Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
Mtatiro Kajitahd Kumatch Na Polepole Lakin Stl Bado Sana Kumzidi Huyu Kijana Wa Ccm...Tuache Unafiki Na Uvyama Pembeni Ukwel Tumeuona Mtatiro Kazidiwa Lakin Si Kama Msigwa....!!!
Mtatiro hana uwezo wa ku-argue na Pole Pole labda wasiwe na mıtazamo inayotofautiana vıngnevyo Mtatiro ataonekana hajamaliza hata form 4.Saiz ya Pole Pole labda Jusa au Zito, wengne wanaweza rusha hata ngumi.
Yan watu hawaelewi, hata useme nini kwa watz kuhusu Lowasa hawaelewi tena! bora wakauze mahindi kuliko kurudia wimbo ule ule kila cku wa fisadi. Fisadi ndo mdudu gani? tunataka mabadiliko na anayeweza kuyaleta ni Lowasa. Kwa hiyo hata angekua fisadi kufuru wa kufuru bado tunamtaka!! muelewe hivyo
Mwenyewe kaonyesha taaharuki km vile kapigwa bao kirahisi sana.Huwa mimi huangalia sana kinachofuatia wakati camera inaondoka.Wengine walikuwa akicheka na mtatiro alimpa mkono huku akicheka yeyey alikuw akaicheka km bado anatafakari issue imekuwaje nene.Pengine next time ccm watatafuta mwendesha kipindi kimeo ili ambembe.Mtatiro kamaliza vizuri sana.....Pole Pole meishia kucheka tu
Mtatiro haelewi kitu.mbumbu wa kutupwa.Eti mtu mzaifu akihamia ktk mfumo imara ataimarika.Hiki ni kioja.Sasa mbona anahamia mtu na Mwenyekiti anaondoshwa na katibu Mkuu anarestishwa