LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 28,825
- 45,334
utawasaidiaje?Mpka na majina mnawajua[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hatar sana
utawasaidiaje?Mpka na majina mnawajua[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] hatar sana
akili ikivurugika huoni hatariSisemei kuibiwa ,bali nasemea kuhusu magonjwa ya zinaa.
ameamua kujilipuaSasa wewe Kama huuogopi huo ukimwi yeye ataogopaje??
miandiko tu anayo mingi!Mkuu una ID ngapi humu maana sikuelewi
Mbagala hizo k au mashimo ya choo..kusex barabarani ni ujinga pia kusex na malaya ni ujinga kabisa mm sijawai nunua iyo kitu tupo kwetu mbagala hakuna ayo mambo
kuna mpaka za jeroWakiuza mbwimbwi kwa 100,000/= mtasema ooooh bei juu bora niende ifm, haya sasa hivi 2,000/= mnasema wanauza ukimwi bei chee.......ikumbukwe hiyo ni kazi kama bank teller au communication officers tu.
inauma sana kuibiwa mkeHawa si ndio kama wale
Utakuta dume zima linalalamika "nimeibiwa mke"
Eti kaibiwa.!!!
Utadhani huyo mke ni kiatu cha mtumba.wakati ni binadamu mwenye akili zake timamu.
kuna dawa za kutibu tabia za watu?serikali ya mtaa tusaidieni kusafisha hao wadada hapo jirani
oooh! wateja wapo wa kumwagampaka anaamua fanya biashara iyo ujue ashajisusa hana cha kupoteza, duh kumbe bado wana wateja hawa wadada poa
wanajijua hali zaoEti kavu Tsh 2000/= watu wanajua kujitoa mhanga aisee.
ukimwi upi? wa kizamani au wa kisasa?UKIMWI UPO KILA MAHALI. UNAOGOPA UPEPO
huu ukimwi wa kisasa hakuna anayeuogopaUKIMWI UPO KILA MAHALI. UNAOGOPA UPEPO
1. Kwani kuna changudoa anayeogopa ukimwi?Hali hii itaendelea mpaka lini? Mnajirahisisha mpaka huku maeneo ya SOCCER CITY mpaka meeda tena mnapigia debe eti kavu Tshs. 2,000/= tutapona kweli?, ni maisha yamebana ama? yaani mnauza UKIMWI kwa bei chini ya kilo moja ya UNGA wa ugali? Badilikeni.
Expert hahahhahahahahaunaweza kulala nae ila uwe mjanja pesa na simu ufiche,,,,chana godoro na wembe halafu ufiche hivyo vitu..ndo salama yako
changudoa ana tofauti gani na kahaba?Wanaume wa daisalam utawajua tu.
"Changudoa" ni jina la biashara!!
Bidhaa yenyewe ni mwanamke!!!!! Anamaumbile kama mkeo wa ndoa, wengine wana mvuto kumzidi my wife wako.
mkioana kila mtu anatembea na uhai wa mwenzake.Hapa ni kulindana tu msileteane ukimwi nyumbaniMkuu ni kweli. Na unaweza kukuta mkeo nae anachepuka tena kavu kavu kisha nawe anakupa kavu kavu. Eewe Mwenyezi MUNGU tulinde viumbe wako tusiojitambua.
ya wapi hii?
usitake kujuaya wapi hii?
watu hawana njia zingine za kupata hela na wanajitegemea kula na mahitaji mengine.Kama wanaona wanaweza kupata fedha kwa njia hiyo kwa nini waone risk kwa maisha yao? Ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira hufanya mtu achanganyikiwe na kujiingiza kwenye hatari kama hizi za ukimwiWaoogope kitu wanachoshinda nacho?hao ni wagonjwa total ,wewe Mteja ndie wakutakiwa kuogopa kuwasogelea