MCHUMIA JUAN
Member
- Jun 15, 2015
- 94
- 22
Huyu jamaa bana anajiona anajua sana nn watz wanajua na ni yeye tu anayejua wengine mafala tu opsss selfish much know
c anajifanya anajua
Huyu jamaa bana anajiona anajua sana nn watz wanajua na ni yeye tu anayejua wengine mafala tu opsss selfish much know
Lakin Umesikia Point Alizozitoa Kwann Hao Wakna Lowassa Walikatwa Hayo Majna Ya Mfukoni Ni Maneno Tu Hamna Ukwel Ndan Yake
"Kama ccm wasingekuwa makini nchi ingenunuliwa mapema tu"Humphrey Polepili..
Naona polepole anakaa..
Polepole,leo hoi Bin Taabani anaongopa tuu,pumbavu.
Naangalia mpira mkuu sina muda wa kumsikiliza huyo mchumia tumbo... Najitambua sihitaji kusikiliza wachumia tumbo