Pole pole hovyo kweli..hana hoja...
Kila akinena anamtetea Magufuli, na kukashifu Lowassa...
Julius Mtatiro, kamwaibisha sana Polepole, kuwa, Magufuli ni mtu mdogo sana CCM, na Magufuli ana tuhuma nyingi sana tu za kuuza nyumba za serikali, kuwa na mahoteli eg Kebby's hotel Mwenge, pia CAG mara kadhaa katoa data za kimahesabu Wizara anayoongoza Magufuli billions zimepotea..na hazijulikani ziko wapi...
Mpolepole akataka kudanganya eti leo wakati anakaribia kwenda Channel 10 mtu mkubwa wa Cuf kampigia simu eti anapinga ujio wa Lowassa Ukawa....Mtatiro akamwambia aache kuhadaa watu, kwa kumtetea Magufuli, na pia Polepole anajua wazi CCM ndio imechakachua katiba mpya, bado Polepole anaitetea mfumo huo huo...
Pole pole ni mhuni, hana hoja..ana chuki binafsi na Lowassa....!!!
Polepole....kichwa cha ufisadi...dwarfed body and mind...!!!
Kwani huyo pole pole naye kawa mtangazaji wa Chanel10, au hana shughuli za kufanya maana naona kila nikisikia mada moto namkuta ni yeye tu, hadi wakati mwingine yuko peke yake.
Na nyie chanel 10 si mtafute watu wengine au ndo nanyie mnajifia?
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na Polepole. Don't miss saa 4 kamili usiku.
Mkuu ungesoma kwanza ulichoandika kabla ya kupost. Mbona umekichafua chama chako hivyo? Unasema Lowassa angebaki CCM wangembebabeba na kumfichia maovu? Seriously!!?
Hata sisi tuliangalia kwanini unataka sema umedanganywa wapi? Karibu ktk siasa..maji waliyoyashindwa makatibu kibao na viongozi wengine wa CCM...polisi na wakuu wa mikoa, wilaya wote wamechemsha.Usitudanganye na sisi tunaangalia.
Mtatiro kura yangu umeipataaaa bila kampeni
Mwanzoni wakati wa katiba mpya nilidhani ni mtu makini mwenye uchungu na nchi kumbe ni kishenzi tu...bora kingekuwa kimya.Polepole ni GAMBA