Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
28,224
Reaction score
39,704
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?,

Ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
0715503455
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA? Badilikeni.

Una uhakika gani kama huo UKIMWI haupo na Nyumbani Kwako Mkuu?
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
hivi kwanza mtu unawezaje kulala na changudoa?

Huo ujasiri mnautolea wapi?
 
Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
Aisee ni hatari hiyo kwani wamerud tena
 
Haya maajabu sasa! Yaani we unataka changudoa aogope ukimwi!!!!?
Unahoji eti wanauza ukimwi kwa bei chee (unawona wajinga)

Sasa mbona huwahoji na hao wanao ununua huo ukimwi kwa bei chee!!?.

Huo udomozege wenu ndo unawaponza, mnahamu sana kama kuku ama mnahela sana za kuwafanyia hisani hao machangudoa!!?

Basi nunueni tu huo ukimwi msitupigie kelele hapa.
 
Back
Top Bottom