tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,896
- 19,755
Nipo mda kwenye uchimbaji na kunalipa,sema uwekezaji wke ni gharama sana mana miundombinu sio kma migodi ya dhahabuUpo kwenye biashara hizo ama
Kweli zinalipa sana
Nipo mda kwenye uchimbaji na kunalipa,sema uwekezaji wke ni gharama sana mana miundombinu sio kma migodi ya dhahabuUpo kwenye biashara hizo ama
Kweli zinalipa sana
Mimi ni mchimbaji niko mgodini ...leseni ukienda wizarani utajua gharama zakeGemstones nayo utaratibu wake upoje? Ina leseni yake pia? Ni shingapi? Kama unajua mkuu!
Mkuu kama unakuwa mnunuzi tu je kuna asilimia ngapi ya kupigwa kama hujuiNipo mda kwenye uchimbaji na kunalipa,sema uwekezaji wke ni gharama sana mana miundombinu sio kma migodi ya dhahabu
wewe jamaa nmeeanza kukuelewa uko vizuri kaka..sijaulizwa hilo swali, na kimsingi siwezi kujibu maana huyo mwenzako alianza kwa kuongea shombo, ila kwa faida yako tu, naweza fanya kila hatua ya utafutaji wa dhahabu from mapping, sampling, ground geophysical survey, drilling supervision iwe ni RC, RAB OR DD, i can also do some resource/reserve estimation, i also have an intermidiate knowledge on mine planning iwe underground or open cut.
hapo nyangalata kuna tajiri mmoja alifariki jina saguda....alikuwa na mawe sio ya nchi hii ila alikufa kimaajabu sanaN
yangalata pamepoa sana
Nyamishiga hakuna jipya watu wameunguza mitaji
Kalole hakuna jipya
Busulwangiri hakuna jipya
Saguda hawa wanyantuzu wana mambo ya ushirikina sana kwenye machimbo maarufu ndaguhapo nyangalata kuna tajiri mmoja alifariki jina saguda....alikuwa na mawe sio ya nchi hii ila alikufa kimaajabu sana
umenikumbusha mbali sana nliwah piga hizi mishe za exploration hasa drilling nkitumia machine ya Lm90 nikiwa kama offsider....hahaaaDrilling ya exploration ni test holes ni visima vifupi vya majaribio ambavyo sio gharama sana kama drilling iliyopo kwenye production ambayo mnachukua cores na ni ghali sana
Yes mimi pia nimefanya mining industry sio stable leo una kazi,kesho hauna nikakimbilia bank kidogo ni uhakikaumenikumbusha mbali sana nliwah piga hizi mishe za exploration hasa drilling nkitumia machine ya Lm90 nikiwa kama offsider....hahaaa
ni kwel jamaaa ulipga kwa mda ganiYes mimi pia nimefanya mining industry sio stable leo una kazi,kesho hauna nikakimbilia bank kidogo ni uhakika
Leta wewe ukweliMwongo huyoo
Naomba unitoe ushamba kidogo hapa
Mimi sio mkulima ila huwa nasubiri watu walime nikiwa mjini najaza store zangu halafu wakati wa mahitaji ya chakula nauza kwa faida kubwa
Sasa kwa mfano nikakupa hizo 50m badala ya kwenda kufukiwa na kifusi ukafungua duka lako hapo la kununua dhahabu taratibu haiwezekani
Nauliza tu maana nimeona wasomali wakimbizi Australia wameenda na kuanza kununua Opal stones kwa wenyeji huku wakiwaacha wao wahangaike ila waaminifu sana hao jamaa
Sasa turudi bongo je linawezekana?
mkuu Black Sniper mimi nipo Kahama nimepata site lakini nimekosa hela ya kujenga banda ambalo linaweza kugharimu kama 500,000.Tayar nnamzigo wa biashara nnahitaji mfadhili wa kunijengea banda hilo na nitakuwa narudisha pesa kidogo kidogo iwe na riba.Kama upo karibu waweza kufika nikakuonesha eneo na unaweza kunijengea au nikajenga under your supervision.Niazime mkuu nitoke kwenyw maisha haya...Inawezekana mkuu ila mimi nilielekezwa kwenye mwamba ndio kuna hela kubwa hasa yale makinikia ukiyapeleka kuchenjua uhakika wa kukamua kilo tatu za dhahabu upo hapo ndio niliona utam uliko Kumbe kuna moto wake ni balaaa itoshe tu kusema wenzetu wazungu pale Katika mgodi wa bulyanhulu hela wamefukia sio za kitoto
Kwahiyo million 50 inawezekana kuwa middle broker yani kuwa mnunuzi wa kati tu.
Naomba unitoe ushamba kidogo hapa
Mimi sio mkulima ila huwa nasubiri watu walime nikiwa mjini najaza store zangu halafu wakati wa mahitaji ya chakula nauza kwa faida kubwa
Sasa kwa mfano nikakupa hizo 50m badala ya kwenda kufukiwa na kifusi ukafungua duka lako hapo la kununua dhahabu taratibu haiwezekani
Nauliza tu maana nimeona wasomali wakimbizi Australia wameenda na kuanza kununua Opal stones kwa wenyeji huku wakiwaacha wao wahangaike ila waaminifu sana hao jamaa
Sasa turudi bongo je linawezekana?
Mkuu, najua mwanzo huwa mgumu ila unawezamkuu Black Sniper mimi nipo Kahama nimepata site lakini nimekosa hela ya kujenga banda ambalo linaweza kugharimu kama 500,000.Tayar nnamzigo wa biashara nnahitaji mfadhili wa kunijengea banda hilo na nitakuwa narudisha pesa kidogo kidogo iwe na riba.Kama upo karibu waweza kufika nikakuonesha eneo na unaweza kunijengea au nikajenga under your supervision.Niazime mkuu nitoke kwenyw maisha haya...
Thank you brother for encouragement!Mkuu, najua mwanzo huwa mgumu ila unaweza
Mimi niko mbali na tz kwa sasa
Ningekuwa huko ningekuja kukuona ila ndio hivyo tena
Kama una uzoefu naomba unijibu. Kwa makadirio, kila watu 100 wanaokwenda kubahatisha kupata utajiri wa dhahabu, ni wangapi wanapata na ni wangapi wanafeli? Kujua mahesabu kama haya ni vizuri sana kabla hujaamua kuingia huko.
Your welcomeMkuu acha tuu nilikaa kama week huko nikawa sijui pa kuanzia kabisa nliamini hii biashara ili uwin inabidi upete mtu wa kukushika mkono coz matapeli wengi, sikumpata huyo mtu nikaamua kuondoka ila ipo siku nitarudi tuu.