Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Heshima Mkuu!

Uchangudoa si kazi kama bank teller wala communication officer kama ulivyoiita.Ni chukizo mbele za MUNGU na adhabu yake ni motoni (Nb;kwa wanaoamini).

Hujawahi kujiuliza kuwa ni kwanini hairasimishwi?.Kwanini hawalipi kodi?. nk?.
TZA ndio haijalasimishwa mkuu....duniani huko hiyo ni kazi na inaitwa sex tourism. Hata kenya hapo ni mfano pia.
 
387749.jpg
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
Wewe acha kwenda, kwa nini ulalamike huku? wakati unauliza bei tulikutuma?
 
Nani mwenye ukimwi kati ya muuzaji papuchi bila hofu, na mnunuzi anayepeleka dushe lake bila kufikiri.

Tafakari, chukuwa hatua.
 
Wanaume wa daisalam utawajua tu.

"Changudoa" ni jina la biashara!!

Bidhaa yenyewe ni mwanamke!!!!! Anamaumbile kama mkeo wa ndoa, wengine wana mvuto kumzidi my wife wako.
Sisemei mvuto mkuu

Usalama wa wanawake wanaojiuza ni mdogo sana.

Wengi wao wameungua
 
wale warembo wamejito muhanga. ila we unayenunua ndiyo huogopi ukimwi????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Hivi wateja wao ni akina nani? Wangekuwa hawapati wateja wangefanya kitu kingine. Wameweka bei chee kuendana na hali ya sasa hela hamna
 
sasa wateja c ndo nyie vpi mnalalamika tena magirlfrnd zenu wakiwaomba laki mbili macho yanawatoka. mmeshushiwa bei na hao bado mnalalamika
 
unaweza kulala nae ila uwe mjanja pesa na simu ufiche,,,,chana godoro na wembe halafu ufiche hivyo vitu..ndo salama yako
Yaani wewe pesa na simu ndio umeona vitu vya thamani sana kuliko afya yako?!

Kuna faida gani kuponyesha vitu vyako visiibwe huku umeshindwa kuilinda afya yako kwa kuambukizwa gonjwa ambalo halina tiba mpaka leo? Tafakari chukua hatua.
 
Hivi nyie mnaokaa huko sinza mbon skendo za machangudoa zmejaa Sana lwenu tu na sio sehemu nyingne za DSM?
 
Back
Top Bottom