Mkungunero
JF-Expert Member
- Aug 13, 2023
- 408
- 568
ππ¦π
π¦ππ¦π¦π«ππ¦¨π¦π¦π¦ππ¦©πββ¬
Kati ya wanyama na wanadamu, nani wanaifurahia dunia?
π Mbona wanyama hawana hospitali?
Mbona wanyama hawana daktari bingwa?
Mbona wanyama hawana Icu?
Mbona wanyama hawana chumba cha upasuaji?
Wanaopigana kule ukraini na urusi ni nyani na tumbili?
Watoto na wazee wanaopigwa mabomu, na kuangukiwa na magorofa kule Palestine na israel ni watoto wa kenge na ngedere?
Wakristo wanaosali Sala zote, na ibada zote, matajiri wasiojua hata wapeleke wapi utajiri wao, wanakula na kumwaga jalalani, huku wakristo wenzao wanakufa kwa njaa, na wagonjwa wanakufa kwa kukosa matibabu, huku wao wakijitanua na magari Yao ya kifahari na kutoa michango mikubwa makanisani na kuonekana wakristo wazuri, wakati majirani zao wanakata roho hospitalini huku hawana msaada. Wanamwabudu mungu wa wapi?
π Hivi kweli unakwenda kanisani unakutana na injili kuwa nilikuwa mgonjwa hukunitazama, nilikuwa na njaa hukunilisha, nilikuwa uchi hukunivalisha, unatoka hapo unaingia kwenye gari yako, unawasha gari hiyooo unaingia getini na kusema Umetoka kanisani Tena unajisifu na sadaka nimetoa, na fungu la kumi nimetoa kubwa sana, huku jirani yako amelala chini miezi na miezi, kwa kuwa tu ni mnyonge hana chochote, unamuona kama panzi.
Huna haja ya kumtembelea.
Wewe tajiri wa ulimwengu huu, maskini wa Mbinguni na majivuno yako, ya kudharau wasio nacho Uliona lini ufunguo wa gari ukawekwa kwenye jeneza?
Uliona lini marehemu akiwekewa hati ya nyumba kwenye jeneza?
Uliona lini marehemu akiwekewa kitabu chake cha benki kwenye jeneza?
Umepanga kuifanyia Nini digrii yako, utakapoingia kwenye jeneza?
Unajua unavyo ulivyoazimwa ila hauna cha kwako?
Kama huamini umeazimwa, orodhesha vitu vyote watakavyokufungashia uondoke navyo.
Kwa Nini cha kuazimwa kikukoseshe mbingu?
Kwa Nini uwaone wenzako ni sifuri kwa vitu vya kuazimwa?
Mwanadamu mwanadamu, !! Umeifanya dunia kufikia hapa ilipofikia Leo?
Umewafanya wanyama wa mwituni kuishi kwa amani, kuliko wanadamu?
Maisha wanayopitia watoto, wazee, wamama, na watu wote kule Palestine na Israel, Ukraine na urusi, sudani na maeneo mengine ya vita msiba wa mtu mmoja unavyotia simanzi, waza mama au baba anayepoteza familia yake yote, au watoto wanaopoteza wazazi wao wote.
Yasikie tu kwa wengine.
Mbona bado tunabaki kuwa na roho ngumu?
Mbona hatuna muda na huyu Mungu?
Ombea ulimwengu, Ombea watawala, Ombea mateso ya vita, Ombea magonjwa makubwa ya kutisha Mungu atuepushie, Ombea roho ya ukatili na mauaji iondoke mioyoni mwa watu.
Omba Mungu atuepushie roho za ajali, na umwagaji wa damu.
Jioni Njema watu wa MUNGU
πππππππ
Kati ya wanyama na wanadamu, nani wanaifurahia dunia?
π Mbona wanyama hawana hospitali?
Mbona wanyama hawana daktari bingwa?
Mbona wanyama hawana Icu?
Mbona wanyama hawana chumba cha upasuaji?
Wanaopigana kule ukraini na urusi ni nyani na tumbili?
Watoto na wazee wanaopigwa mabomu, na kuangukiwa na magorofa kule Palestine na israel ni watoto wa kenge na ngedere?
Wakristo wanaosali Sala zote, na ibada zote, matajiri wasiojua hata wapeleke wapi utajiri wao, wanakula na kumwaga jalalani, huku wakristo wenzao wanakufa kwa njaa, na wagonjwa wanakufa kwa kukosa matibabu, huku wao wakijitanua na magari Yao ya kifahari na kutoa michango mikubwa makanisani na kuonekana wakristo wazuri, wakati majirani zao wanakata roho hospitalini huku hawana msaada. Wanamwabudu mungu wa wapi?
π Hivi kweli unakwenda kanisani unakutana na injili kuwa nilikuwa mgonjwa hukunitazama, nilikuwa na njaa hukunilisha, nilikuwa uchi hukunivalisha, unatoka hapo unaingia kwenye gari yako, unawasha gari hiyooo unaingia getini na kusema Umetoka kanisani Tena unajisifu na sadaka nimetoa, na fungu la kumi nimetoa kubwa sana, huku jirani yako amelala chini miezi na miezi, kwa kuwa tu ni mnyonge hana chochote, unamuona kama panzi.
Huna haja ya kumtembelea.
Wewe tajiri wa ulimwengu huu, maskini wa Mbinguni na majivuno yako, ya kudharau wasio nacho Uliona lini ufunguo wa gari ukawekwa kwenye jeneza?
Uliona lini marehemu akiwekewa hati ya nyumba kwenye jeneza?
Uliona lini marehemu akiwekewa kitabu chake cha benki kwenye jeneza?
Umepanga kuifanyia Nini digrii yako, utakapoingia kwenye jeneza?
Unajua unavyo ulivyoazimwa ila hauna cha kwako?
Kama huamini umeazimwa, orodhesha vitu vyote watakavyokufungashia uondoke navyo.
Kwa Nini cha kuazimwa kikukoseshe mbingu?
Kwa Nini uwaone wenzako ni sifuri kwa vitu vya kuazimwa?
Mwanadamu mwanadamu, !! Umeifanya dunia kufikia hapa ilipofikia Leo?
Umewafanya wanyama wa mwituni kuishi kwa amani, kuliko wanadamu?
Maisha wanayopitia watoto, wazee, wamama, na watu wote kule Palestine na Israel, Ukraine na urusi, sudani na maeneo mengine ya vita msiba wa mtu mmoja unavyotia simanzi, waza mama au baba anayepoteza familia yake yote, au watoto wanaopoteza wazazi wao wote.
Yasikie tu kwa wengine.
Mbona bado tunabaki kuwa na roho ngumu?
Mbona hatuna muda na huyu Mungu?
Ombea ulimwengu, Ombea watawala, Ombea mateso ya vita, Ombea magonjwa makubwa ya kutisha Mungu atuepushie, Ombea roho ya ukatili na mauaji iondoke mioyoni mwa watu.
Omba Mungu atuepushie roho za ajali, na umwagaji wa damu.
Jioni Njema watu wa MUNGU
πππππππ