintain hiyo speed KWA Muda mrefu kama binadamu na mbwa mwitu huwa wanachemsha fasta (OVERHEAT) na wakichemsha huwa hawawezi hata kutembea wanadondoka chini mpaka mwili upoe.
Uwindaji wa mbwa mwitu haufanani bwana, binadamu anafanana na wanyama wengine kwenye uwindaji lakini sio mbwa mwitu
Mbwa mwitu anadokoa kidogo kidogo mpaka windo life
 
Naomba kuuliza hivi Mnyama anayekula nyama anaweza kula Mnyama mla nyama mwenzie?mfano Simba kumla Chui au Fisi kula Mbwamwitu.
 
Back
Top Bottom