Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 269,932
- 1,101,898
Monday
Duncan run,nikiwe na gabr wakiwa mubashara na yao,nikiwe anapigiwa simu na engineer wa SG akimweleza kuwa upande wao hauna tatizo la uchafuzi wa maji.nikiwe anafurahia
The rec,kamo anatoka kuhudumia mteja kufika kanteni analalamika wateja hao hawajampa tip kwa huduma,akiwa anaonhea na aphiwe kanteni obakeng anatokea,obakeng analimia huku akimuangalia kamo,aphiwe anamuuliza maendeleo yake,kamo anaaga na kuondoka,obakeng anamwangalia ,kisha anamwomba msamaha aphiwe kwa yote aliyomtendea na kwamba keshagundua kosa lake,aphiwe anamwambia ameshamsamehe
Zukisa yupo kwa lerato,matlala anapiga simu ila zukisa hapokei,lerato anamshaur apokee simu maana jamaa ataendelea kupiga bila kuchoka,kisha wanaongelea ishu ya obakeng na kamo na kwamba lerato anataman kamo akajifungulie kwao maana zamdela wana drama nying. Matlala anagonga hodi,lerato anamfungulia na kuanza bishana nae ila zukisa anamuomba lerato awape nafasi waongee
Barker akiwa ofisin na brad na rajesh wakiongelea tatizo la kuvuja kwa acid kwenye mitambo yao,huku akilalamika wanawalipa wataalam wao ila wanafanya uzembe na kusema maji ya matumizi ya nyumban inabidi huduma isimame haraka. Rajesh aansema itawalia pesa ila barker anasema wawasiliane na manispaa.rajesh anasema mamlaka hawatapenda ila barker anamwambia ahakikishe anasolve tatizo hilo kisha anamtuma brad akatafute jibu kwann bomba limepasuka wakat wanalipa wataalam
Lerato yupo salun anamalizia mpaka dawa ya nywele mteja,mfanyakazi wake anaingia na kumwambia hamna maji hata kidogo,lerato anamtaka mteja avumilie atafute ufumbuzi,lerato anampigia sechaba kumuuliza kama alilipa bili ya maji maana wamekatiwa maji,sechaba anasema alilipa na kwamba alipokea sms kuwa maji yatakatwa na HI inafanya uchunguzi zaidi,lerato analalamika ana wateja na wanahitaji maji. Lerato anamwambia mfanyakaz wake aende jikon atafute maji yoyote amwoshe mteja
Nikiwe anaenda ofisin kwa sechaba,sechaba analalamika kuhusu maji kukatika na kwamba wafanyakaz wengi wameahindwa wasili kazin SG sababu ya ukosefu wa maji,nikiwe anasema sio kosa lao ni la barker na kwamba anamfata ili asiwasababishie hasara
Lerato analalamika ukosefu wa maji,kamo anamwambia ana shida ya kuongea nae,na kwamba obakeng kabadilika kawa mtu laini kiasi cha kumshangaza na kwamba alimpenda sababu ya ukauzu na sio kama alivyo kipind hiki. Lerato anamwambia amwachie aphiwe ni mzigo wake
Ofisin kwa barker,rajesh anajaribu kumwambia barker kuhusu sheria zinavyowabana kwa kosa walilonalo ila barker anataka kusikia suluhisho,kisha anamwambia rajesh aondoke ofisin kwake nikiwe anaingia na kumtaka barker atafute suluhisho haraka maana linawaathiri hata wao na wafanyakazi wao,barker anasema wanafanyia kazi
Morogwa anaenda ofisin kwa sechaba akiwa na furaha maana kapata majibu mazuri ya test,sechaba anampa mkataba na kumtaak akausome vizuri na kuusaini
Linc yupo gerezan katembelewa na nina,linc anamwambia nina kamuita amsaidie ishu nzito,nina anagundua linc anataka msaada wa kutoroka gerezani,linc anamuahidi kiwango kinene cha pesa
Zukisa anamlaum matlala kwa usalit na kumwambia uhusiano wao umeishia hapo
Nikiwe akiwa duncan anamkuta kgotha kakosa raha,anamuuliza nini tatizo,kgotha anamwonyesha karatasi la talaka,nikiwe anashangaa,kgotha anajiapiza atapigania haki yake hadi mwisho atahakikisha anamfilisi tyson na kumrudisha kwwnye hali yake ya awali(umaskini)nikiwe anauliza kuhusu watoto wao,kgotha anasema sio wa tyson bali wa dada yake kgotha ambao waliwaasili na kuwalea kama watoto wao,nikiwe anamuaga akisema ana appointment na mtu hapo duncan
Obakeng akiwa home,anatoka sebulen,mara anarud anakimbia akimuona jamaa mwenye silaha,obakeng anaweweseka akiomba asiumizwe na kuwa hajui chochote,nina anatokea na kumbembeleza akimwambia hamna mtu hapo mlangoni
Duncan run,nikiwe na gabr wakiwa mubashara na yao,nikiwe anapigiwa simu na engineer wa SG akimweleza kuwa upande wao hauna tatizo la uchafuzi wa maji.nikiwe anafurahia
The rec,kamo anatoka kuhudumia mteja kufika kanteni analalamika wateja hao hawajampa tip kwa huduma,akiwa anaonhea na aphiwe kanteni obakeng anatokea,obakeng analimia huku akimuangalia kamo,aphiwe anamuuliza maendeleo yake,kamo anaaga na kuondoka,obakeng anamwangalia ,kisha anamwomba msamaha aphiwe kwa yote aliyomtendea na kwamba keshagundua kosa lake,aphiwe anamwambia ameshamsamehe
Zukisa yupo kwa lerato,matlala anapiga simu ila zukisa hapokei,lerato anamshaur apokee simu maana jamaa ataendelea kupiga bila kuchoka,kisha wanaongelea ishu ya obakeng na kamo na kwamba lerato anataman kamo akajifungulie kwao maana zamdela wana drama nying. Matlala anagonga hodi,lerato anamfungulia na kuanza bishana nae ila zukisa anamuomba lerato awape nafasi waongee
Barker akiwa ofisin na brad na rajesh wakiongelea tatizo la kuvuja kwa acid kwenye mitambo yao,huku akilalamika wanawalipa wataalam wao ila wanafanya uzembe na kusema maji ya matumizi ya nyumban inabidi huduma isimame haraka. Rajesh aansema itawalia pesa ila barker anasema wawasiliane na manispaa.rajesh anasema mamlaka hawatapenda ila barker anamwambia ahakikishe anasolve tatizo hilo kisha anamtuma brad akatafute jibu kwann bomba limepasuka wakat wanalipa wataalam
Lerato yupo salun anamalizia mpaka dawa ya nywele mteja,mfanyakazi wake anaingia na kumwambia hamna maji hata kidogo,lerato anamtaka mteja avumilie atafute ufumbuzi,lerato anampigia sechaba kumuuliza kama alilipa bili ya maji maana wamekatiwa maji,sechaba anasema alilipa na kwamba alipokea sms kuwa maji yatakatwa na HI inafanya uchunguzi zaidi,lerato analalamika ana wateja na wanahitaji maji. Lerato anamwambia mfanyakaz wake aende jikon atafute maji yoyote amwoshe mteja
Nikiwe anaenda ofisin kwa sechaba,sechaba analalamika kuhusu maji kukatika na kwamba wafanyakaz wengi wameahindwa wasili kazin SG sababu ya ukosefu wa maji,nikiwe anasema sio kosa lao ni la barker na kwamba anamfata ili asiwasababishie hasara
Lerato analalamika ukosefu wa maji,kamo anamwambia ana shida ya kuongea nae,na kwamba obakeng kabadilika kawa mtu laini kiasi cha kumshangaza na kwamba alimpenda sababu ya ukauzu na sio kama alivyo kipind hiki. Lerato anamwambia amwachie aphiwe ni mzigo wake
Ofisin kwa barker,rajesh anajaribu kumwambia barker kuhusu sheria zinavyowabana kwa kosa walilonalo ila barker anataka kusikia suluhisho,kisha anamwambia rajesh aondoke ofisin kwake nikiwe anaingia na kumtaka barker atafute suluhisho haraka maana linawaathiri hata wao na wafanyakazi wao,barker anasema wanafanyia kazi
Morogwa anaenda ofisin kwa sechaba akiwa na furaha maana kapata majibu mazuri ya test,sechaba anampa mkataba na kumtaak akausome vizuri na kuusaini
Linc yupo gerezan katembelewa na nina,linc anamwambia nina kamuita amsaidie ishu nzito,nina anagundua linc anataka msaada wa kutoroka gerezani,linc anamuahidi kiwango kinene cha pesa
Zukisa anamlaum matlala kwa usalit na kumwambia uhusiano wao umeishia hapo
Nikiwe akiwa duncan anamkuta kgotha kakosa raha,anamuuliza nini tatizo,kgotha anamwonyesha karatasi la talaka,nikiwe anashangaa,kgotha anajiapiza atapigania haki yake hadi mwisho atahakikisha anamfilisi tyson na kumrudisha kwwnye hali yake ya awali(umaskini)nikiwe anauliza kuhusu watoto wao,kgotha anasema sio wa tyson bali wa dada yake kgotha ambao waliwaasili na kuwalea kama watoto wao,nikiwe anamuaga akisema ana appointment na mtu hapo duncan
Obakeng akiwa home,anatoka sebulen,mara anarud anakimbia akimuona jamaa mwenye silaha,obakeng anaweweseka akiomba asiumizwe na kuwa hajui chochote,nina anatokea na kumbembeleza akimwambia hamna mtu hapo mlangoni