Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,295
Pole sana, ila ndio maisha na ukijikwaa unaamka na kuendeleaUjambazi haupo tena hata kuubiwa kumepungua sana sababu kuna vifaa vingi sana vya kutambua vip feki na kipi ni sahihi nimekua kwenye hiyo secta na nilianza na laki tano tuu nilishikwa mkono na mtu ambae tulijuana huko huko poloni na nilikua vzr sana bahati mbaya sana jamaa alikuja kupata ajali na mbaya zaidi siku hiyo ndo nilikua nimetoka poli dhababu yote ilikua kwake ndo ukawa mwisho wangu kwa hasira sikutaka tena nikaondoka sa hv nipo dsm but dhahabu ukiiheshimu itakuheshimisha pia
Natamani kuifanya na kuingia huko siku moja
Ila sio mchimbaji bali mnunuzi tu