Subaru Forester Vs Mazda CX5

101 East

JF-Expert Member
Feb 25, 2015
1,040
2,121
Hii ndio habari ya mjini Kwa wale wapenda magari mazuri

Hizi ni gari shindani kwa sababu zote zipo kundi moja la COMPACT SUV.

Zinafanana sifa katika utendaji kama vile:

1. Ukubwa wa umbo
2. Nafasi kubwa ndani
3. Ground clearance nzuri
4. Nguvu ya kutosha kustahimili
changamoto za barabara
ngumu

Baadhi ya Tofauti ambazo zinaweza kukusaidia kuchagua kati ya SUBARU FORESTER na MAZDA CX5 ni kama vile:
1. Muonekano, macho
yanatofautiana kila mtu ana
Upendeleo binafsi kati ya
Muonekano wa FORESTER na
MAZDA CX5

2. Matumizi ya mafuta, MAZDA
CX5 nyingi ni Diesel na
zinakwenda mpaka 18KM/L
wakati FORESTER ni Petrol na
zinakwenda 14KM/L. Kuhusu
utofauti wa injini ya Petrol na
Diesel unaweza kurejea somo
hilo lipo humu

3. Upatikanaji wa vifaa na
mafundi, Japo gari zote hazipo
kwa wingi sana, lakini subaru
ipo kwa wingi na hata vifaa ni
vingi na mafundi wapo wengi
pia kulinganisha na MAZDA
CX5

4. MAZDA CX5 zilizo nyingi ni
Non-Turbo lakini zinakuwa na
nguvu kubwa kuliko
FORESTER NON-TURBO (XS)
FORESTER XT inazalisha
nguvu kubwa zaidi kuliko
MAZDA NON-TURBO. Lakini
MAZDA CX5 TURBO inazalisha
nguvu kubwa kuizidi kidogo
FORESTER TURBO (XT)

5. Bajeti, MAZDA CX5 bajeti yake
ni kuanzia TSH 27M mpaka
TSH 30M wakati FORESTER
NEW MODEL zinaanzia TSH
25M mpaka TSH 28M lakini
pia FORESTER OLD MODEL
bajeti ni chini zaidi.

Bila shaka maelezo haya yanajitosheleza kukuwezesha kufanya Uchaguzi sahihi.

View attachment 2789002View attachment 2789003
 
101 East juzi nilitaka kupost mada inayohusu hii gari Mazda CX-5 hasa baada ya jamaa yangu hapa kariakoo kununua hii gari...
Hii gari Kwa upande wa interior design iko juu zaidi ya harrier, Subaru forester, vanguard na nissan xtrail. Kama kwenye ishu ya design hii Mazda CX-5 walituliza vichwa mno hata design ya nje pia imekaa vizuri Sana kushinda hizo gari nimetaja pale juu.
main-qimg-96440474b08944b4d951a4035def469e.png
 
101 East juzi nilitaka kupost mada inayohusu hii gari Mazda CX-5 hasa baada ya jamaa yangu hapa kariakoo kununua hii gari...
Hii gari Kwa upande wa interior design iko juu zaidi ya harrier, Subaru forester, vanguard na nissan xtrail. Kama kwenye ishu ya design hii Mazda CX-5 walituliza vichwa mno hata design ya nje pia imekaa vizuri Sana kushinda hizo gari nimetaja pale juu.View attachment 2789230
Yeah Mazda CX-5 na CX-90 Zimesanifiwa Kwa mifumo wanaita kodo design, simplicity at the best
 
Kama Una kitu cha kuongezea unaweza kushare hapa ili na Sisi tupate mwanga
Mkuu hili la matumizi ya mafuta...

Huwa inasemwa na nakubali, kuwa matumizi ya mafuta kwenye gari inategemea vitu vingi...

Ila Kwa navyofaham...Subaru Forester (turbo au non turbo), ikijitahidi Sana sana itaenda 08km/ltr wakati Mazda CX 5 ikijitahidi Sana itaenda 10km/ltr.

Huu ni uzoefu wangu mdogo...naweza kurekebishwa
 
Hii ndio habari ya mjini Kwa wale wapenda magari mazuri

Hizi ni gari shindani kwa sababu zote zipo kundi moja la COMPACT SUV.

Zinafanana sifa katika utendaji kama vile:

1. Ukubwa wa umbo
2. Nafasi kubwa ndani
3. Ground clearance nzuri
4. Nguvu ya kutosha kustahimili
changamoto za barabara
ngumu

Baadhi ya Tofauti ambazo zinaweza kukusaidia kuchagua kati ya SUBARU FORESTER na MAZDA CX5 ni kama vile:
1. Muonekano, macho
yanatofautiana kila mtu ana
Upendeleo binafsi kati ya
Muonekano wa FORESTER na
MAZDA CX5

2. Matumizi ya mafuta, MAZDA
CX5 nyingi ni Diesel na
zinakwenda mpaka 18KM/L
wakati FORESTER ni Petrol na
zinakwenda 14KM/L. Kuhusu
utofauti wa injini ya Petrol na
Diesel unaweza kurejea somo
hilo lipo humu

3. Upatikanaji wa vifaa na
mafundi, Japo gari zote hazipo
kwa wingi sana, lakini subaru
ipo kwa wingi na hata vifaa ni
vingi na mafundi wapo wengi
pia kulinganisha na MAZDA
CX5

4. MAZDA CX5 zilizo nyingi ni
Non-Turbo lakini zinakuwa na
nguvu kubwa kuliko
FORESTER NON-TURBO (XS)
FORESTER XT inazalisha
nguvu kubwa zaidi kuliko
MAZDA NON-TURBO. Lakini
MAZDA CX5 TURBO inazalisha
nguvu kubwa kuizidi kidogo
FORESTER TURBO (XT)

5. Bajeti, MAZDA CX5 bajeti yake
ni kuanzia TSH 27M mpaka
TSH 30M wakati FORESTER
NEW MODEL zinaanzia TSH
25M mpaka TSH 28M lakini
pia FORESTER OLD MODEL
bajeti ni chini zaidi.

Bila shaka maelezo haya yanajitosheleza kukuwezesha kufanya Uchaguzi sahihi.

View attachment 2789002View attachment 2789003

CX 5 nyingi zinazokuja bongo ni Diesel ila tofauti na ulichosema hapa, nyingi ni Turbo
 
Mkuu hili la matumizi ya mafuta...

Huwa inasemwa na nakubali, kuwa matumizi ya mafuta kwenye gari inategemea vitu vingi...

Ila Kwa navyofaham...Subaru Forester (turbo au non turbo), ikijitahidi Sana sana itaenda 08km/ltr wakati Mazda CX 5 ikijitahidi Sana itaenda 10km/ltr.

Huu ni uzoefu wangu mdogo...naweza kurekebishwa
Mazda CX-5 ni diesel engine kuhusu fuel consumption iko vizuri Sana tofauti na Subaru forester, Mazda CX-5 inatembea km15-18 Kwa ltr hii ni sahihi kabisaa
 
Wakenya Wanashauri Kuanzia Mazda CX5 2017 Ndio Best Choice Sababu Mifumo Mingi Imekuwa Upgraded Ukilinganisha Na Mazda CX5 Chini Ya 2017.

Maana Mazda CX5 Chini Ya Mwaka 2017 Zililaumiwa Sana Kwenye Mifumo Wa DPF Huo Ni Moja Ya Matatizo Yaliyopita.

Mazda CX5 Ni Gari Zilizonunuliwa Kwa Mwingi Sana Kenya Hivyo Expert Wengi Wana Recommend Hivyo If You Want To Drive Mazda Basi Go With 2017 Na Kuendelea
 
Wakenya Wanashauri Kuanzia Mazda CX5 2017 Ndio Best Choice Sababu Mifumo Mingi Imekuwa Upgraded Ukilinganisha Na Mazda CX5 Chini Ya 2017.

Maana Mazda CX5 Chini Ya Mwaka 2017 Zililaumiwa Sana Kwenye Mifumo Wa DPF Huo Ni Moja Ya Matatizo Yaliyopita.

Mazda CX5 Ni Gari Zilizonunuliwa Kwa Mwingi Sana Kenya Hivyo Expert Wengi Wana Recommend Hivyo If You Want To Drive Mazda Basi Go Na Model Kuanzia 2017.
 
Wakenya Wanashauri Kuanzia Mazda CX5 2017 Ndio Best Choice Sababu Mifumo Mingi Imekuwa Upgraded Ukilinganisha Na Mazda CX5 Chini Ya 2017.

Maana Mazda CX5 Chini Ya Mwaka 2017 Zililaumiwa Sana Kwenye Mifumo Wa DPF Huo Ni Moja Ya Matatizo Yaliyopita.

Mazda CX5 Ni Gari Zilizonunuliwa Kwa Mwingi Sana Kenya Hivyo Expert Wengi Wana Recommend Hivyo If You Want To Drive Mazda Basi Go Na Model Kuanzia 2017.
Mkuu, iyo CX5 ya 2017 ya Diesel ina Ushuru tu wa Mil 19 hivi.

Nimeonana nazo kadhaa mjini aisee kali sana.
 
Wakenya Wanashauri Kuanzia Mazda CX5 2017 Ndio Best Choice Sababu Mifumo Mingi Imekuwa Upgraded Ukilinganisha Na Mazda CX5 Chini Ya 2017.

Maana Mazda CX5 Chini Ya Mwaka 2017 Zililaumiwa Sana Kwenye Mifumo Wa DPF Huo Ni Moja Ya Matatizo Yaliyopita.

Mazda CX5 Ni Gari Zilizonunuliwa Kwa Mwingi Sana Kenya Hivyo Expert Wengi Wana Recommend Hivyo If You Want To Drive Mazda Basi Go Na Model Kuanzia 2017.

Being ndio tatizo, hizi za 2017 zina bei iubwa kidogo. Sa chini ya hapo zina matatizo ya DPFkama zilivyo gari nyingi za Diesel za miaka ya karibuni, hasa kwa mazingira yetu ya bongo ambako diesel ni low quality, inaccurate shida nyingine ya ndogo ndogo ila ukizitibu gari inadumu. Inataka service kwa wakati na kutumia oil sahihi
 
CX 5 nyingi zinazokuja bongo ni Diesel ila tofauti na ulichosema hapa, nyingi ni Turbo
Nina fundi wangu mmoja ninamkubali ila anasema engine za Mazda zina changamoto sana, toka zimeanza kuingia kwa wingi hizi Mazda anasema zimeletwa kwake zaidi ya nane kwa matatizo engine tena zote namba E'! Ni kweli au hao watumiaji hawana uelewa nazo.?
 
Being ndio tatizo, hizi za 2017 zina bei iubwa kidogo. Sa chini ya hapo zina matatizo ya DPFkama zilivyo gari nyingi za Diesel za miaka ya karibuni, hasa kwa mazingira yetu ya bongo ambako diesel ni low quality, inaccurate shida nyingine ya ndogo ndogo ila ukizitibu gari inadumu. Inataka service kwa wakati na kutumia oil sahihi
Noted!
 
Nina fundi wangu mmoja ninamkubali ila anasema engine za Mazda zina changamoto sana, toka zimeanza kuingia kwa wingi hizi Mazda anasema zimeletwa kwake zaidi ya nane kwa matatizo engine tena zote namba E'! Ni kweli au hao watumiaji hawana uelewa nazo.?

Inawezekana kabisa ikawa yote mawili. Pamoja na ukweli kwamba zina engine za diesel efficient sana (zina power na zinanusa tu mafuta), ni engine zinahitaji uweke diesel safi na oil sahihi tena kwa wakati.
Tatizo linaanza hapa bongo Diesel hata unayonunua kituo kizuri aje inakuja tayari ikiwa na sulfur ya kutosha, DPF inaziba na usipotibu kwa wakati unaua turbo na hata head kabisa.
Pia zinakuja n mfumo wa upoozaji ambao inashauriwa gari ikifika ubadili coolant junction/bypass uweke ya metal badala ya plastic.

Kupenda vya rahisi (ambalo si kosa) inapelekea watu mara kadhaa kununua gari toka nje zikiwa zishaanza kudevelop hata matatizo.

Kwa kifupi kama unaitaka hii ya diesel, zingatia hayo au la huwezi, tafuta ya petrol
 
Hiyo Exterior Design Unyama Sana Huko Interior Si Ndio Watakuwa Wameua.
Nje iyo design wao wanaiita Kodo design or Soul of Motion. Ilianza kwenye izo CX5 sahivi imesambaa kwenye lineup nzima ya Mazda.

Ndani wamechukua interior ya Mazda 6 (Atenza) za kuanzia 2016 aisee. Unyama sana .

Mazda_CX-5_XD_L_Package_2WD_(LDA-KF2P)_interior.jpg


Mkuu, hii ni CX5 aisee. Sasa kuna vyuma vinaitwa CX50, CX9 na CX90.

Aisee tutafute hela sana.
 
Back
Top Bottom