Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Faida za Malaya (changu)
1. Kutuliza hisia za vijana single na kuwajenga vizur kisaikolojia hivyo kuendelea na shughuli zao za kila siku bila wasiwasi
2. It Save time for singles (economy)
3. Mwanaume kutimiza haja zake kwa wakati anapohtaji no longolongo
4. Kipato kwa muuzaji
5. Faraja ya walio achika au kutendwa
6. Ni starehe ya juu duniani kwa jamii( wanaume)
Umeongea kweli mtupu sijui kwa nini wamekuacha hivihivi bila kukupa hata like.
 
Nilisikia tu kwa watu wanaoishi maeneo ya hapo jirani.

Nina mke na watoto mkuu siwezi kuisaliti ndoa yangu kwa vitu vya kijinga kama hivyo.
Kwa kutafuta taarifa zao tu ulishasaliti kitambo bora umalizie au huna 2,000/=? Wadau wanaweza kudhamini pambano
 
Ila bora sisi tunaoenda kule tunaenda kwa tahadhari kubwa. Niliwai kusikia stori ya binti wa miaka 18 ambae alikua ameathirika na mtaani alikuwa na wanaume wa kila namna waliooa na vijana. Na amna mwanaume aliyekuwa anataka kutumia kondomu kwasababu alikuwa anaonekana bado ni binti mbichi, na yeye alikuwa akatai ukitaka kavu sawa ukitaka na kondomu sawa.
 
Faida za Malaya (changu)
1. Kutuliza hisia za vijana single na kuwajenga vizur kisaikolojia hivyo kuendelea na shughuli zao za kila siku bila wasiwasi
2. It Save time for singles (economy)
3. Mwanaume kutimiza haja zake kwa wakati anapohtaji no longolongo
4. Kipato kwa muuzaji
5. Faraja ya walio achika au kutendwa
6. Ni starehe ya juu duniani kwa jamii( wanaume)
Tutajie na hasara zake ili tupime mzani.
 
~~>>>Hao machangudoa wapo kazini ... wao kupata ngoma ni ajali kazini.....

Nashangaa hao wateja wanaonunua hizo nyapu nao hawaogopi ukimwi??
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
Ukimwi kwa sasa umeishapungua sana hasa kwa hao wadada maana wanatumia ARV so ukienda pale kavukavu we paka dudu lako Vaseline zama utatoka salama salimini, cha kuhofia labda magonjwa ya zinaa tu.
 
Uchangudoa ni matokeo. Watu wengi wavivu wa kufikiri uwanja wao huishia kulaumu matokeo, si vyanzo. Unaona wabeba zege? wabeba rumbesaza kilo mia na zaidi? topazi wazibua vyo na mitaro ya maji taka kwa mikono wazi? na nyingine nyingi kazi hatarishi? Unadhani hao wote nachangu doa uliowaja wanafurahia hiyo kazi yao? Je wana mbadala? ni nani au nini kimewafikisha hapo? Umesahau kuwa unapomnyoshea mwenzio kidole, vitatu vimekuelekea wewe.
 
Back
Top Bottom