Usikimbie saa 4 humu polepole c mtu wa kawaida anamchambua lowasa kama mchele. Mtajuta kwann aliwanunua cdm
Mi nahisi hata la saba hajafikaMsigwa aliwatia aibu sana wachungaji. Hivi ana elimu gani? Kama ni la saba sawa.
Leo channel 10 Ni zamu ya Mtatiro na polepole don't miss saa 4 kamili usiku.
Tuone Polepole anavyoangukia pua kwa mara ya pili baada ya Msigwa kumpiga knock out.
Kukimbia sikimbii hata kipindi cha rafiki yangu Masako Itv nitakipiga mgongo leo. Ila endeleeni kumsifia Polepole ajisahau aje aropoke Lowassa ni fisadi kuanzia tarehe 01/09/'15 kama hajaizoea mahakama.
pole2 hana hoja tena....kwasababu kila mtu anajua ataongea kuhusu lowasa...sio deal tena atafute kazi nyingine
Ni undisputed fact kuwa hakuna mwanasiasa hapa Tanzania anayeweza kudebate na Polepole. Huyu jamaa ni moto wa kuotea mbali, ana facts na hayumbi wala kulegea katika anachokiamini na anakielezea kiufasaha zaidi hadi basi.
Yaani mwaka huu mzee El ndo mwisho wa safari yake kisiasa kakimbilia upande co nilitegemea angebaki ccm wangembebabeba na kumfichia maovu but now amepotea kisiasa na baada ya matokeo yatakayoiweka ccm madarakani tena ukawa ndo itafika mwisho wa uhai wake chadema ndo hali mbaya zaid ya mgonjwa mahutiuti,wakati huo ccm inapanga mipango ya 2020 ya kuingia madarakan kwa style nyingine tena:ccm ilisema inambinu zaidi 100 sasa cjui mmeshazitambua ngapi
pole2 hana hoja tena....kwasababu kila mtu anajua ataongea kuhusu lowasa...sio deal tena atafute kazi nyingine
Polepole alijiona kichwa akapotoka