Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

Friday

Gabriel anafanikiwa kumzuga nikiwe kuwa alienda humo chumban kwa linc kuangalia alipokua analala gwiji wa migodi.nikiwe anamwambia wakalale chumban kwao

Matlala anaita changudoa chumban kwake,baada ya shughuli matlala anamlipa pesa,lerato anagonga mlango matlala anamficha changu,lerato anampa matlala barua kwamba imetoka kwa zukisa,changu anatokea na kumkiss matlala,lerato anakereka

Lerato akiwa anamnyooshea nguo sechaba analalamika kumkuta matlala na changudoa,ila sechaba anamuunga mkono matlala,lerato anasema ataenda dai fidia kwa barker ya kukatika kwa maji. Morogwa anagonga hodi na kuja mlalamikia sechaba kuhusu haki zake za kazin

Aphiwe analalamika kwa calv kuhusu kamo na obakeng ila calvin hamsapoti maana hana imani na zamdela. Aphiwe anachukio kuona calv hamwelew

Nikiwe kaenda ofisin kwa barker kisha anampa barker ofa ya kuununua mgodi wake na maden yaliyopo

Home kwa calvin,Calvin anamkuta angie akiwa bwii na pombe,calv anamshaur asinywe pombe haisaidii ila angie hamwelew


Morogwa anamwambia matlala kuwa kawapa SG mashart ya mkataba wake na wanaufanyia kazi

Gabr anapeleka vito kwa nina

Kgotha anamwalika nikiwe aende jion room kwake kwa vinywaji

Nina anampigia simu linc akimwambia vito vipo mikonon mwake,linc anauliza kuhusu nikiwe,nina anamwambia hakutuma vijana wake wakat penthouse kuna mwizi na tapeli so alimtuma huyo,linc anasema alijua tu gabr hafai.kisha wanaongelea mpango wao

Skhu kashangaa kukuta anadaiwa na benk deni la mamilion,haamin na kumuuliza aphiwe akionacho aphiwe anamwambia ni sahihi anachokiona,skhu anashangaa na kuona atafilisika

Jion,angie yupo sebulen peke yake kwa huzuni kubwa akinywa whisky huku akikumbuka moments na tyson

Kgotha yupo na nikiwe duncan room nao wakienjoy vinywaji na story za hapa na pale

today am sorry sijaifafanua sana
 
Friday

Gabriel anafanikiwa kumzuga nikiwe kuwa alienda humo chumban kwa linc kuangalia alipokua analala gwiji wa migodi.nikiwe anamwambia wakalale chumban kwao

Matlala anaita changudoa chumban kwake,baada ya shughuli matlala anamlipa pesa,lerato anagonga mlango matlala anamficha changu,lerato anampa matlala barua kwamba imetoka kwa zukisa,changu anatokea na kumkiss matlala,lerato anakereka

Lerato akiwa anamnyooshea nguo sechaba analalamika kumkuta matlala na changudoa,ila sechaba anamuunga mkono matlala,lerato anasema ataenda dai fidia kwa barker ya kukatika kwa maji. Morogwa anagonga hodi na kuja mlalamikia sechaba kuhusu haki zake za kazin

Aphiwe analalamika kwa calv kuhusu kamo na obakeng ila calvin hamsapoti maana hana imani na zamdela. Aphiwe anachukio kuona calv hamwelew

Nikiwe kaenda ofisin kwa barker kisha anampa barker ofa ya kuununua mgodi wake na maden yaliyopo

Home kwa calvin,Calvin anamkuta angie akiwa bwii na pombe,calv anamshaur asinywe pombe haisaidii ila angie hamwelew


Morogwa anamwambia matlala kuwa kawapa SG mashart ya mkataba wake na wanaufanyia kazi

Gabr anapeleka vito kwa nina

Kgotha anamwalika nikiwe aende jion room kwake kwa vinywaji

Nina anampigia simu linc akimwambia vito vipo mikonon mwake,linc anauliza kuhusu nikiwe,nina anamwambia hakutuma vijana wake wakat penthouse kuna mwizi na tapeli so alimtuma huyo,linc anasema alijua tu gabr hafai.kisha wanaongelea mpango wao

Skhu kashangaa kukuta anadaiwa na benk deni la mamilion,haamin na kumuuliza aphiwe akionacho aphiwe anamwambia ni sahihi anachokiona,skhu anashangaa na kuona atafilisika

Jion,angie yupo sebulen peke yake akinywa whisky huku akikumbuka moments na tyson

Kgotha yupo na nikiwe duncan room nao wakienjoy vinywaji na story za hapa na pale

today am sorry sijaifafanua sana
Usijali mumy apo panatosha
 
Friday

Gabriel anafanikiwa kumzuga nikiwe kuwa alienda humo chumban kwa linc kuangalia alipokua analala gwiji wa migodi.nikiwe anamwambia wakalale chumban kwao

Matlala anaita changudoa chumban kwake,baada ya shughuli matlala anamlipa pesa,lerato anagonga mlango matlala anamficha changu,lerato anampa matlala barua kwamba imetoka kwa zukisa,changu anatokea na kumkiss matlala,lerato anakereka

Lerato akiwa anamnyooshea nguo sechaba analalamika kumkuta matlala na changudoa,ila sechaba anamuunga mkono matlala,lerato anasema ataenda dai fidia kwa barker ya kukatika kwa maji. Morogwa anagonga hodi na kuja mlalamikia sechaba kuhusu haki zake za kazin

Aphiwe analalamika kwa calv kuhusu kamo na obakeng ila calvin hamsapoti maana hana imani na zamdela. Aphiwe anachukio kuona calv hamwelew

Nikiwe kaenda ofisin kwa barker kisha anampa barker ofa ya kuununua mgodi wake na maden yaliyopo

Home kwa calvin,Calvin anamkuta angie akiwa bwii na pombe,calv anamshaur asinywe pombe haisaidii ila angie hamwelew


Morogwa anamwambia matlala kuwa kawapa SG mashart ya mkataba wake na wanaufanyia kazi

Gabr anapeleka vito kwa nina

Kgotha anamwalika nikiwe aende jion room kwake kwa vinywaji

Nina anampigia simu linc akimwambia vito vipo mikonon mwake,linc anauliza kuhusu nikiwe,nina anamwambia hakutuma vijana wake wakat penthouse kuna mwizi na tapeli so alimtuma huyo,linc anasema alijua tu gabr hafai.kisha wanaongelea mpango wao

Skhu kashangaa kukuta anadaiwa na benk deni la mamilion,haamin na kumuuliza aphiwe akionacho aphiwe anamwambia ni sahihi anachokiona,skhu anashangaa na kuona atafilisika

Jion,angie yupo sebulen peke yake akinywa whisky huku akikumbuka moments na tyson

Kgotha yupo na nikiwe duncan room nao wakienjoy vinywaji na story za hapa na pale

today am sorry sijaifafanua sana
Ucjal kpnz nashkr pia
 
Back
Top Bottom