Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Machangudoa wa Sinza Mori hamuogopi UKIMWI?

Sehemu salama ya kula mizigo CLASSY kwa sasa ni MORI na jirani pale LA CHAAZ pale hata (kina kaka watoa TOPE) wapo wa kumwaga
 
mkioana kila mtu anatembea na uhai wa mwenzake.Hapa ni kulindana tu msileteane ukimwi nyumbani
Wewe unaweza kumlinda mwenzio, lakini je mwenzio anaweza kukulinda kama wewe ufanyavyo? Utajithibitishiaje anakulinda? Au utaamini sababu tu haujamuona na kwa vile yeye amesema?
 
Leo hii eti watu wanajidai kuhoji vyeti vya watu wengine! Tuache mihemko na unafiki wa kuhoji vyeti vya watu na kazi mnaziona.
*Leo walimu hawalipi nauli kwenye daladala (including Mwendokasi).
*walimu wanajengewa nyumba, ofisi na kukopeshwa magazine
*jiji jipya la kisasa safi kuzidi miji kadhaa ya ulaya imeanza kuonekana dhahiri shayiri.
 
Makonda yuko wapi amesalenda ghafla juhudi zake za awali
 
We kula kula ukipendacho maana kufa haiepukiki, nijambo LA lazima sana, usipokufa kW ukimwi?ngoma haikuachi
 
Ila nlichogundua kwel maisha magumu maana biashara ya ukahaba imeongezeaka sana sana. Yaan siku hiz kila kiwanja unachoenda lazma kuna wadada wanajiuza kiukweli inasikitisha sana halaf watoto wadogo kabsa. Dah
 
Ila nlichogundua kwel maisha magumu maana biashara ya ukahaba imeongezeaka sana sana. Yaan siku hiz kila kiwanja unachoenda lazma kuna wadada wanajiuza kiukweli inasikitisha sana halaf watoto wadogo kabsa. Dah
yaa na wengi wao wanatoa tigoo....
 
Back
Top Bottom