Mabro na swali

Hapo sasa ndio kuna shida mkuuπŸ˜…πŸ˜…... Jitahidi huo mstari wa mpaka kwanza uusogeze juu kidogo ili uache nafasi kubwa ya uhuru(kucheza) hapo katikati.
Sasa naongea nae nini akinipa umbea naitikia tu weee kumbe labda ishu za kwao kiufupi nina majibunya short
 
kwa hiyo na wewe demu wako akiwa anapiga story na mshkaji, hadi fununu zinakufikia kuwa jamaa ana mmanua demu ako utalipokeaje?
Alafu nikupe mbinu mtu ambaye ashapiga mkeo huwezi kuta et wapo na mastory mengi kiivyo ukiona mastory mengi ujue hakuna kitu hapo au labda ndo yupo kufukuzia ila siyo ashapiga kama mimi siwezi kuona wivu kwakua nishampa principal zangu akitoka nnje ya hapo ni red
 
Fanya uchuguzi, kama dogo anakula mkeo, au mdogo wako ana tabia za kike.
Kama anamkula, utajua cha kuamua. Ila nikiwa mimi mke natimua maana ndio hana akili.
Kama dogo ana tabia za kike hapo sasa utajua cha kufanya.
labdo kuna mahali unazungukwa, lazima ujue chanzo cha hiyo bond
 
Acha kabisa ngumu
 
Hatari
 
Et natimua mke 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…