Mabosi zangu wananiandama bila sababu

Mabosi zangu wananiandama bila sababu

Habari za jioni wana jf.
Niende kwenye mada. Ni hivi nafanya kazi ofisi ya serikali.Ni kijana kwenye late 20's. Ni Afisa flani niliyeajiriwa like 5 years ago.Nina kadegree.

Ishu iliyofanya nilete uzi huu,boss wangu kwa maana ya Mkuu wa idara,mkuu wa kitengo na wazee flani wananiandama sana ofisini.

Niko vizuri kwenye kutimiza majukumu yangu.Nikifika job sina muda wa kupoteza kwenye machai wala soga za siasa,mpira,udaku ama lolote.Nikifika after salamu za hapa na pale na kusaini naket kwenye meza yangu napiga kazi kwa malengo niliyojiwekea.Nikiri uwezo wa kazi ninao na ni mwepesi kuelewa mambo.

Kwenye chai ama lunch zao siendi. Nashukuru Mungu nimepata wigo wa kufahamiana na watu wengi sana ambao kifupi wananiletea kazi za hela si haba.Yani nikikubaliana na mtu,njoo kesho uchukue kazi yako ujue itakuwa hivo.Napenda sana kukeep promise na kuitimiza.Hiyo imefanya nipendwe na wateja wengi na hata maboss wa idara nyingine ni rafiki zangu sana ingawa ni watu wazima.wakiwa na ishu kwenye field yangu lazima wanitafute.

Wafanyakazi wenzangu kwenye idara wanawahi job 12 kamili wapo ila ikifika saa 4 asubuh hawapo,ama wakiwepo ni kuzunguka kwenye korido na maofisini wakipiga soga.
Wanachukua ruhusa kila mwezi na wanapewa,ila nikiomba mie nitawekewa mizengwe hadi nijute. Wengine wanakuja j3 na j4 then hawaonekani hadi j3 inayofata na inakuwa siyo kesi.

Ila itokee nisionekane hata siku moja inageuka kesi,najadiliwa hadi kwenye vikao vya idara.Nimechoka kusakamwa na hawa maboss.Najiuliza why me.Sina dharau wala shobo na mtu.Nawaheshimu kama maboss zangu Sema tu nimejiweka mbali na hao maboss kwani sina tabia ya kujikombakomba bila sababu kwa mtu.

Wananichafua kila sehemu.hata kama jambo sijafanya wala kusema nitatajwa tu.imagine boss wako anamwita mtu anayehisi ni mpenzi wako anamwambia kaa mbali na flani hafai.

Naombeni ushauri nifanyeje? Ama nihame halmashauri manake imekuwa too much.
Wapotezee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitaka ulr na wakubwa vizuri Bhasi siti mezani na wakubwa...kula nao...piga nao story...badilishana nao mawazo!

Ukijitenga tu na kujidai una majukumu Mengi kuliko hata Boss utachukiwaa lazimaa so waafrika ndo tulivyo
 
Ndugu miongoni mwa wanaowahi ama kuchelewa sipo
sasa ndugu yangu mbona social life huna kama computer vile af binadam lazima ujijue kua hutakiwi kosa mapungufu so kitendo cha kujisifia tu inaonesha tatizo lako linapoanzia
Sina time na mtu-sasa hizo kazi zako zinafanyikaje maana baadhi ya kitengo lazima boss apitishe
Salamu natoa na nikikabidhiwa jukumu hata kama la sherehe ntalikamilisha vizuri tu-Inaonesha una umuch know..sio kila kitu lazima umalize wewe vyengine jifanye hujui mwombe hata ,mtu akuelekeze
Naingia muda wa serikali na kutoka muda wa serikali-Kazi ni zaidi ya hapo ushawahi enda mtembelea mfanyakazi mwenzio nje ya mda wa kazi
Ila Huwezi nikuta napiga soga muda wa kazi-Hizo ni work culture sio soga zinaitwa bond kwani hata dakika 10 lunch break un
Natoka kwangu nishajua nitafanya nini mwanzo hadi time ya kuondoka-We jamaa unajuaje unafanya nn bila kushirikiana na kupangiwa na boss wako
Afu Huwezi nihukumu eti kisa siendi kunywa nao supu au sipigi story ofcn,sio hobby zangu
Nathamini muda wa magu-kwa style hii naconclude we ni much know..kwanza mtu huwezi jua uwezo wako bali kwa watu wanaokuzunguka..punguza EGO hiyo[/QUOTE
 
Ndio uachage shobo mkuu....
Ukiwa roma ishi kama warumi...

Umekuta watu wapo kiboosi... We unajikuta piriiiiika kibaaao.
Unakitafuta nin??
 
Kuwa kimya ila fuata taratibu za kazi..jaribu kuandika events zote wanazokosea na wasio kuja kazini.. maana ipo siku utaombwa ushahidi na kujikuta ushasahau. Najua utashinda tu.

Kama ni kweli alichooandika basi hiyo ni ''Bullying" na dawa ya hiyo ni kuandika kila nyanyaso then siku ya siku unamwaga mezani shughuli inakuwa imeisha
 
Msema pweke hakosi. Natamani atokee anayekujua, aeleze wasifu wako na baadae tuone tatizo lilipo. Vingine jiangalie upya. Ni jamii inayokujua wewe ni nani, na sio wewe mwenyewe kujiona wewe ni nani. Binadamu tuna tabia ya kuona mambo kwa miono tofauti.
 
Shida yako umejitenga sana na umeshajiona ni bora. Sasa wanakuona kama hauko pamoja nao pambana tu huku ukiomba kwa imani yako .
 
Habari za jioni wana jf.
Niende kwenye mada. Ni hivi nafanya kazi ofisi ya serikali.Ni kijana kwenye late 20's. Ni Afisa flani niliyeajiriwa like 5 years ago.Nina kadegree.

Ishu iliyofanya nilete uzi huu,boss wangu kwa maana ya Mkuu wa idara,mkuu wa kitengo na wazee flani wananiandama sana ofisini.

Niko vizuri kwenye kutimiza majukumu yangu.Nikifika job sina muda wa kupoteza kwenye machai wala soga za siasa,mpira,udaku ama lolote.Nikifika after salamu za hapa na pale na kusaini naket kwenye meza yangu napiga kazi kwa malengo niliyojiwekea.Nikiri uwezo wa kazi ninao na ni mwepesi kuelewa mambo.

Kwenye chai ama lunch zao siendi. Nashukuru Mungu nimepata wigo wa kufahamiana na watu wengi sana ambao kifupi wananiletea kazi za hela si haba.Yani nikikubaliana na mtu,njoo kesho uchukue kazi yako ujue itakuwa hivo.Napenda sana kukeep promise na kuitimiza.Hiyo imefanya nipendwe na wateja wengi na hata maboss wa idara nyingine ni rafiki zangu sana ingawa ni watu wazima.wakiwa na ishu kwenye field yangu lazima wanitafute.

Wafanyakazi wenzangu kwenye idara wanawahi job 12 kamili wapo ila ikifika saa 4 asubuh hawapo,ama wakiwepo ni kuzunguka kwenye korido na maofisini wakipiga soga.
Wanachukua ruhusa kila mwezi na wanapewa,ila nikiomba mie nitawekewa mizengwe hadi nijute. Wengine wanakuja j3 na j4 then hawaonekani hadi j3 inayofata na inakuwa siyo kesi.

Ila itokee nisionekane hata siku moja inageuka kesi,najadiliwa hadi kwenye vikao vya idara.Nimechoka kusakamwa na hawa maboss.Najiuliza why me.Sina dharau wala shobo na mtu.Nawaheshimu kama maboss zangu Sema tu nimejiweka mbali na hao maboss kwani sina tabia ya kujikombakomba bila sababu kwa mtu.

Wananichafua kila sehemu.hata kama jambo sijafanya wala kusema nitatajwa tu.imagine boss wako anamwita mtu anayehisi ni mpenzi wako anamwambia kaa mbali na flani hafai.

Naombeni ushauri nifanyeje? Ama nihame halmashauri manake imekuwa too much.
Inatokea inaitwa Organization climate, itapita
 
Habari za jioni wana jf.
Niende kwenye mada. Ni hivi nafanya kazi ofisi ya serikali.Ni kijana kwenye late 20's. Ni Afisa flani niliyeajiriwa like 5 years ago.Nina kadegree.

Ishu iliyofanya nilete uzi huu,boss wangu kwa maana ya Mkuu wa idara,mkuu wa kitengo na wazee flani wananiandama sana ofisini.

Niko vizuri kwenye kutimiza majukumu yangu.Nikifika job sina muda wa kupoteza kwenye machai wala soga za siasa,mpira,udaku ama lolote.Nikifika after salamu za hapa na pale na kusaini naket kwenye meza yangu napiga kazi kwa malengo niliyojiwekea.Nikiri uwezo wa kazi ninao na ni mwepesi kuelewa mambo.

Kwenye chai ama lunch zao siendi. Nashukuru Mungu nimepata wigo wa kufahamiana na watu wengi sana ambao kifupi wananiletea kazi za hela si haba.Yani nikikubaliana na mtu,njoo kesho uchukue kazi yako ujue itakuwa hivo.Napenda sana kukeep promise na kuitimiza.Hiyo imefanya nipendwe na wateja wengi na hata maboss wa idara nyingine ni rafiki zangu sana ingawa ni watu wazima.wakiwa na ishu kwenye field yangu lazima wanitafute.

Wafanyakazi wenzangu kwenye idara wanawahi job 12 kamili wapo ila ikifika saa 4 asubuh hawapo,ama wakiwepo ni kuzunguka kwenye korido na maofisini wakipiga soga.
Wanachukua ruhusa kila mwezi na wanapewa,ila nikiomba mie nitawekewa mizengwe hadi nijute. Wengine wanakuja j3 na j4 then hawaonekani hadi j3 inayofata na inakuwa siyo kesi.

Ila itokee nisionekane hata siku moja inageuka kesi,najadiliwa hadi kwenye vikao vya idara.Nimechoka kusakamwa na hawa maboss.Najiuliza why me.Sina dharau wala shobo na mtu.Nawaheshimu kama maboss zangu Sema tu nimejiweka mbali na hao maboss kwani sina tabia ya kujikombakomba bila sababu kwa mtu.

Wananichafua kila sehemu.hata kama jambo sijafanya wala kusema nitatajwa tu.imagine boss wako anamwita mtu anayehisi ni mpenzi wako anamwambia kaa mbali na flani hafai.

Naombeni ushauri nifanyeje? Ama nihame halmashauri manake imekuwa too much.
The best way to deal with a hypocrite is to face him/her and have a honest talk with them about how you hate them being in your business and putting you under their microscope......
 
Ila me hakuna kitu napenda kama kusocialize eneo la kazi yaani nikienda sehemu hakuna kijiwe nitatafuta namna ya kukitengeneza hadi kipatikane...
 
Ndugu miongoni mwa wanaowahi ama kuchelewa sipo
Sina time na mtu
Salamu natoa na nikikabidhiwa jukumu hata kama la sherehe ntalikamilisha vizuri tu
Naingia muda wa serikali na kutoka muda wa serikali
Ila Huwezi nikuta napiga soga muda wa kazi
Natoka kwangu nishajua nitafanya nini mwanzo hadi time ya kuondoka
Afu Huwezi nihukumu eti kisa siendi kunywa nao supu au sipigi story ofcn,sio hobby zangu
Nathamini muda wa magu
You need a friend there.......tafuta mtu ambaye mtakuwa karibu na atakuwa hang buddy wako, ama sivyo sehemu ya kazi itakuwa ni changamoto sana kuwapo
 
Unajua hili swala lako ni too psychological.....

Mwanadamu ni mnyama kama wengine isipokuwa yeye kapewa hekima na utashi wa maamuzi sahihi.

Namna ya kutumia huu "GOD given" utashi ni kupitia mazungumzo ya staha na kusikilizana.....

Jaribu kupata marafiki hata wawili au watatu ambao utakuwa una hang nao pale unapokuwa break na hata ofisini mnakuwa mnachekiana kidogo kidogo........

Hiyo itasaidia sana kukuweka sawa na kukupa emotional relief unapokuwa eneo la kazi.......
 
Kwa personality yako ilivyohumu JF hata mimi tusingeiva chungu kimoja.

Kwanza unajiita Iron . Wakati majina ya kike mengi tu mazuri hata mtu akilitaja anakupenda pasipo kumwongelesha.
 
Jitahidi ku socialize jamaa, kwa management style nyingine wewe ni tatizo, unaondoa group cohesion, badala ya watu kufanya kazi wanafanya za kukukwamisha sasa, five minutes of salamu na soga kabla ya kazi au mda wa kula unatosha kabisa, si ajabu unakosa mengi pia kuwa mbali na wenzako wa kwenye idara yako

Ona sasa hauna amani kwenye eneo lako la kazi, likizo hauendi na utarundikiwa kazi mpaka ufurahi
Mkuu hapo umegusa ndipo....nilivyomsoma jamaa ana aina flani hivi yaa.... sasa wenzie ndio wanakazia hapo hapo ili kumdiss...
Ajaribu kubadilika flani hivi....
Vinginevyo athar za kisaikolojia zinamuotea mlangoni@!
 
Back
Top Bottom