Eagle Wa njano
Member
- Apr 7, 2018
- 11
- 14
Wakuu naomba msaada kwa yeyote anaejua machimbo bora ya mashuka nje na kariakoo ni yapi? Maana huwa naskia tu mashuka ya Uganda, Taiwan, UK, Turkey Nk ila sijajua exactly ni wapi naweza pata tofauti na vitu vingine ambavyo ukihitaji unaenda kucheki Alibaba.
Kwa wanaojua naombeni msaada wakuu
Kwa wanaojua naombeni msaada wakuu