Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Wakiuza mbwimbwi kwa 100,000/= mtasema ooooh bei juu bora niende ifm, haya sasa hivi 2,000/= mnasema wanauza ukimwi bei chee.......ikumbukwe hiyo ni kazi kama bank teller au communication officers tu.
Heshima Mkuu!

Uchangudoa si kazi kama bank teller wala communication officer kama ulivyoiita.Ni chukizo mbele za MUNGU na adhabu yake ni motoni (Nb;kwa wanaoamini).

Hujawahi kujiuliza kuwa ni kwanini hairasimishwi?.Kwanini hawalipi kodi?. nk?.
 
serikali ya mtaa tusaidieni kusafisha hao wadada hapo jirani
 
Wanaume wa daisalam utawajua tu.

"Changudoa" ni jina la biashara!!

Bidhaa yenyewe ni mwanamke!!!!! Anamaumbile kama mkeo wa ndoa, wengine wana mvuto kumzidi my wife wako.
Mkuu ni kweli. Na unaweza kukuta mkeo nae anachepuka tena kavu kavu kisha nawe anakupa kavu kavu. Eewe Mwenyezi MUNGU tulinde viumbe wako tusiojitambua.
 
Back
Top Bottom