Mvua Ya Kiangaz
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 308
- 144
- Thread starter
- #101
Lizzy mie naitwa nyani hata nyani wananiita nyani mtu....ila huyu jamaa anachemka...either kasikia tory au limemtokea mtu wa karibu yake...tuulize ma PIMP tukwambie how the thangs work....
mie sio PIMP Mkuu,kwa hiyo sikuwa ki pimp zaid............................ila nimekubali reasoning yako kiaina manake na mimi nimehisi unahisi hivyo ndo mana mimi sikuhisi na wala siwezi hisi manake ukihisi kuhisi pekeyake hakuwezi kuhisi chochote juu ya hisia nyoofu isipokuwa uhalisia wa hisia na yaliyonisibu.........