MACHIMBO BORA YA MASHUKA NJE NA KARIAKOO NI YAPI?

MACHIMBO BORA YA MASHUKA NJE NA KARIAKOO NI YAPI?

Joined
Apr 7, 2018
Posts
11
Reaction score
14
Wakuu naomba msaada kwa yeyote anaejua machimbo bora ya mashuka nje na kariakoo ni yapi? Maana huwa naskia tu mashuka ya Uganda, Taiwan, UK, Turkey Nk ila sijajua exactly ni wapi naweza pata tofauti na vitu vingine ambavyo ukihitaji unaenda kucheki Alibaba.

Kwa wanaojua naombeni msaada wakuu
 
Back
Top Bottom