Mvua Ya Kiangaz
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 308
- 144
- Thread starter
- #81
JF raha tupu!
1. Lawyer anakubali kuwa yuko pamoja na msichana wa umri mdogo, isitoshe mwongo.
2. Lawyer anatoa pounds 200 baada ya kuitwa nyani
3. Lawyer bado anauchuna anapoulizwa ataje jina la hoteli.
4. Hoteli hawawajui wahudumu wao.
5. Hoteli za London, kama vile wanavyofanya guest house za Sinza, hawadai passport na/au vitambulisho vya wateja wao
1.umri nimekadiria tu,
2.Nilimpa baada ya kunieleza kuwa ana shida,nadhani ungemuona alivyokuwa akiomba nisi mripoti usinge doubt
3.Jina la hotel kwa sasa siwezi taja(coz my identit can easly be ascertained):remember,too many posts and comments may have caused harm to even my closest friends
4.kujua wahudumu nadhani the setting na namna alivyo act isingekuwa rahisi
5.Kila kitu kilifanyika perfectly,kumbuka yeye ni mwenyeji..............
N:B, There is nothing to doubt, just stay alert.