Nimeenda kikao cha shule na gari yangu Subaru Forester, walimu wakanishangaa

Edsger wybe Dijkstra

JF-Expert Member
Aug 22, 2019
240
463
Juzi nilipita eneo fulani kulikuwa na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine, aisee hayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza huku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu, wengine kwa li costa fulani dcm limechoka kishenzi limetokea huko Kwimba. Mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa halafu chafu, aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana!

Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
 
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Wewe jamaa badilika gari siyo ya kumtushia mtu Kwa sasa hasa hizo Subaru za M18.
 
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Mbona wewe ndo mshamba Sasa forester ndo gari ya kukufanya uwadharau wengine Na kuwaona washamba??.....Mpumbavu Sana wewe
 
Umekunywa chai kweli?
Juzi nilimkosoa aliyekuwa anadharau PhD wakati nadhani hata first degree hana. Leo huyu nadhani ni wale waliofail STD Seven. Mtu aliyeingia madarasa hawezi kutukana ualimu maana tulicho nacho kimetokana na juhudi zao. Kwa bahati mbaya mfumo umewasahau.

Aidha unaelezwa kuwa uhalisia wa maendeleo katika nchi yoyote ni pale ambapo watoto wanazidi elimu na mali wazazi wao. Wakati ule ilikuwa ni Liberia katika Afrika pahala ambapo Wazazi walikuwa na elimu zaidi ya watoto wao (wakati wa vita). Kama wewe Edsger wybe Dijkstra aliyekufundisha darasa la kwanza akiwa na uwezo wa uchumi zaidi yako, basi hakuna maendeleo.
 
Juzi nilipita eneo flani kulikua na kikao cha walimu tena wakuu wa shule aisee!

Kwanza picha linaanza nimeshuka kwenye gari subaru forester xt sport nyeusi tii inayoshine .aisee ayo macho ya walimu wakuu waliogeuka kuishangaa gari sijapata kuona, nikawapita kwenda duka la mpesa wapo wengiiii kama siafu bado wanashangaa . Ukiwacheki walivovaa sasa wameva kishamba na makofia ya cowboy na mitai ya wapi sijui

Nikaangaza uku na kule nikaona wanazidi kuingia wengine wengi kwa miguu,wengine kwa li costa flani dcm limechoka kishenzi limetokea uko kwimba. mmoja au wawili tu ndo walikuja na private car na zenyewe ni rav v 4 na corola za zamani zimechoka na kukongoroka balaa alafu chafu.aisee ualimu kweli ni kazi ya laaana! Muepushe kabisa mwanao na huu ujinga!!
Bila Shaka
Sasa kushangaa XT ndo hadi umeanzisha uzi, gari hata 40M haifiki, wewe ndo mshamba zaidi.
Hata 30 haifiki
 
Back
Top Bottom