Sasa iliyoanza production ni 1hz ikaja 1hdt hilo liko wazi kuwa hd imo more advanced na ndio maana zote zina engine displacement sawa 4.2 ila ukweli kuhusu turbo uko wazi kuongeza nguvu ya injine na kupunguza ulaji wa mafuta.1hdt iko more advanced kwenye tech ukilinganisha na 1hz. Wala siyo kwa sababu ya turbo.