Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Changudoa si jina tu! Akivua chupi hana alama ya uchangu![emoji106]
Usalama wao ni mdogo,sasa mtu kuuza mwili ndio kazi yake na hachagui wa kulala naye kikubwa tu uwe na hela

Tena wanakwambia kabisa kavu kavu ina bei yake na ukivaa kondomu ina bei bei yake sasa na wewe unaingia kwa huyo mwanamke kama sio kununua magonjwa kipuuzi ni nini?
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.

Ha ha ha a Mkuu 'The more risk the more money you earn' unapopiga dili kwa kadri mazingira hatarishi yanavyoongezeka ndo jinsi pesa nayo inavyoongezeka. Nao wanaona kwa kufanya hivyo ela zinaongezeka, tumuachie Mungu atawahukumu.
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
Akili Kichwani Mwako. Umeshawai Kufika Majiji ya Ulaya Kama Amsterdam Uholanzi na Stutgart?? Yani Wanajiuza Barabarani mchana kweupeeee na wanalipa kodi kwa serikali. Malaya Hawataisha - Wewe Tumia Akili Yako, Huwataki Uchune.
 
Back
Top Bottom