Saa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 6,500
- 12,843
Hujui chochote kuhusiana na uchimbajihamna betting kwenye dhahabu mkuu kila kitu kiko wazi kabisa, ni wewe tu kuamua kama unabet au hubet.
Hujui chochote kuhusiana na uchimbajihamna betting kwenye dhahabu mkuu kila kitu kiko wazi kabisa, ni wewe tu kuamua kama unabet au hubet.
sawa boss sijui chochote, vp siku nikikukaribisha kwenye vat leaching plant yangu na kukutembeza kwenye maduara yangu bado utashikilia kauli yako au utatengua kauli?Hujui chochote kuhusiana na uchimbaji
Wewe wasema.sawa boss sijui chochote, vp siku nikikukaribisha kwenye vat leaching plant yangu na kukutembeza kwenye maduara yangu bado utashikilia kauli yako au utatengua kauli?
Ndio nilimuaga mama baba na wife na watoto mkuu
mbona umejibu kinyonge, utatengua kauli au bado utaendelea na msimamo wako kuwa sijui chochote kuhusu dhahabu.Wewe wasema.
Nipe uzoefu wa biashara ya mazao, unanunua mikoa gani haswa? Unadeal na mchele /mahindi?Naomba unitoe ushamba kidogo hapa
Mimi sio mkulima ila huwa nasubiri watu walime nikiwa mjini najaza store zangu halafu wakati wa mahitaji ya chakula nauza kwa faida kubwa
Sasa kwa mfano nikakupa hizo 50m badala ya kwenda kufukiwa na kifusi ukafungua duka lako hapo la kununua dhahabu taratibu haiwezekani
Nauliza tu maana nimeona wasomali wakimbizi Australia wameenda na kuanza kununua Opal stones kwa wenyeji huku wakiwaacha wao wahangaike ila waaminifu sana hao jamaa
Sasa turudi bongo je linawezekana?
mkuu sasa Mimi ni mtu mzima lazimq niag ni utoto kuondoka bila kuagaUlikosea sana,ukiondoka machimboni huwa hatuagi.
mkuu sasa Mimi ni mtu mzima lazimq niag ni utoto kuondoka bila kuaga
Ajaribu na njia mbadala??Sasa zimekufikisha wapi hizo mbinu?
Pole mkuu,Licha ya kuchimba sana dhahabu Chunya na kusekesa Lakini dhahabu imekuwa ni adhabu kwangu kwa kukaa kwangu kote polini nimeambulia kupata nyunga tu za point moja zimezidi sana point saba
Licha ya kupiga sana sululu huku gold detector yenye ukubwa wa 7000 hapa nazungumzia Gp7000 ile ya kisasa kabisa Lakini bado dhahabu ni ngumu kupatikana je dhahabu ni nini jibu= dhahabu ni adhabu.
Licha ya kupona kufukiwa ndani ya long base ukiwa na kitochi tu huko chini na uki risk maisha yako kwa hali ya juu na chini Lakini kupata dhahabu sio rahisi kama wana jf wanavyo jidai wana yajua vizuri machimbo ya dhahabu Lakini kiuhalisia hakuna wajualo
Mpaka mda huu ninao zungumza nilikuwa nipo sehemu zangu nina ofisi kubwa na maisha yanaenda akaja jamaa yangu mmoja wa mda kidogo ndani ya Toyota IST kali nikamuuliza vipi mbona adim na maisha umeyapatia sana akasema yeye yuko chunya machimbo mda wote na story yake ilinivutia na Mimi kuingia kwenye biashara ya dhahabu ooh hapa ndipo nilipo kosea duka mpaka sasa limefilisika
Nimebaki mabega tu na shimo ndio kwanza linaanza wachimbaji wananipigia simu wanataka unga wa kula kambini na Mimi HELA sina.
Hadithi za machimbo ya dhahabu ni tamu kusikiliza nimeweka hela Kumbe nimefukia mazima hata elusion ndio kwanza sijafika hali iko Hivi ama kweli biashara ya dhahabu kashamzoba au kanyampasila au kachumbagira (Rip marehemu mkandala rufufu)
MPAKA SASA NAHITAJI NIWE NA MILLION 50 ILI KUENDELEZA SHIMO LANGU NA NIMETUMIA MILLION 28 KESHI NIKIWA NA HIYO HAMSINI NI MPAKA KWENYE UCHENJUAJI MSAADA PLEASE KWA ANAE JUA SHORT CUT.
View attachment 2818592
Basi bora kuwa mnunuzi wa kati na unapanda taratibu kwa uaminifuInawezekana mkuu ila mimi nilielekezwa kwenye mwamba ndio kuna hela kubwa hasa yale makinikia ukiyapeleka kuchenjua uhakika wa kukamua kilo tatu za dhahabu upo hapo ndio niliona utam uliko Kumbe kuna moto wake ni balaaa itoshe tu kusema wenzetu wazungu pale Katika mgodi wa bulyanhulu hela wamefukia sio za kitoto
Kwahiyo million 50 inawezekana kuwa middle broker yani kuwa mnunuzi wa kati tu.
Bado hujui chochote mkuu.mbona umejibu kinyonge, utatengua kauli au bado utaendelea na msimamo wako kuwa sijui chochote kuhusu dhahabu.
Mazao ni mpanda mkuu ninatuma vijana wananunua na kupakia ila kila biashara ina changamoto zake na mimi nina biashara za aina tofauti ili kujaziliza pakivuja sehemuNipe uzoefu wa biashara ya mazao, unanunua mikoa gani haswa? Unadeal na mchele /mahindi?
Mkuu kama miwani ya kuona dhahabu chini unayo mnisaidie tuende pale saiti pangu palipo doda tukaangalizie kwa kutumia miwani ili tuone dhahabu zilipo tuanzie hapo nimechoka kufukuzia mwamba naona hiyo miwani itanisaidiaBasi bora kuwa mnunuzi wa kati na unapanda taratibu kwa uaminifu
Ila kwa gold detectors nimeziona za German ni nzuri ingawa inategemea na bei ipi unataka zipo mpaka 30m ya bongo lakini uhakika
Nimeona pia mpaka miwani ya kuona dhahabu chini ya ardhi au maji na bei ni 1.5m
Kweli ni biashara nzuri ila high risk
Usikate tamaa ,jipange tena rudi mzigoni .Licha ya kuchimba sana dhahabu Chunya na kusekesa Lakini dhahabu imekuwa ni adhabu kwangu kwa kukaa kwangu kote polini nimeambulia kupata nyunga tu za point moja zimezidi sana point saba
Licha ya kupiga sana sululu huku gold detector yenye ukubwa wa 7000 hapa nazungumzia Gp7000 ile ya kisasa kabisa Lakini bado dhahabu ni ngumu kupatikana je dhahabu ni nini jibu= dhahabu ni adhabu.
Licha ya kupona kufukiwa ndani ya long base ukiwa na kitochi tu huko chini na uki risk maisha yako kwa hali ya juu na chini Lakini kupata dhahabu sio rahisi kama wana jf wanavyo jidai wana yajua vizuri machimbo ya dhahabu Lakini kiuhalisia hakuna wajualo
Mpaka mda huu ninao zungumza nilikuwa nipo sehemu zangu nina ofisi kubwa na maisha yanaenda akaja jamaa yangu mmoja wa mda kidogo ndani ya Toyota IST kali nikamuuliza vipi mbona adim na maisha umeyapatia sana akasema yeye yuko chunya machimbo mda wote na story yake ilinivutia na Mimi kuingia kwenye biashara ya dhahabu ooh hapa ndipo nilipo kosea duka mpaka sasa limefilisika
Nimebaki mabega tu na shimo ndio kwanza linaanza wachimbaji wananipigia simu wanataka unga wa kula kambini na Mimi HELA sina.
Hadithi za machimbo ya dhahabu ni tamu kusikiliza nimeweka hela Kumbe nimefukia mazima hata elusion ndio kwanza sijafika hali iko Hivi ama kweli biashara ya dhahabu kashamzoba au kanyampasila au kachumbagira (Rip marehemu mkandala rufufu)
MPAKA SASA NAHITAJI NIWE NA MILLION 50 ILI KUENDELEZA SHIMO LANGU NA NIMETUMIA MILLION 28 KESHI NIKIWA NA HIYO HAMSINI NI MPAKA KWENYE UCHENJUAJI MSAADA PLEASE KWA ANAE JUA SHORT CUT.
View attachment 2818592
sawa mkuu, ila siku nikukuribisha usione aibu kuja, kwa sababu tutaanzia maduarani, tutaelekea kwenye makalasha kama muitavyo japo yanaitwa crashers/ballmill, au mialo kama mnavoita nyie, then tutamalizia kwenye plant kama mnavoita nyie.Bado hujui chochote mkuu.
Sina mkuu ila zipo zinauzwa kwa £450 kama 1.3m ya hukoMkuu kama miwani ya kuona dhahabu chini unayo mnisaidie tuende pale saiti pangu palipo doda tukaangalizie kwa kutumia miwani ili tuone dhahabu zilipo tuanzie hapo nimechoka kufukuzia mwamba naona hiyo miwani itanisaidia
Biashara ya dhahabu ni ngumu heri uchimbe gemstone.... mzawa kwenye dhahabu anapiga hatua fupifupi angalie kwenye gemstone watu wanapiga billions kwenye tanzanite,ruby,spinal na green toumalineLicha ya kuchimba sana dhahabu Chunya na kusekesa Lakini dhahabu imekuwa ni adhabu kwangu kwa kukaa kwangu kote polini nimeambulia kupata nyunga tu za point moja zimezidi sana point saba
Licha ya kupiga sana sululu huku gold detector yenye ukubwa wa 7000 hapa nazungumzia Gp7000 ile ya kisasa kabisa Lakini bado dhahabu ni ngumu kupatikana je dhahabu ni nini jibu= dhahabu ni adhabu.
Licha ya kupona kufukiwa ndani ya long base ukiwa na kitochi tu huko chini na uki risk maisha yako kwa hali ya juu na chini Lakini kupata dhahabu sio rahisi kama wana jf wanavyo jidai wana yajua vizuri machimbo ya dhahabu Lakini kiuhalisia hakuna wajualo
Mpaka mda huu ninao zungumza nilikuwa nipo sehemu zangu nina ofisi kubwa na maisha yanaenda akaja jamaa yangu mmoja wa mda kidogo ndani ya Toyota IST kali nikamuuliza vipi mbona adim na maisha umeyapatia sana akasema yeye yuko chunya machimbo mda wote na story yake ilinivutia na Mimi kuingia kwenye biashara ya dhahabu ooh hapa ndipo nilipo kosea duka mpaka sasa limefilisika
Nimebaki mabega tu na shimo ndio kwanza linaanza wachimbaji wananipigia simu wanataka unga wa kula kambini na Mimi HELA sina.
Hadithi za machimbo ya dhahabu ni tamu kusikiliza nimeweka hela Kumbe nimefukia mazima hata elusion ndio kwanza sijafika hali iko Hivi ama kweli biashara ya dhahabu kashamzoba au kanyampasila au kachumbagira (Rip marehemu mkandala rufufu)
MPAKA SASA NAHITAJI NIWE NA MILLION 50 ILI KUENDELEZA SHIMO LANGU NA NIMETUMIA MILLION 28 KESHI NIKIWA NA HIYO HAMSINI NI MPAKA KWENYE UCHENJUAJI MSAADA PLEASE KWA ANAE JUA SHORT CUT.
View attachment 2818592