Machimbo ya dhahabu bado nayadai

Machimbo ya dhahabu bado nayadai

Naomba unitoe ushamba kidogo hapa
Mimi sio mkulima ila huwa nasubiri watu walime nikiwa mjini najaza store zangu halafu wakati wa mahitaji ya chakula nauza kwa faida kubwa
Sasa kwa mfano nikakupa hizo 50m badala ya kwenda kufukiwa na kifusi ukafungua duka lako hapo la kununua dhahabu taratibu haiwezekani

Nauliza tu maana nimeona wasomali wakimbizi Australia wameenda na kuanza kununua Opal stones kwa wenyeji huku wakiwaacha wao wahangaike ila waaminifu sana hao jamaa

Sasa turudi bongo je linawezekana?
Nipe uzoefu wa biashara ya mazao, unanunua mikoa gani haswa? Unadeal na mchele /mahindi?
 
Licha ya kuchimba sana dhahabu Chunya na kusekesa Lakini dhahabu imekuwa ni adhabu kwangu kwa kukaa kwangu kote polini nimeambulia kupata nyunga tu za point moja zimezidi sana point saba

Licha ya kupiga sana sululu huku gold detector yenye ukubwa wa 7000 hapa nazungumzia Gp7000 ile ya kisasa kabisa Lakini bado dhahabu ni ngumu kupatikana je dhahabu ni nini jibu= dhahabu ni adhabu.

Licha ya kupona kufukiwa ndani ya long base ukiwa na kitochi tu huko chini na uki risk maisha yako kwa hali ya juu na chini Lakini kupata dhahabu sio rahisi kama wana jf wanavyo jidai wana yajua vizuri machimbo ya dhahabu Lakini kiuhalisia hakuna wajualo

Mpaka mda huu ninao zungumza nilikuwa nipo sehemu zangu nina ofisi kubwa na maisha yanaenda akaja jamaa yangu mmoja wa mda kidogo ndani ya Toyota IST kali nikamuuliza vipi mbona adim na maisha umeyapatia sana akasema yeye yuko chunya machimbo mda wote na story yake ilinivutia na Mimi kuingia kwenye biashara ya dhahabu ooh hapa ndipo nilipo kosea duka mpaka sasa limefilisika

Nimebaki mabega tu na shimo ndio kwanza linaanza wachimbaji wananipigia simu wanataka unga wa kula kambini na Mimi HELA sina.

Hadithi za machimbo ya dhahabu ni tamu kusikiliza nimeweka hela Kumbe nimefukia mazima hata elusion ndio kwanza sijafika hali iko Hivi ama kweli biashara ya dhahabu kashamzoba au kanyampasila au kachumbagira (Rip marehemu mkandala rufufu)

MPAKA SASA NAHITAJI NIWE NA MILLION 50 ILI KUENDELEZA SHIMO LANGU NA NIMETUMIA MILLION 28 KESHI NIKIWA NA HIYO HAMSINI NI MPAKA KWENYE UCHENJUAJI MSAADA PLEASE KWA ANAE JUA SHORT CUT.

View attachment 2818592
Pole mkuu,
 
Inawezekana mkuu ila mimi nilielekezwa kwenye mwamba ndio kuna hela kubwa hasa yale makinikia ukiyapeleka kuchenjua uhakika wa kukamua kilo tatu za dhahabu upo hapo ndio niliona utam uliko Kumbe kuna moto wake ni balaaa itoshe tu kusema wenzetu wazungu pale Katika mgodi wa bulyanhulu hela wamefukia sio za kitoto

Kwahiyo million 50 inawezekana kuwa middle broker yani kuwa mnunuzi wa kati tu.
Basi bora kuwa mnunuzi wa kati na unapanda taratibu kwa uaminifu
Ila kwa gold detectors nimeziona za German ni nzuri ingawa inategemea na bei ipi unataka zipo mpaka 30m ya bongo lakini uhakika
Nimeona pia mpaka miwani ya kuona dhahabu chini ya ardhi au maji na bei ni 1.5m
Kweli ni biashara nzuri ila high risk
 
Nipe uzoefu wa biashara ya mazao, unanunua mikoa gani haswa? Unadeal na mchele /mahindi?
Mazao ni mpanda mkuu ninatuma vijana wananunua na kupakia ila kila biashara ina changamoto zake na mimi nina biashara za aina tofauti ili kujaziliza pakivuja sehemu

Kuna wakati nilipeleka behewa la mchele dar nikakutana na mafuriko na mchele wa kutoka nje niliuza kwa hasara sana Kama loss ya 5m ila nilirudisha kwenye miradi mingine baada ya miezi miwili
Ila ni kupambana tu mpaka unapata usafiri wako mwenyewe
 
Basi bora kuwa mnunuzi wa kati na unapanda taratibu kwa uaminifu
Ila kwa gold detectors nimeziona za German ni nzuri ingawa inategemea na bei ipi unataka zipo mpaka 30m ya bongo lakini uhakika
Nimeona pia mpaka miwani ya kuona dhahabu chini ya ardhi au maji na bei ni 1.5m
Kweli ni biashara nzuri ila high risk
Mkuu kama miwani ya kuona dhahabu chini unayo mnisaidie tuende pale saiti pangu palipo doda tukaangalizie kwa kutumia miwani ili tuone dhahabu zilipo tuanzie hapo nimechoka kufukuzia mwamba naona hiyo miwani itanisaidia
 
Kuna kipindi cha nyuma nilitembelea mji wa Katoro na kushuhudia maisha ya wachimbaji wa Kati na wakubwa! Niliona hii biashara inahitaji uvumilivu wa hali ya juu na mahusiano mazuri na suppliers mfano hardwares nk

Wachimbaji wengi hukopa, mpaka siku wakipata wanalipa cash.Pia wengi wana biashara nyingine inayowapa Mahitaji ya kila siku.

Naona wenye Plant wanafaidi kiasi na wanunuzi, ila yataka moyo.
 
Licha ya kuchimba sana dhahabu Chunya na kusekesa Lakini dhahabu imekuwa ni adhabu kwangu kwa kukaa kwangu kote polini nimeambulia kupata nyunga tu za point moja zimezidi sana point saba

Licha ya kupiga sana sululu huku gold detector yenye ukubwa wa 7000 hapa nazungumzia Gp7000 ile ya kisasa kabisa Lakini bado dhahabu ni ngumu kupatikana je dhahabu ni nini jibu= dhahabu ni adhabu.

Licha ya kupona kufukiwa ndani ya long base ukiwa na kitochi tu huko chini na uki risk maisha yako kwa hali ya juu na chini Lakini kupata dhahabu sio rahisi kama wana jf wanavyo jidai wana yajua vizuri machimbo ya dhahabu Lakini kiuhalisia hakuna wajualo

Mpaka mda huu ninao zungumza nilikuwa nipo sehemu zangu nina ofisi kubwa na maisha yanaenda akaja jamaa yangu mmoja wa mda kidogo ndani ya Toyota IST kali nikamuuliza vipi mbona adim na maisha umeyapatia sana akasema yeye yuko chunya machimbo mda wote na story yake ilinivutia na Mimi kuingia kwenye biashara ya dhahabu ooh hapa ndipo nilipo kosea duka mpaka sasa limefilisika

Nimebaki mabega tu na shimo ndio kwanza linaanza wachimbaji wananipigia simu wanataka unga wa kula kambini na Mimi HELA sina.

Hadithi za machimbo ya dhahabu ni tamu kusikiliza nimeweka hela Kumbe nimefukia mazima hata elusion ndio kwanza sijafika hali iko Hivi ama kweli biashara ya dhahabu kashamzoba au kanyampasila au kachumbagira (Rip marehemu mkandala rufufu)

MPAKA SASA NAHITAJI NIWE NA MILLION 50 ILI KUENDELEZA SHIMO LANGU NA NIMETUMIA MILLION 28 KESHI NIKIWA NA HIYO HAMSINI NI MPAKA KWENYE UCHENJUAJI MSAADA PLEASE KWA ANAE JUA SHORT CUT.

View attachment 2818592
Usikate tamaa ,jipange tena rudi mzigoni .
Pesa ndefu kuipata kwenye madini kibongo Bongo lazima upitie Trials and errors kama hizo
 
Mkuu kama miwani ya kuona dhahabu chini unayo mnisaidie tuende pale saiti pangu palipo doda tukaangalizie kwa kutumia miwani ili tuone dhahabu zilipo tuanzie hapo nimechoka kufukuzia mwamba naona hiyo miwani itanisaidia
Sina mkuu ila zipo zinauzwa kwa £450 kama 1.3m ya huko
Screenshot_20231119_105509_eBay~2.png
Screenshot_20231119_105445_eBay~2.png
Screenshot_20231119_105358_Photos~2.png
 
Licha ya kuchimba sana dhahabu Chunya na kusekesa Lakini dhahabu imekuwa ni adhabu kwangu kwa kukaa kwangu kote polini nimeambulia kupata nyunga tu za point moja zimezidi sana point saba

Licha ya kupiga sana sululu huku gold detector yenye ukubwa wa 7000 hapa nazungumzia Gp7000 ile ya kisasa kabisa Lakini bado dhahabu ni ngumu kupatikana je dhahabu ni nini jibu= dhahabu ni adhabu.

Licha ya kupona kufukiwa ndani ya long base ukiwa na kitochi tu huko chini na uki risk maisha yako kwa hali ya juu na chini Lakini kupata dhahabu sio rahisi kama wana jf wanavyo jidai wana yajua vizuri machimbo ya dhahabu Lakini kiuhalisia hakuna wajualo

Mpaka mda huu ninao zungumza nilikuwa nipo sehemu zangu nina ofisi kubwa na maisha yanaenda akaja jamaa yangu mmoja wa mda kidogo ndani ya Toyota IST kali nikamuuliza vipi mbona adim na maisha umeyapatia sana akasema yeye yuko chunya machimbo mda wote na story yake ilinivutia na Mimi kuingia kwenye biashara ya dhahabu ooh hapa ndipo nilipo kosea duka mpaka sasa limefilisika

Nimebaki mabega tu na shimo ndio kwanza linaanza wachimbaji wananipigia simu wanataka unga wa kula kambini na Mimi HELA sina.

Hadithi za machimbo ya dhahabu ni tamu kusikiliza nimeweka hela Kumbe nimefukia mazima hata elusion ndio kwanza sijafika hali iko Hivi ama kweli biashara ya dhahabu kashamzoba au kanyampasila au kachumbagira (Rip marehemu mkandala rufufu)

MPAKA SASA NAHITAJI NIWE NA MILLION 50 ILI KUENDELEZA SHIMO LANGU NA NIMETUMIA MILLION 28 KESHI NIKIWA NA HIYO HAMSINI NI MPAKA KWENYE UCHENJUAJI MSAADA PLEASE KWA ANAE JUA SHORT CUT.

View attachment 2818592
Biashara ya dhahabu ni ngumu heri uchimbe gemstone.... mzawa kwenye dhahabu anapiga hatua fupifupi angalie kwenye gemstone watu wanapiga billions kwenye tanzanite,ruby,spinal na green toumaline
 
Back
Top Bottom