Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Wakiuza mbwimbwi kwa 100,000/= mtasema ooooh bei juu bora niende ifm, haya sasa hivi 2,000/= mnasema wanauza ukimwi bei chee.......ikumbukwe hiyo ni kazi kama bank teller au communication officers tu.
Umesema Ukweli Ingawa Utatukanwa Humu. Malaya Wako Wengi Sana Mtaani na Siku Hizi Wanauza Kwa Simu TU
 
Faida za Malaya (changu)
1. Kutuliza hisia za vijana single na kuwajenga vizur kisaikolojia hivyo kuendelea na shughuli zao za kila siku bila wasiwasi
2. It Save time for singles (economy)
3. Mwanaume kutimiza haja zake kwa wakati anapohtaji no longolongo
4. Kipato kwa muuzaji
5. Faraja ya walio achika au kutendwa
6. Ni starehe ya juu duniani kwa jamii( wanaume)
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
Ww unataka wauze bei gani?
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.

Wewe ulikuwa unafuataga nini?
 
jaman na banana wapo am maana nahitaji huduma...
 
Back
Top Bottom