mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Huyu Mnyama anapendeza sana akiwa STI.Ninayo Forester tangu 2010 manual transmission yenye Turbo (kidirisha kwenye bonnet).Ni imara sana ila kwenye foleni za Dar inakula mafuta kwenye safari ndefu inakula mafuta kawaida.Haziharibiki hovyo hovyo ila ikiharibika spea zake ziko juu na nyingi haziingiliani na Toyota.Shock up tu ni karibu laki 2.Ni 4AWD hazinasi kwenye tope;mchanga nk.Kwenye long route V8 Landcruiser ndiyo huwa naona zinani overtake....